Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Utamuweza Komwe weweNjoo nikuoe Mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamuweza Komwe weweNjoo nikuoe Mimi.
Namuweza kwani anakula kilo ngap, na pale ktk naimani pako size ya Binadamu Tu. Normal size.Utamuweza Komwe wewe
Ngoja kwanza aje haumjui Komwe weweNamuweza kwani anakula kilo ngap, na pale ktk naimani pako size ya Binadamu Tu. Normal size.
PoleUmejua kuniliza Bichwa!!
Duuuuu TunatishanaNgoja kwanza aje haumjui Komwe wewe
Fukuza hio mbuziMimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.
Tangu nilipoolewa, nimekuwa nikiishi kwa furaha na mume wangu kwenye ndoa yetu takatifu ya kikatoliki. Sikuwahi kupata changamoto yoyote.
Furaha yangu ilibadilika na kugeuka machungu baada ya mume wangu kwenda masomoni nchini Uingereza kisha mama mkwe wangu kuhamia hapa nyumbani kwa amri ya mume wangu.
Leo nimerudi kutoka sokoni mama mkwe akanidaka, akanikwida, akanibamiza ngumi ya katafunua kwenye kidevu changu, nikapepesuka na kudondokea chogo. Alinitifua ngumi ya uhakika.
Mama mkwe wangu ni mwanajeshi mstaafu, ndio huyo nimemuweka kwenye DP yangu.
Ananishutumu nilitoka kwenda kufanya umalaya nje na kugawa tamu ya mwanawe kwa watu wengine.
Aliponitifua katafunua ya kidevu, akanirukia kwa juu akanikanyaga teke la kisigino, nilipiga yowe nikaanza kubwatuka hovyo kwa maumivu. Ama hakika mama mkwe ana unyayo mkali sana!
Uso wangu wote umesawajika, nimevurugika, sura yangu imeumuka, komwe limetoka nundu kwa juu kama upembe.
Sijui nifanyeje jamani, nateseka, nahangaika kwenye ndoa yangu!
Abee kaka!Komwe wewe
😂😂😂😂😭😭😭😭 nimelia sana kaka anguUmejua kuniliza Bichwa!!
Akuuu, naogopa!Njoo nikuoe Mimi.
Dume anaolewagwa?Siku zote id yako nilijua jike kumbe dume
😂😂😂😂😂Ingekuwa id mpya ungdsikia unavyo pewa kauli nyundo na wana members hebu piga piga kalio sema asante maxmelo kwa kujulikana jamiiforums
Kuna siku huwa unapandisha kichaa chako?Kwa hiyo mama mkwe wako akakufunda kisa kuhisi wivu kwamba umetukunyuliwa "tamu" ya mwanaye?😂😂😂😂Mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.
Tangu nilipoolewa, nimekuwa nikiishi kwa furaha na mume wangu kwenye ndoa yetu takatifu ya kikatoliki. Sikuwahi kupata changamoto yoyote.
Furaha yangu ilibadilika na kugeuka machungu baada ya mume wangu kwenda masomoni nchini Uingereza kisha mama mkwe wangu kuhamia hapa nyumbani kwa amri ya mume wangu.
Leo nimerudi kutoka sokoni mama mkwe akanidaka, akanikwida, akanibamiza ngumi ya katafunua kwenye kidevu changu, nikapepesuka na kudondokea chogo. Alinitifua ngumi ya uhakika.
Mama mkwe wangu ni mwanajeshi mstaafu, ndio huyo nimemuweka kwenye DP yangu.
Ananishutumu nilitoka kwenda kufanya umalaya nje na kugawa tamu ya mwanawe kwa watu wengine.
Aliponitifua katafunua ya kidevu, akanirukia kwa juu akanikanyaga teke la kisigino, nilipiga yowe nikaanza kubwatuka hovyo kwa maumivu. Ama hakika mama mkwe ana unyayo mkali sana!
Uso wangu wote umesawajika, nimevurugika, sura yangu imeumuka, komwe limetoka nundu kwa juu kama upembe wa faru fausta.
Sijui nifanyeje jamani, nateseka, nahangaika kwenye ndoa yangu!
ID imekaa kidume dume na jinsi anavyochat humu sio kiromantic kama wanawake wengine na muda mwingi masihara na kauli ngumu. Akiwa mwanamke halafu pisi Kali nitashangaa sana.Siku zote id yako nilijua jike kumbe dume