Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 696
- 1,036
BICHWA naona umeyatimba mama mkwe ataki masihara kwenye tamu ya mwanae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nakwambiaaaa amenibamiza teke la unyayo sina hamu hata ya kulaKuna siku huwa unapandisha kichaa chako?Kwa hiyo mama mkwe wako akakufunda kisa kuhisi wivu kwamba umetukunyuliwa "tamu" ya mwanaye?😂😂😂😂
Mie pisi kaliiiiii sema tu hili komwe ndio linaniharibiaID imekaa kidume dume na jinsi anavyochat humu sio kiromantic kama wanawake wengine na muda mwingi masihara na kauli ngumu. Akiwa mwanamke halafu pisi Kali nitashangaa sana.
sasa kwa nn usingembinua huyo mama mke ukamnyonya mku...kisha ukampelekea moto hukohuko, we si ulisema una hogo, papuch na mkund...halafu kama ni uko hvo, hapo umeolewa au umeoa au mmeoana? mnapelekeana moto kwa zamu.Nimeolewa tangu mwaka juzi kaka yangu.
😂😂😂😂😂😂😂 hogo nilitoe wapi mimi mtoto wa kike! Alaaah!sasa kwa nn usingembinua huyo mama mke ukamnyonya mku...kisha ukampelekea moto hukohuko, we si ulisema una hogo, papuch na mkund...halafu kama ni uko hvo, hapo umeolewa au umeoa au mmeoana? mnapelekeana moto kwa zamu.
Nimeyatimba Kaka angu!BICHWA naona umeyatimba mama mkwe ataki masihara kwenye tamu ya mwanae.
Mkuu huyo anasemaga yy ni hermaphrodite BICHWA KOMWE, nenda kwa pw lisije likakukuta la kukukuta,ID imekaa kidume dume na jinsi anavyochat humu sio kiromantic kama wanawake wengine na muda mwingi masihara na kauli ngumu. Akiwa mwanamke halafu pisi Kali nitashangaa sana.
Tulia weweeeMimi sio Maghayo The Mongolian beast .
Mimi huyo sasa!!! 😂😂😂Hongera kwa kua mwanamke mwenye muandiko wa kiume
Sina hogo 😂Mkuu huyo anasemaga yy ni hermaphrodite BICHWA KOMWE, nenda kwa pw lisije likakukuta la kukukuta,
hayaSina hogo
Hukuharisha wala kujinyea?😂😂😂😂😂😂😂😂 nililia tu mkuu
Huyo mkweo ni mtu mzima, lazima tuheshimu hisia na bashiri zake.Mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri.
Tangu nilipoolewa, nimekuwa nikiishi kwa furaha na mume wangu kwenye ndoa yetu takatifu ya kikatoliki. Sikuwahi kupata changamoto yoyote.
Furaha yangu ilibadilika na kugeuka machungu baada ya mume wangu kwenda masomoni nchini Uingereza kisha mama mkwe wangu kuhamia hapa nyumbani kwa amri ya mume wangu.
Leo nimerudi kutoka sokoni mama mkwe akanidaka, akanikwida, akanibamiza ngumi ya katafunua kwenye kidevu changu, nikapepesuka na kudondokea chogo. Alinitifua ngumi ya uhakika.
Mama mkwe wangu ni mwanajeshi mstaafu, ndio huyo nimemuweka kwenye DP yangu.
Ananishutumu nilitoka kwenda kufanya umalaya nje na kugawa tamu ya mwanawe kwa watu wengine.
Aliponitifua katafunua ya kidevu, akanirukia kwa juu akanikanyaga teke la kisigino, nilipiga yowe nikaanza kubwatuka hovyo kwa maumivu. Ama hakika mama mkwe ana unyayo mkali sana!
Uso wangu wote umesawajika, nimevurugika, sura yangu imeumuka, komwe limetoka nundu kwa juu kama upembe wa faru fausta.
Sijui nifanyeje jamani, nateseka, nahangaika kwenye ndoa yangu!