Suzuki yangu pasua kichwa

We janja weed una matatizo.
 
Vua hiyo engine uza chuma chakavu valisha Engine mpya utasahau hayo majanga milele na milele, amina.
 
Acha kuvaa vi bukta na kukaa kwa shemeji...hvyo vigari huwezi kulinganisha na hio machine ya kazi
 
Acha kuvaa vi bukta na kukaa kwa shemeji...hvyo vigari huwezi kulinganisha na hio machine ya kazi
unaona mawazo yaleyale ooh gari ngumu sijui nini hayo ma manual machines sikuhizi hamna ndiomaana brand hizo Japan hawatengenezi tena, kimsingi kukomaa na mikweche ni dalili za umasikini, unaaje na gari mpaka mnafanana? jiongeze
 
unaona mawazo yaleyale ooh gari ngumu sijui nini hayo ma manual machines sikuhizi hamna ndiomaana brand hizo Japan hawatengenezi tena, kimsingi kukomaa na mikweche ni dalili za umasikini, unaaje na gari mpaka mnafanana? jiongeze
Mmmh ' ma manual machines siku hizi hamna'..anyway sawa mkuu, nimekuelewa
 
Mtaalam JituMirabaMinne , vipi kwa gari aina ya Suzuki Swift new model kuwaka taa ya check engine! Itakua ina changamoto gani? Au inataka tu service ndogo ya kumwaga oil, nk.

Ni manual gear box.
 
Nunua mswaki wa hio gari
 
unaona mawazo yaleyale ooh gari ngumu sijui nini hayo ma manual machines sikuhizi hamna ndiomaana brand hizo Japan hawatengenezi tena, kimsingi kukomaa na mikweche ni dalili za umasikini, unaaje na gari mpaka mnafanana? jiongeze
Unakuta mtu anamashamba porini huko, kila siku anabeba mbolea na mavi ya ng'ombe ili apate kuhudumia familia hivyo vi vits na ist vya nn?
 
shamba nunua pickup hizo gari ndio shughuli zake sio suzuki wala salon car
Maisha ya Mtz mpambanaji wa kawaida akitoka shamba gari inaoshwa wanaenda kanisani. Pickup atabeba mizigo na si kila siku shambani unabeba mizigo ila familia unawabeba kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…