Surrogacy imeturahishishia maisha

Surrogacy imeturahishishia maisha

Mim ni kijana wa kitanzania tokea nakua nahisi Nina damu ya kunguni nimekua ni mtu wa kukatawaliwa na wanawake pona yangu ni masturbation na dada poa, ni mwanamke mmoja tu alinikubalia lakin baada ya siku mbili alinipotezea, nimejaribu jamiiforum love connect Nako hola inaumiza Ila nimejifunza ni Bora kukubaliana na uhalisia ndo pona yangu

Umri umeenda nataka niwe na familia changamoto kila mwanamke ananikataa option iliyopo nina kama kiasi flani cha fedha sitaki kukiweka sababu ntaonekana kama natumia mbinu ya kutafutia wanawake huku jf, kwa hiyo nimeona ni bora nitafute mtoto kwa njia ya surrogate

Wazazi na familia, marafiki na watu wanaonijua kwa ujumla watakua disappointment ila this is the way it is

Japokua najenga familia kupitia surrogate sichukii na sina kinyongo na wanawake au wanawaume ambao Wana mpango wa kuoa, au kuiponda ndoa kufanya hivyo nitajiingiza kwenye stress kitu ambacho nakikwepa sana najitahidi nistay positive

"Mda mwingine maisha hayakupi kile unachotaka Bali unachostahili"
Acha ubahili.
Wanawake wako wengi Sana wa kuchomeka na kumwaga ndani.
Na akishaona uhakika wa hela basi haulizi hata matumizi ya kondomu au siku za hatari.
 
Msimbishie inawezekana kabisa...mambo ya kulogwa hayoo
Tupe real life ushahidi, sasa mtu akikuloga ukataliwe tu na wadada kimapenzi nia yake inakua nini?

Siku hizi hata mm nikikubaliwa Na wadada, nakubaliwa na wadada wa hovyo, Yani nkiwaona natamani hata kutapika, utakuta mtongozo nafikisha nusu naacha kufuatilia mdada, Yani sipati wadada quality ya kawaida ninayotaka, hope u understand witnessj
 
Unaezakuwa mbaya kuliko haka kajamaa au unajihisi tu, kanamikiki wake wawili
images%20(1).jpg
 
Tupe real life ushahidi, sasa mtu akikuloga ukataliwe tu na wadada kimapenzi nia yake inakua nini?

Siku hizi hata mm nikikubaliwa Na wadada, nakubaliwa na wadada wa hovyo, Yani nkiwaona natamani hata kutapika, utakuta mtongozo nafikisha nusu naacha kufuatilia mdada, Yani sipati wadada quality ya kawaida ninayotaka, hope u understand witnessj
Una gundu
 
Mimi nikiwa na laki tu hakuna kiumbe anachomoa, milioni imekosewa adabu aisee.
 
Even Cristiano alianza hivyo then akaja pata mwenza.

Go just go,
 
Even Cristiano alianza hivyo then akaja pata mwenza.

Go just go,
Cristiano hakuwa na shida ya kukimbiwa na wanawake ila yeye aliamua tu kuwa iwe style yake ya kuwa na watoto. Pisi Kali kibao zilikuwa tayari kumzalia ila yeye hakutaka. Akaopt surrogacy, zaidi ya yote Cristiano ili uwe naye lazima Kwanza ukubalike kwa mama yake na dada zake wawili Elma na Katia ambao ni aina ya wadada/mawifi wa kibongo. Kwa hyo inawezekana kote alikopita Cristiano mama na dada hawakuafiki kuwa aanzishe familia ndo maana akaopt surrogacy maana yeye alikuwa anataka mtoto/watoto. Ila alipokutana na mrembo Georgina ambaye alikuwa sales assistant GUCCI store ndani ya Madrid Cristiano akiwa na lengo la kula tu mbususu na kusepa...ila muda ulivozidi kwenda akajikuta amependa mazima na kumuweka ndani. Story ndefu Sana ila Georgina ni wife material trust me. Na anakubalika balaa kwenye familia ya Cristiano

@georginagio mtoto namuelewa sana huyu...
 
Back
Top Bottom