Ukweli wa jambo sio opinion, ni fact!Huyo ni shekhe wa kweli na ni imamu wa msikiti sitaki niutaje kwa sababu sio vizuri
Unasema ni shekhe wa kweli, hebu nitajie sifa za shekhe na imamu wa kweli ni zipi? na sifa za mshirikina ni zipi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli wa jambo sio opinion, ni fact!Huyo ni shekhe wa kweli na ni imamu wa msikiti sitaki niutaje kwa sababu sio vizuri
Kama kaaminiwa na anasalisha kila siku kama imamu kwanini nisimuaminiUkweli wa jambo sio opinion, ni fact!
Unasema ni shekhe wa kweli, hebu nitajie sifa za shekhe na imamu wa kweli ni zipi? na sifa za mshirikina ni zipi!
Mi nimekuuliza, unazijua sifa za mshirikina?Kama kaaminiwa na anasalisha kila siku kama imamu kwanini nisimuamini
Hiyo mshirikina umesema weweMi nimekuuliza, unazijua sifa za mshirikina?
Tuchukulie mfano umeenda kwa tabibu, awe ni shekhe ama padri je utamjuaje kama huyu ni mshirikina?
Ndipo nyumbani kwake SheikhJini tena yupo kwenye kitabu cha Allah ?
TAKIBIIR...!Hivi kuna surat al jin iliyotafsiriwa kiswahili mwenye nayo aitume huku kama pdf ili nasisi tuweke kuya-control hayo majini mazuri
Mtu kama FaizaFoxy na Mlolongo wataweza kukusaidia hili ombi lakoHivi kuna surat al jin iliyotafsiriwa kiswahili mwenye nayo aitume huku kama pdf ili nasisi tuweke kuya-control hayo majini mazuri
We unajitekenya mwenyewe halafu unacheka! yoote haya ndo katika matumizi madogo ya akiliHiyo mshirikina umesema wewe
Mimi nachojua ni imama anafundisha watu kuwatumia majini wazuri
Kasirika ila ndo ukweli huyo imam sikutaka kumuuliza direct kama navyouliza hukuWe unajitekenya mwenyewe halafu unacheka! yoote haya ndo katika matumizi madogo ya akili
Chuki ni kitu kibaya sana lakini bila shaka chuki yako kwa Uislamu inabebwa na ujinga (sijakusudia tusi). Uongofu ni kutoka kwake Allah na yeye anajua zaidi kilichopo moyoni mwako.Mm natumia Quran kuntrol majini kwa msaada wa baadhi ya aya ktk Quran zina nguvu kama ile suratul baqra ikisimulia uchawi wa malaika wawili walioshusha uchawi kule babeli ile aya ukitumia na kuwa na iman ukimcomand jini anakutiii yote utakayomuambia
Ukiangalia vizuri hawapo kwa kutaka kujua ukweli ni nini, bali wapo kutekeleza propaganda zao tu dhidi ya uislamu.quran imefafanua kuwa wapo katika sisi majini wema na wabaya.lakini ikasema pia wapo watu wakiume na wakike wanajikinga na kuomba ulinzi kwa majini hawapati chochote zaid ya kuzidisha dhambi,..jaman quran haisem kuwa waislam tunbbudu majini na kwamb et tunawatumiaa hapna hapo majini yanayoingia makubaliano na wanadamu wote wamekufuru..rejea surat al baqara 102
Kuna yule jamaa anaitwa nani jina lake limenitoka ndio anaweza kuitafasiri kwa lugha 4 km sikoseaHivi kuna surat al jin iliyotafsiriwa kiswahili mwenye nayo aitume huku kama pdf ili nasisi tuweke kuya-control hayo majini mazuri
Nikuonyeshe hiyo aya kuwa unaweza kutumia uchawi kufanya jambo loloteChuki ni kitu kibaya sana lakini bila shaka chuki yako kwa Uislamu inabebwa na ujinga (sijakusudia tusi). Uongofu ni kutoka kwake Allah na yeye anajua zaidi kilichopo moyoni mwako.
Kwa faida tu ya wengine, Nyumba inayosomwa Surah Baqara hakuna shetani anaweza kukaa kwenye nyumba hiyo (Sahih hadith - Muslim 780). Huu ni ushahidi wa wazi kwamba yanayosemwa hapo juu ni propaganda zilizotawaliwa na chuki na ujinga wa hali ya juu.
Ebu ionyeshe hio aya kwa msaada wa watu wengiNikuonyeshe hiyo aya kuwa unaweza kutumia uchawi kufanya jambo lolote
Hii vita uliyoanzisha
"Majini ni viumbe kama sisi tena wanamuabudu Allah" alisikika ustadh mmoja akisema