Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Chief, unakwama wapi hasa!!! Unapata nafasi ya kuandika maelezo marefu na mazuri ila unashindwa kujibu swali langu fupi na dogo, shida nini hasa?.

Jibu ikiwa Mungu YUPO AMA HAYUPO then tuendelee.
Oya mshaharibu Uzi , hebu mabishano yenu muyapekeke kwenye Uzi WA mabishano ya uwepo WA Mungu aliowahi sndaa huyu Kiranga , mnazingua
 
Hapo ndiyo niliona nimerahisisha kabisa.

Nilitafuta mfano rahisi. Sasa kama huelewi tofauti ya pembetatu na duara napata shaka kwamba tutaelewana.

Ngoja nikupe mfano mwingine

Kwa sasa hivi uko wapi mkuu?
Yani we jamaa chenga kabisa jibu lakusema yes au no unaandika vitu ambavyo hata haujaulizwa afu unajiita greater thinker

Mshana Jr njoo huku uone anayo yaandika mtu unayelinganishwa nae
 
Whaaaat.. Kipofu changamoto yake ni kuhisi au kuona..!!?
Kwahiyo nikichukua pasi ya moto nikaweka karibu yake.. Lile joto atasema ni mwanga wa jua au wa mshumaa..!!?
Sio kila moto una mwanga..!!!
Tutachukua solar ndogo na kuiunga na motor, kama ikizunguka atajua ni mwanga kama isipozunguka atajua hakuna mwanga, hivyo pasi itajulikana.

Mwanga hata usipoona unaweza mthibitishiaa mtu kwa njia nyingi.
 
Tunatumia Common Sense kujua MUNGU yupo..!
Common sense si lazima iwe ukweli.

Common sense ni kitu kilichokubalika na wengi tu. Kuna kipindi common sense ilikuwa kwamba dunia ni bapa, si tufe.

Watu wakachunguza wakaona si kweli.

Kuna wakati common sense ilikuwa jua linazunguka dunia. Watu wakachunguza wakajua dunia ndiyo inazunguka jua.

Sasa wewe unajuaje common sense yako ni ukweli na si uongo kama hao walioamini dunia ni bapa na jua linazunguka dunia?

Dhana ya kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu unaoruhusu mabaya haikubaliki kimantiki kwa sababu ina contradiction.
 
Yani we jamaa chenga kabisa jibu lakusema yes au no unaandika vitu ambavyo hata haujaulizwa afu unajiita greater thinker

Mshana Jr njoo huku uone anayo yaandika mtu unayelinganishwa nae
Wewe huwezi kufuatilia Socratic dialogue.

Halafu, unaweza kunipa sehemu hata moja nilipojiita greater thinker?

Au unazusha tu?
 
Unajuaje mwisho wa kufikiri kama mwanadamu uko wapi kwa kufikiri kama mwanadamu?

That's against Godel's Incompleteness Theorems.
Hebu nambie kuna mtu duniani anaweza kukimbia km 180/ saa, kama haiwezekani elezea kwa nini?
 
Wewe huwezi kufuatilia Socratic dialogue.

Halafu, unaweza kunipa sehemu hata moja nilipojiita greater thinker?

Au unazusha tu?
We jamaa nimengundua ni mweupe sana kichwani
Kwanza umekuja kuvuluga thread ya watu na kuleta ubishi wako usio na maana mara utukane watu
Si ungebaki kinywa tu kuliko hicho unacho bishani hakina mbele wa nyuma

Nb: Kunakipindi walikuwa wanakufanishasha na kina Mshana Jr hafikii hata robo kaa tulia ujifunze
 
Tutachukua solar ndogo na kuiunga na motor, kama ikizunguka atajua ni mwanga kama isipozunguka atajua hakuna mwanga, hivyo pasi itajulikana.

Mwanga hata usipoona unaweza mthibitishiaa mtu kwa njia nyingi.
Hahaha aisee kuna vitu bado kwako.. Leo ukifumba macho then ukahisi joto utawezaje kufahamu kama kuna mwanga au hakuna..!!?
 
Common sense si lazima iwe ukweli.

Common sense ni kitu kilichokubalika na wengi tu. Kuna kipindi common sense ilikuwa kwamba dunia ni bapa, si tufe.

Watu wakachunguza wakaona si kweli.

Kuna wakati common sense ilikuwa jua linazunguka dunia. Watu wakachunguza wakajua dunia ndiyo inazunguka jua.

Sasa wewe unajuaje common sense yako ni ukweli na si uongo kama hao walioamini dunia ni bapa na jua linazunguka dunia?

Dhana ya kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu unaoruhusu mabaya haikubaliki kimantiki kwa sababu ina contradiction.
Dunia kuwa bapa ilikuwa common sense..!!?
Jua kuzunguka Dunia ilikuwa common sense..!!?
Hayo yalikuwa mafundisho..

Hivi hiyo dhana yenye contradictions wewe umeitoa wapi..!!? Kwenye dini..!!? Unaamini dini na hayo mafundisho!!?
Maana usiwe unatumia dhana ya kitu usichokiamini..!!
 
Hahaha aisee kuna vitu bado kwako.. Leo ukifumba macho then ukahisi joto utawezaje kufahamu kama kuna mwanga au hakuna..!!?
Unafunga sola na motor unaiweka mahala pa wazi, mchana itazunguka usiku itazimika.

Hio ni tosha kuthibitisha uwepo wa mwanga, hata kama ni kipofu lazima ujiulize.

Kwa hio kuna njia nyingi za kuhakiki uwepo wa mwanga hata kama huoni
 
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo, ukiondoka kwenye maelezo matupu ya siyo na uthibitisho?

Maana kama ni kupiga hadithi tu, hata mimi naweza kukuambia kwamba kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara.

Naweza kukuambia mimi ndiye Mungu, wewe huwezi kujua tu.

Je, hilo linanifanya niwe Mungu?

Pembetatu duara itakuwepo?

Mimi kusema hivyo hakufanyi pembetatu hiyo iwepo.

Au naweza kusema kuna mtu anaitwa Shokolokabangoshee ni balozi wa dunia nzima.

Wakati mtu huyo hayupo.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya hayupo, hoja ya kuwepo kwake inqjipinga yenyewe.

Na zaidi ya huyo, hujaweza kuthibitisha uwepo wa Mungu mwingine yeyote.
Mtu mwenye akili na anayeona vizuri, atayaangalia mazingira yanayomzuka, kwa wazi kabisa atahisi kuwepo kwa nguvu kuu ambayo inamzunguka yeye na dunia yote, ataona ujuzi, nguvu na utashi wa kuishi. Hivyo vyote humlazimisha mwanadamu kukubali kuwepo kwa uwezo wa akili ya fani zote ikiwa ipo nje ya dunia ya kimaumbile.

Mtu yoyote anaye tathmini nafasi yake hapa duniani anaweza kutambua kwamba kuna nguvu inayomuumba yeye, ikamleta yeye hapa, inayomtia usongefu ndani mwake, na halafu tena humwondoa, bila ya ruhusa au msaada wake kutakiwa kwa ajili ya lolote katika hayo.

Ukitaka mpaka kusubiri uthibitisho wa kuweko kwa Mungu kutoka kwa mtu/kitu ambacho nachenyewe kinategemea Mungu kwa kuwepo kwake basi utasubiri sana Kwani hakuna siku Mungu alifichika kuhitaji uthibitisho.
 
Unafunga sola na motor unaiweka mahala pa wazi, mchana itazunguka usiku itazimika.

Hio ni tosha kuthibitisha uwepo wa mwanga, hata kama ni kipofu lazima ujiulize.

Kwa hio kuna njia nyingi za kuhakiki uwepo wa mwanga hata kama huoni
Aisee solar motor ikizunguka maana yake mwanga.. Kwahiyo mwanga wa moto utazungusha solar..!!?Au moto ukiwaka hakuna mwanga..!!? Halafu kipofu utafahamu mchana au usiku..!!?
 
Dunia kuwa bapa ilikuwa common sense..!!?
Jua kuzunguka Dunia ilikuwa common sense..!!?
Hayo yalikuwa mafundisho..

Hivi hiyo dhana yenye contradictions wewe umeitoa wapi..!!? Kwenye dini..!!? Unaamini dini na hayo mafundisho!!?
Maana usiwe unatumia dhana ya kitu usichokiamini..!!

Define common sense.

Dhana ya contradiction katika hoja ya uwepo wa Mungu sijaitoa katika dini, ni dhana ya kifalsafa.

Kwa nini unafikiri nimeitoa katika dini?

Na hata kama ningeitoa katika dini, ninapoitoa dhana si kitu muhimu kama usahihi wa dhana.

Kwa sababu hata kichaa anaweza kusema neno la maana siku moja.
 
Aisee solar motor ikizunguka maana yake mwanga.. Kwahiyo mwanga wa moto utazungusha solar..!!?Au moto ukiwaka hakuna mwanga..!!? Halafu kipofu utafahamu mchana au usiku..!!?
Kupitia jaribio la solar na motor tayari mtu kipofu atajua mwanga upo au haupo kwa kuhisi uwepo wake kupitia utendaji wa kazi.

Lakini si kila penye joto kuna mwanga, au kwenye kila mwanga kuna joto, kupitia hilo somo tayari atajua kuna nguvu ya mwanga japo haoni, kwani hata sie wazima hatuoni electromagnetic waves, lakini tunaona utendaji wake.

Thanks.
 
Back
Top Bottom