Surrogacy imeturahishishia maisha

Surrogacy imeturahishishia maisha

Mim ni kijana wa kitanzania tokea nakua nahisi Nina damu ya kunguni nimekua ni mtu wa kukatawaliwa na wanawake pona yangu ni masturbation na dada poa, ni mwanamke mmoja tu alinikubalia lakin baada ya siku mbili alinipotezea, nimejaribu jamiiforum love connect Nako hola inaumiza Ila nimejifunza ni Bora kukubaliana na uhalisia ndo pona yangu

Umri umeenda nataka niwe na familia changamoto kila mwanamke ananikataa option iliyopo nina kama kiasi flani cha fedha sitaki kukiweka sababu ntaonekana kama natumia mbinu ya kutafutia wanawake huku jf, kwa hiyo nimeona ni bora nitafute mtoto kwa njia ya surrogate

Wazazi na familia, marafiki na watu wanaonijua kwa ujumla watakua disappointment ila this is the way it is

Japokua najenga familia kupitia surrogate sichukii na sina kinyongo na wanawake au wanawaume ambao Wana mpango wa kuoa, au kuiponda ndoa kufanya hivyo nitajiingiza kwenye stress kitu ambacho nakikwepa sana najitahidi nistay positive

"Mda mwingine maisha hayakupi kile unachotaka Bali unachostahili"
K haiombwi kizembe hivyo mkuu
 
Ndo maisha kikubwa tutakufa wote ila sio wote watakuwa na watoto wengi hatuna tunakaza roho mahusiano pasua kichwa

Wema sepetu Hana,ommy dimpoz ,rommy Jones, wapo kibao kipanya mwanae mkubwa ana miaka 13 yeye ana miaka 50 means kazaa akiwa na 37

John Cena ana arobaini na kitu alikataa kuzaa na Nikki Bella wakaachana
Tukaze roho tupo wengi
 
Mkuu,
Kwani una tatizo gani hasa.. kimo, kiba100, Sura, au ni nini?
Inawezekana sura ni namba chafu. Ila mbona kuna jamaa mmoja hivi alikuwa ni mwalim wetu wa gym pale Keko, (Master Gym) alikuwa na sura mbaya balaa afu mrefu mweusi tiii yupo kama mdudu na tulishazoea kumuita Lakutisha.

Lakini alikuwa anawatomb* mademu balaa, tena watoto wazuri tu hadi tunashangaa. Yani nikisema sura mbaya ni ana sura mbaya haswaa na ilikuwa akikutana na watu uchochoroni usiku walikuwa wanamkimbia na wengine wanapoteza fahamu kwa mstuko.
 
Inawezekana sura ni namba chafu. Ila mbona kuna jamaa mmoja hivi alikuwa ni mwalim wetu wa gym pale Keko, (Master Gym) alikuwa na sura mbaya balaa afu mrefu mweusi tiii yupo kama mdudu na tulishazoea kumuita Lakutisha.

Lakini alikuwa anawatomb* mademu balaa, tena watoto wazuri tu hadi tunashangaa. Yani nikisema sura mbaya ni ana sura mbaya haswaa na ilikuwa akikutana na watu uchochoroni usiku walikuwa wanamkimbia na wengine wanapoteza fahamu kwa mstuko.
Kwamba wanapoteza fahamu jamani kweli
 
Kwamba wanapoteza fahamu jamani kweli
Bro, sio uongo nakwambia.... tena kuna muda alikuwa anatusimulia yeye mwenyewe, na mara zingine watu wanasema. Unajua Keko ilivyo na wahuni wa kila aina lakini wanamuogopa sana jamaa na kuna baadhi ya maskani za wahuni maaskari huwa wanaogopa kwenda wenyewe huwa wanaenda nae, yani huyo jamaa ni nusu mdudu nusu mtu afu ana nguvu balaa. Pata picha dumbbell ya kilo 70 anainyanyua na mkono mmoja!

Halafu sasa wapo mapacha na mwenzake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inawezekana sura ni namba chafu. Ila mbona kuna jamaa mmoja hivi alikuwa ni mwalim wetu wa gym pale Keko, (Master Gym) alikuwa na sura mbaya balaa afu mrefu mweusi tiii yupo kama mdudu na tulishazoea kumuita Lakutisha.

Lakini alikuwa anawatomb* mademu balaa, tena watoto wazuri tu hadi tunashangaa. Yani nikisema sura mbaya ni ana sura mbaya haswaa na ilikuwa akikutana na watu uchochoroni usiku walikuwa wanamkimbia na wengine wanapoteza fahamu kwa mstuko.
Kwa mwanaume kama una mpunga sura siyo ishu.
Mleta mada sijui ana mgogoro gani!
 
Una milioni 100+ halafu bado unalilia mapenzi? Ina maana una sura gani
Mim ni kijana wa kitanzania tokea nakua nahisi Nina damu ya kunguni nimekua ni mtu wa kukatawaliwa na wanawake pona yangu ni masturbation na dada poa, ni mwanamke mmoja tu alinikubalia lakin baada ya siku mbili alinipotezea, nimejaribu jamiiforum love connect Nako hola inaumiza Ila nimejifunza ni Bora kukubaliana na uhalisia ndo pona yangu

Umri umeenda nataka niwe na familia changamoto kila mwanamke ananikataa option iliyopo nina kama kiasi flani cha fedha sitaki kukiweka sababu ntaonekana kama natumia mbinu ya kutafutia wanawake huku jf, kwa hiyo nimeona ni bora nitafute mtoto kwa njia ya surrogate

Wazazi na familia, marafiki na watu wanaonijua kwa ujumla watakua disappointment ila this is the way it is

Japokua najenga familia kupitia surrogate sichukii na sina kinyongo na wanawake au wanawaume ambao Wana mpango wa kuoa, au kuiponda ndoa kufanya hivyo nitajiingiza kwenye stress kitu ambacho nakikwepa sana najitahidi nistay positive

"Mda mwingine maisha hayakupi kile unachotaka Bali unachostahili"
 
Mim ni kijana wa kitanzania tokea nakua nahisi Nina damu ya kunguni nimekua ni mtu wa kukatawaliwa na wanawake pona yangu ni masturbation na dada poa, ni mwanamke mmoja tu alinikubalia lakin baada ya siku mbili alinipotezea, nimejaribu jamiiforum love connect Nako hola inaumiza Ila nimejifunza ni Bora kukubaliana na uhalisia ndo pona yangu

Umri umeenda nataka niwe na familia changamoto kila mwanamke ananikataa option iliyopo nina kama kiasi flani cha fedha sitaki kukiweka sababu ntaonekana kama natumia mbinu ya kutafutia wanawake huku jf, kwa hiyo nimeona ni bora nitafute mtoto kwa njia ya surrogate

Wazazi na familia, marafiki na watu wanaonijua kwa ujumla watakua disappointment ila this is the way it is

Japokua najenga familia kupitia surrogate sichukii na sina kinyongo na wanawake au wanawaume ambao Wana mpango wa kuoa, au kuiponda ndoa kufanya hivyo nitajiingiza kwenye stress kitu ambacho nakikwepa sana najitahidi nistay positive

"Mda mwingine maisha hayakupi kile unachotaka Bali unachostahili"
Utakuwa unataka walio level ya juu yako. Wapige tu kamba wambie wewe mwanakitengo
 
Hapo suala ni kuwa huna mvuto.... sasa cha kufanya kama wewe ni muislam tafuta sheikh akufanyie dua angalau ya kuleta mvuto, kama ni mkristo pia nenda kanisani ukaombewe, na kama unaamini waganga nenda kwa sangoma akufanyie mambo uwe na mvuto hadi waanze kukufata wenyewe.

Acheni masikhara, mtu awe milioni 100 akose mvuto.!!
 
Msimbishie inawezekana kabisa...mambo ya kulogwa hayoo
 
Una milioni 100+ halafu bado unalilia mapenzi? Ina maana una sura gani
Sijui ni yupi kati ya hao.View attachment 2183046
FB_IMG_1648450380868.jpg
 
Ndo maisha kikubwa tutakufa wote ila sio wote watakuwa na watoto wengi hatuna tunakaza roho mahusiano pasua kichwa

Wema sepetu Hana,ommy dimpoz ,rommy Jones, wapo kibao kipanya mwanae mkubwa ana miaka 13 yeye ana miaka 50 means kazaa akiwa na 37

John Cena ana arobaini na kitu alikataa kuzaa na Nikki Bella wakaachana
Tukaze roho tupo wengi
John Cena jana mtoto?
 
Mim ni kijana wa kitanzania tokea nakua nahisi Nina damu ya kunguni nimekua ni mtu wa kukatawaliwa na wanawake pona yangu ni masturbation na dada poa, ni mwanamke mmoja tu alinikubalia lakin baada ya siku mbili alinipotezea, nimejaribu jamiiforum love connect Nako hola inaumiza Ila nimejifunza ni Bora kukubaliana na uhalisia ndo pona yangu

Umri umeenda nataka niwe na familia changamoto kila mwanamke ananikataa option iliyopo nina kama kiasi flani cha fedha sitaki kukiweka sababu ntaonekana kama natumia mbinu ya kutafutia wanawake huku jf, kwa hiyo nimeona ni bora nitafute mtoto kwa njia ya surrogate

Wazazi na familia, marafiki na watu wanaonijua kwa ujumla watakua disappointment ila this is the way it is

Japokua najenga familia kupitia surrogate sichukii na sina kinyongo na wanawake au wanawaume ambao Wana mpango wa kuoa, au kuiponda ndoa kufanya hivyo nitajiingiza kwenye stress kitu ambacho nakikwepa sana najitahidi nistay positive

"Mda mwingine maisha hayakupi kile unachotaka Bali unachostahili"
Kila la heri ndugu
 
Back
Top Bottom