captain temba
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 315
- 249
namaanisha anafunguka jmn
big up
sent from aifoni seveni plasi
big up
sent from aifoni seveni plasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wananichukulia kama MTU mkimya nisiyependa kujichanganya na Ninajiamini kupitilizaMarafiki zako wanakuelezea wewe kama mtu Wa aina gani
DJ sepetu
SWAHIBA ni neno tu LA kiswahili lenye maana Jamaa wa karibu au Rafiki wa karibu, likiwa limebeba maana halisi ya maisha yangu Marafiki ndio wamefanya Leo Mimi niwe hapa,nilitoroka home nilienda kuishi kwao na Rafiki yangu, na kwa kiasi kikubwa marafiki wamekuwa msaada wangu hata humu nafurahia uwepo wenu nafarijika sana hata kama sina ndg wa kunijali ila wapo marafiki wanaosimama zaidi ya ndg, 1992 Mwanzo wa siasa za vyama vingi TZ, napenda pia siasa ndo sababu ya hiyo 92 kuwa hapome nataka kujua why unajiita swahiba92
sent from aifoni seveni plasi
Ahsantenamaanisha anafunguka jmn
big up
sent from aifoni seveni plasi
Kwa kweli Mimi Huwa Nina sifa 1 pekee, mwanamme mwenye Hofu ya MUNGU ndani Yake, ndo ananifaa coz naamini mengine yote yamo ndani ya hiyo sifa kuu1Mwenza wako ana upekee gani
Sifa za mume bora kwako ni zipi
DJ sepetu
Wewe unaefanyia wadada interview huruhusiwa kuwatamani mkuu!!Aisee nikimaliza hapa nakuja pm
DJ sepetu
Mbona lile ombi langu hujanijibu jamani?[color=lengo LA hii interview ni nini hasa?? Picha hizo 2 nilitaka kukata tu ngebe za kwamba avatar yangu natumia picha za MTU, ila wewe kuanza kuniomba picha ni kutoka nje ya utaratibu mkuu au umepagawa?? Coz me nilijua interview hii ni kubadilishana uzoefu wa maisha na kufuarahi tu pa1 au kuna jingine??[/color]
jokes???ina maana akihamua kukutunuku utakataa???[emoji32][emoji32][emoji32]Jokes
DJ sepetu
Kutoa mimba ni chukizo mbele za MUNGU sijawahi kutoa mimba na kwa nini upate mimba bila mpangilio kama huna Akili timamu??? MUNGU alipomuumba mwanadamu Alimpatia Akili zaidi ya wanyama wengine kupambanua kati ya jema na Baya, Kupata mimba bila mpangilio huo ndo nauita uzembe wa hali ya juu sana na kutokujitambua unataka nini ktk maisha, mtoto ni mbaraka hapaswi kuja Dunani na kujuta kwa nini alizaliwa, na niwashauri wadada wanaotoa Mimba kwamba, Kutoa mimba hakukufanyi kuendelea kuitwa Binti Bali Kuitwa Mama wa watoto waliokufaUshawahi toa mimba!
Unachukuliaje suala hili
DJ sepetu
color=black]karibu lakini uwe mvumilivu tu coz naweza maliza hata week Niko online lakini sijafungua PM,[/color]naomba nije pm tafadhal
sent from aifoni seveni plasi
Somo toshaKutoa mimba ni chukizo mbele za MUNGU sijawahi kutoa mimba na kwa nini upate mimba bila mpangilio kama huna Akili timamu??? MUNGU alipomuumba mwanadamu Alimpatia Akili zaidi ya wanyama wengine kupambanua kati ya jema na Baya, Kupata mimba bila mpangilio huo ndo nauita uzembe wa hali ya juu sana na kutokujitambua unataka nini ktk maisha, mtoto ni mbaraka hapaswi kuja Dunani na kujuta kwa nini alizaliwa, na niwashauri wadada wanaotoa Mimba kwamba, Kutoa mimba hakukufanyi kuendelea kuitwa Binti Bali Kuitwa Mama wa watoto waliokufa