Surrogacy imeturahishishia maisha

Surrogacy imeturahishishia maisha

Hii chai kabisa uwe na mtaji wa biashara inayoanzia milioni 45 huwezi kukosa demu. Halafu wewe una milioni 100+ mfukoni unasema unakosa mwanamke?. Au mimi ndio sijakuelewa?. Au chai yako ndio haijaeleweka
 
kujichua nayo ni evil spirit imekuvaa, pambana kutafuta suluhisho la kujichua na makahaba ambalo naweza sema uko chini ya milki ya jini mahaba linalozuia kutulia na mwanamke mmoja, unatumikishwa mkuu
 
Hii chai kabisa uwe na mtaji wa biashara inayoanzia milioni 45 huwezi kukosa demu. Halafu wewe una milioni 100+ mfukoni unasema unakosa mwanamke?. Au mimi ndio sijakuelewa?. Au chai yako ndio haijaeleweka
Mtoa mada anatuvuruga ujue[emoji4]
 
Joo, ebu fanya jaribio la mwisho kabla hujafanya hayo maamuzi unayotaka kufanya..

Chukua sample space ya wadada 100 mpaka 150 kutoka unapoishi, mtandaon, nyumba za ibada na vjiji vya karibu unavyo weza kutembelea.

Chukua namba za simu anza kutongoza wa tano kwa siku, ambae hakupi response ya kutosha unapiga x unaendelea na wengine,

Anza na wale wanaokidhi vigezo vyako 100% huku ukishuka chin mdogomdogo, ukimaliza wote ao hamna aliye kukubali Basi m na ku bless endelea na mpango wako.

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
 
Mim ni kijana wa kitanzania tokea nakua nahisi Nina damu ya kunguni nimekua ni mtu wa kukatawaliwa na wanawake pona yangu ni masturbation na dada poa, ni mwanamke mmoja tu alinikubalia lakin baada ya siku mbili alinipotezea, nimejaribu jamiiforum love connect Nako hola inaumiza Ila nimejifunza ni Bora kukubaliana na uhalisia ndo pona yangu

Umri umeenda nataka niwe na familia changamoto kila mwanamke ananikataa option iliyopo nina kama kiasi flani cha fedha sitaki kukiweka sababu ntaonekana kama natumia mbinu ya kutafutia wanawake huku jf, kwa hiyo nimeona ni bora nitafute mtoto kwa njia ya surrogate

Wazazi na familia, marafiki na watu wanaonijua kwa ujumla watakua disappointment ila this is the way it is

Japokua najenga familia kupitia surrogate sichukii na sina kinyongo na wanawake au wanawaume ambao Wana mpango wa kuoa, au kuiponda ndoa kufanya hivyo nitajiingiza kwenye stress kitu ambacho nakikwepa sana najitahidi nistay positive

"Mda mwingine maisha hayakupi kile unachotaka Bali unachostahili"
UNA MIAKA MINGAPI?
 
Jaribu kutoa sadaka, kawasalimie wazazi wako mara kwa mara na uwatendee wema wakutamkie maneno mazuri, jitahidi kufunga na kuamka usiku kusali.
Pia jaribu kama kuna ex zako umewazoea waulize changamoto zako ili ujue kwanini wanawake hawakutaki na uweze kujirekebisha.
 
Hyo ndio kitu gani kwamb mbegu zako zinapelekwaindia au inafanyikaje
 
Hyo ndio kitu gani kwamb mbegu zako zinapelekwaindia au inafanyikaje

Mbegu zake zinapelekwa kwa mwanamke mwingine anaembebea mimba mpaka kumdharia mtoto, ila wanakuwa hawana mahusiano
Kifupi analipa gharama ili kubebewa mimba

Walifanya hivi wasanii wa movie na mziki,
Pryanka chopra( india) na Nick Jonas(US)
 
Huo muda wa surrogate ya 100M uko India unashindwa nini kutafuta demu bongo ukamuhonga hata 20M akubebee mimba hata kama hakutaki kiasi gani, mtoto akazaliwa ukapima DNA ukamchukua?

Mbona unatumia Masters kutatua shida inayohitaji living certificate ya Form IV.
 
Mim ni kijana wa kitanzania tokea nakua nahisi Nina damu ya kunguni nimekua ni mtu wa kukatawaliwa na wanawake pona yangu ni masturbation na dada poa, ni mwanamke mmoja tu alinikubalia lakin baada ya siku mbili alinipotezea, nimejaribu jamiiforum love connect Nako hola inaumiza Ila nimejifunza ni Bora kukubaliana na uhalisia ndo pona yangu
Mkuu,
Kwani una tatizo gani hasa.. kimo, kiba100, Sura, au ni nini?
 
Hapo suala ni kuwa huna mvuto.... sasa cha kufanya kama wewe ni muislam tafuta sheikh akufanyie dua angalau ya kuleta mvuto, kama ni mkristo pia nenda kanisani ukaombewe, na kama unaamini waganga nenda kwa sangoma akufanyie mambo uwe na mvuto hadi waanze kukufata wenyewe.
 
Back
Top Bottom