Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Wizara ya Elimy ifanye study tour japan na kuchek mitaala yao ili kuchukua vizuri na kuviongeza huku kwetu
Hasa maadili na kufany kazi kwa bidii
 
Kiakili tu kutokuwepo kwa pembe tatu ambayo ni duara kwa wwkati mmpja hiyo inathibitisha kwamba kuna pembe tatu na kuna duara.

Sasa kutokuwepo kwa pembetatu duara haithibitishi kwamba pembetatu haipo na wala haithibitishi kwamba duara haipo.

Mfano wako unakosa maana kwa sababu unataka kuonesha kana kwamba kwa upande wa Mungu hakuna pembe tatu wala hakuna duara jambo ambalo sio sahihi.

Katika mfano wa pembetatu duara ni mfano ambao hauendi sambamba na Mungu.

Unachukua mifano ambayo haiendani na uhalisia wa mada,kisha unailazimisha iendane na uhalisia wa mada jambo ambalo ni utata mtupu.

Tukichukua mifano yako tunaona kwmba pembetatu ipo na duara ipo ila kisichokuepo ni kwamba pembetatu duara.

Sasa kwa Mungu kilichokuepo ni Mungu(pembetatu na duara) na hizo contradiction(pembetatu duara) hazipo.
Kwamba unakubali Mungu yupo ila amekosa sifa fulani ambazo zikiwepo zinamfanya awe contradicted na huu ulimwengu?

Unataka kutoa contradiction kwa kupunguza sifa za ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote ili kuweka balance?
 
halafu majina yao yanatamkika kwa kiswahili NAKAMOTO,SUZUKI etc
 
Wizara ya Elimy ifanye study tour japan na kuchek mitaala yao ili kuchukua vizuri na kuviongeza huku kwetu
Hasa maadili na kufany kazi kwa bidii
Nadhani ni korea ile, katika kuzingatia mwanafunzi analala masaa nane basi hadi muda wa kwenda shule umesogezwa kidogo tofauti na huku mtoto anaamka saa kumi na moja ili awahi saa moja awe ameshafika shule. Sasa ukiangalia masaa anayolala ni machache hayafiki masaa 8.
 
Kwamba unakubali Mungu yupo ila amekosa sifa fulani ambazo zikiwepo zinamfanya awe contradicted na huu ulimwengu?

Unataka kutoa cintradiction kwa kupunguza sifa za ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote ili kuweka balance?
Kwani Mungu ana sifa za ujuzi wote na upendo wote tu mbona sifa zengine hazitajwi kwenye kuzungumzia hiyo contradiction?
 
Wajanja sana sura ya karai. Wananchi fanya sasa ni kuchukua vijana wa kiafrika na kuwapa ajira na mikataba ya kuishi kwao kwa muda mrefu, lengo ni kuchanganya damu ilio moto. Wanajua wazi damu moto ikichachamaa huanzia watoto 3 na zaidi, huo mwaka ulio sema elewa kutakuwa na machotara wengi na maliasili watu itazidi.
Vip kuhusu IQ, maana iq za waafrika ni tia maji tia maji.
 
We Dogo unatatizo, Una hoji ikiwa gari ilikuwa na matairi imara wakati USHASEMA ajari haipo.hayo yaache yahojiwe na wanao kubali uwepo wa ajari si wewe uliekataa kuwa hakuna ajari.
Uwezi pinga kuwa hakuna ajari then wewe huyo huyo unaanza kuuliza ikiwa gari lilikaguliwa kabla ya safari huo ni ujinga.
Hizo unazoziita controditions acha zihojiwe na wanao amini uwepo wa ajari na si wewe.
Jamaa haelezi kwa nini Mungu hayupo matokeo yake anaeleza kuhusu contradiction kwenye maelezo yamuhusuyo Mungu, kitu ambacho hakitoa jibu la kwamba hakuna Mungu.
Haelewi kwamba maelezo yenye contradictions yanaweza kupatikana hata kwa kitu ambacho anakiona mwenyewe kwa macho yake.
 
Wewe guluguja hujui kusoma kwa ufahamu.

Nikikwambia nimesoma Philosophy of Religion, unasoma nimesoma field moja.

Ndiyo maana hatuelewani.

Hujui hata kusoma kwa ufahamu.

Tutaelewana vipi?
Mbona kama usha panick.
 
Kwani Mungu ana sifa za ujuzi wote na upendo wote tu mbona sifa zengine hazitajwi kwenye kuzungumzia hiyo contradiction?
Hizi ni sifa kubwa ambazo zinaonesha errors kwenye uhusiano wa yeye na dhana nzima ya kuumba ulimwengu huu
 
Miye siamini Mungu wa dini iwayo yoyote ile

Iwe wa magharibi au mashariki
Nadhani la msingi ni kuamini kilicho sahihi na sio kushikilia kwamba hauamini Mungu wa hizo dini kana kwamba kwa kitendo cha kuamini Mungu asiye katika hizi dini ndio moja kwa moja upo sahihi, mitazamo hiyo ndio wanayo wakana Mungu yani wao wanafikiri kusema hakuna Mungu ni jambo la mtu mwenye akili sana na kwamba huona msimamo wao huo wa kudai hakuna Mungu moja kwa moja wao ndio wako sahihi.
 
Thibitisha Mungu yupo. Hayo ya miaka 50 leo tutajuaje kwamba hunidanganyi?

Na unajuaje ndani ya miaka 50 nitakuwa nimekufa?
Ndani ya miaka 50, nina uhakika 100% hutakuwepo.
Kithibitisho ni msimamo wako, actually challenge Gods existence hata wiki ijayo kuwepo ni almanusura.
Endelea kumchallenge na utapata unacho stahili.
 
Kuna post moja facebook ya mark zuckerberg alikuwa ameweka picha yake kipindi cha christmas.
Then akatokea mkenya mmoja hivi mweusi yaani ile black kabisa kama walivyo wakenya, yule jamaa akaweka picha yake na akaandika merry christmas from kenya.

Sababu ile post ni ya zuckerberg mwenyewe means watu wote wanaona kilichofuata ni huruma sababu walitokea hao wa Asia wakaanza kumtukana yule jamaa mpaka basi kisa ni mweusi.
Wengine walikuwa wanamwita orangutan yale manyani makubwa hivi na matusi mengine kibao.
Mara lips zake zimefanyaje mara mweusi kama asphalt ile lami nyeusi kabisa, mara wengine wanamwita BBC ila matusi ya kumfananisha na nyani ndio yalikuwa mengi.

Cha ajabu nilichokiona ni comment zote zilikuwa zinamshambulia jamaa hakuna exceptional hata moja, yaani hawa waasia wanatabia na akili kama za wadudu zero sympathy zero emotional intelligence walikuwa wanamchukulia jamaa kama sokwe tu asiye na vigezo vya binadamu.
Jamaa nakumbuka alisema asante kwa matusi yenu na kutiatia huruma tu, kusema ukweli nilijisikia vibaya kuona mwafrika anafanyiwa vile.
Baadae wakenya wenzake wakamwambia afute ile picha lakini hakufanya hivyo.

Hawa mnawaita wana roho njema na kuwasifia lakini kwao mtu mweusi wanamwona nyani tu.
Katika watu wabaguzi kwa waafrika ni waasia, kwangu ni mbwa kama mbwa wengine tu.
Africa nashindwa kuelewa kwa nini viongozi na serikali hazina mipango na namna yeyote ile kumfanya mtu mweusii awe na thamani, asibaguliwe awe juu Kama watu weupe na zaidi.

Wayahudi waliteswa na ubaguzi wakaona huu ni ushenzi, wamepambana mpaka leo hii wanaheshimika. Wapo mbali kwenye tech, kijeshi na wapo mbali kwa mambo mengi sana na wanaogopwa.
 
Hizi ni sifa kubwa ambazo zinaonesha errors kwenye uhusiano wa yeye na dhana nzima ya kuumba ulimwengu huu
Sema mnazungumzia hilo suala(dhana) la Mungu kuumba ulimwengu na si dhana ya uwepo wa huyo Mungu.

Sasa madai ya contradiction yamejielekeza kwenye dhana ya Mungu kuumba ulimwengu kitu ambacho kama kweli kungepatikana hiyo contradiction kweli basi ingeleta maana au mashaka ya huu ulimwengu kuwa umeumbwa na huyo Mungu au kwamba kuna sifa si ya kweli kwa huyu Mungu anayedaiwa ameumba huu ulimwengu.

Ila cha ajabu mnakuja na hitimisho la kuwa huyo Mungu hayupo.
 
Sema mnazungumzia hilo suala(dhana) la Mungu kuumba ulimwengu na si dhana ya uwepo wa huyo Mungu.

Sasa madai ya contradiction yamejielekeza kwenye dhana ya Mungu kuumba ulimwengu kitu ambacho kama kweli kungepatikana hiyo contradiction kweli basi ingeleta maana au mashaka ya huu ulimwengu kuwa umeumbwa na huyo Mungu au kwamba kuna sifa si ya kweli kwa huyu Mungu anayedaiwa ameumba huu ulimwengu.

Ila cha ajabu mnakuja na hitimisho la kuwa huyo Mungu hayupo.
Ni kweli Mungu mwenye sifa hizo hawezi kuwepo labda kama utataka kumpunguzia hizo sifa (ambapo hatakuwa tofauti na sisi) ili aweze ku fit kwenye dhana ya
 
Sema mnazungumzia hilo suala(dhana) la Mungu kuumba ulimwengu na si dhana ya uwepo wa huyo Mungu.

Sasa madai ya contradiction yamejielekeza kwenye dhana ya Mungu kuumba ulimwengu kitu ambacho kama kweli kungepatikana hiyo contradiction kweli basi ingeleta maana au mashaka ya huu ulimwengu kuwa umeumbwa na huyo Mungu au kwamba kuna sifa si ya kweli kwa huyu Mungu anayedaiwa ameumba huu ulimwengu.

Ila cha ajabu mnakuja na hitimisho la kuwa huyo Mungu hayupo.
Ushawahi kusikia kuhusu Russel’s Teapot?

Chupa ndogo ya chai isiyoonekana wala kuwa detected na kifaa chochote chupa hiyo unaambiwa kuwa inazunguka katikati ya jua na mwezi

Umepewa habari kama hiyo na kusisitizwa kuwa chupa hiyo ipo lakini tayari ukiangalia maelezo umeona kuna contradiction errors inayoonesha walakini wa hiyo habari

Utajiuliza kama hakionekani, hakithibitishiki kwa namna yeyote imewezekanaje kujua kua kina orbit kwenye jua?

Jua lina nyuzi joto kubwa sana imekuwaje chupa hiyo ika survive bila kuungua?

Utasema hiyo habari ni kweli kuwa chupa hiyo ipo ila sifa za hiyo chupa tu ndio zimekosewa?

Kama utasema hivyo basi utakuwa unaongelea kitu kingine ambacho hujaambiwa, maana ukamilifu wa hiyo habari ni pamoja na sifa zote kama ambavyo umeambiwa

Ukitaka kutoa contradictio kwa kupunguza sifa za hiyo chupa ili kufanya habari iwe kweli automatically utakuwa unaelezea kitu kingine

Hivyo ndio ilivyo ukitaka kutoa contradiction kwenye dhana ya uwepo wa Mungu kwa kupunguza sifa zake utajikuta unaongelea kitu kingine chenye udhaifu
 
Back
Top Bottom