dennoo_appliances
Senior Member
- Nov 28, 2018
- 136
- 192
Nakamaliza taratibu za surrogacy na soon ntapata mtoto, ili niendane na ile kauli mbiu ya kuwatafuna tu wanawake, hakuna mda wa kuoa ni mwendo wa surrogacy na kuwatafuna wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo umejifunza kamsamiati, umekuja kuringishia kwa style ya thread.[emoji23]Nakamaliza taratibu za surrogacy na soon ntapata mtoto, ili niendane na ile kauli mbiu ya kuwatafuna tu wanawake, hakuna mda wa kuoa ni mwendo wa surrogacy na kuwatafuna wanawake
Exactly hamna kuoa ni wendo wa kupigana mit hamna kuoanaHa ha ha ha.
Na wao wanapata sperm kutoka sperm banks na kuwa na watoto.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Axeee umenikumbusha mbali mkuu,ko utakubaliana na wife kuiweka kwa bek 3 nn?Nakamaliza taratibu za surrogacy na soon ntapata mtoto, ili niendane na ile kauli mbiu ya kuwatafuna tu wanawake, hakuna mda wa kuoa ni mwendo wa surrogacy na kuwatafuna wanawake
Sijajua Ila inategemea na nchi ambayo unataka kufanya mfano India ni cheap Ila marekani ni expensive mim nilivyofanya kautafiti kangu nikaona ukiwa na million 100 unaweza fanya Ila gharama inaweza ongezeka