Mkuu hakuna MTU atakuthibitishia uwepo wa Mungu. Utathibitisha mwenyewe siku za uhai wako,kabla hujafa utaamini tu Mungu yupo.
Mkuu haijalishi tofauti ya maneno unavyotaka kuyaweka,as long as unaishi,utakubaliana na kila kitu unachopinga. Utajua hivo kwa moyo wako, hakuna atakaekueleza au kukupa ushahidi. Utayajua mwenyewe kwa ufahamu huohuo ulionao sasa.Hakuna mtu anayeweza kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.
Nitathibitisha au nitaamini?
Unaelewa viwili hivi ni tofauti?
Unaweza kuthibitisha kwamba nitathibitisha?
Ugomvi wako na Mungu usikupe kibiri cha kuwaingiza wengine waende na wewe.Hakuna mtu anayeweza kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.
Nitathibitisha au nitaamini?
Unaelewa viwili hivi ni tofauti?
Unaweza kuthibitisha kwamba nitathibitisha?
Najua Kiranga hana ligi ndogo [emoji3][emoji3]
Hayo maneno tu umeandika, unaweza kuandika wewe ndiye Mungu mwenyewe.Mkuu haijalishi tofauti ya maneno unavyotaka kuyaweka,as long as unaishi,utakubaliana na kila kitu unachopinga. Utajua hivo kwa moyo wako, hakuna atakaekueleza au kukupa ushahidi. Utayajua mwenyewe kwa ufahamu huohuo ulionao sasa.
Siwezi kuwa na ugomvi na Mungu kama Mungu hayupo.Ugomvi wako na Mungu usikupe kibiri cha kuwaingiza wengine waende na wewe.
Nenda mahali uwe peke yako, piga kelele kwa sauti ya juu ukimuuliza kama kweli yupo ajitokeze umwone kwa macho yako.
Kama itaanguka radi au vinginevyo utamwona tu.
Usikose kuja kutuhadithia.
Nimekupa njia rahisi upate kuonana naye.Siwezi kuwa na ugomvi na Mungu kama Mungu hayupo.
Thibitisha Mungu yupo kwanza kabla ya kusema nina ugomvi na Mungu.
Unajuaje ni he na si she?Nimekupa njia rahisi upate kuonana naye.
He NEVER dissapoints.
Mbona unakuwa mwoga.Unajuaje ni he na si she?
Unajuaje yupo at all?
Unajuaje huyo unayesema nimbipu yupo na habari za kuwapo kwake si hadithi tupu?Mbona unakuwa mwoga.
Nimekuambia njia rahisi ya kumbipu na ujionee mwenyewe.
Mkuu usisumbue jukwaa. Kujitazama mgongoni na kisogoni tu huwezi.Unajuaje huyo unayesema nimbipu yupo na habari za kuwapo kwake si hadithi tupu?
Upo kaka Kiranga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwa nnayamiss sana maandiko yako aiseee...Ustaarabu wafanye Wajapani, sifa umpe Mungu?
Thibitisha huyo Mungu yupo kwanza.
Nipo kama kawa kama dawa.Upo kaka Kiranga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwa nnayamiss sana maandiko yako aiseee...
Wewe tu unasumbuka kwa akili ya kuku.Mkuu usisumbue jukwaa. Kujitazama mgongoni na kisogoni tu huwezi.
Nimekuambia tazama kisogoni.Wewe tu unasumbuka kwa akili ya kuku.
Thibitisha Mungu wako yupo.
Acha longolongo.
You are an imbecile and a cretin.Nimekuambia tazama kisogoni.
Utamwona.
Yes I am.You are an imbecile and a cretin.