Swala la ardhi ya Bagamoyo ni strategy ya kisiasa tu, lakini kiuhalisia serikali ya Zanzibar haimaanishi kile ilichoongea

Asante mkuu Pascal Mayalla nimesoma ulichoandika na kuelewa vizuri utabiri wako.

Kifupi mimi nimekuwa nikifuatilia san michango yako toka miaka hiyo.

Na hata ulipotabiri ujio wa hayati Magufuli kuwa raisi, nilisoma uzi ule, nilichangia comment na ku Like pia.

Pamoja sana P
 
Ila JPM alikosea sana kumteua yule kuwa mgombea mwenza, au katiba hakuisoma vizuri? Au ndo ilikua lazima kuweka usawa??
 
Hahaha huyu wa bara ni jamii ile ile ya kina Mwinyi ambao wazazi au babu zao walikwenda kule kwa nia ya elimu akhera na kulowea huko.

Laiti angekuwa yule mwenyewe kabisa wa ndani ndani basi hiyo nafasi aliyonayo leo huku bara isingekuwa yake.

Kinachofanyika ni kumtengenezea njia mdogo wake ili hiyo 2025 katika kura ya maoni akutane na njia nyeupee.

Lkn kiuhalisia namba 1 tulienae huku ni mdigo wa Tanga.
 
Kuwa na uwezo au vinginevyo, wewe amini tu huu ni upepo uliofunguliwa kwa sababu maalum. Ukishapita watu wataendelea na maisha yao bila kusikia tena habari ya ardhi hiyo ya Bagamoyo.
Hao jamaa inasemekana ardhi ni ya kwao toka enzi za Nyerere afu wewe unasema eti ni tolii.
 
Suali kwani watu hawaruhusiwi kumiliki Ardhi Tanzania?
Ikiwa matajiri au watu wakigeni wana ruhusiwa kumiliki ardhi kwanini iwe viroja SMZ kumiliki Ardhi?
 
Katika siasa kila mtu anaweza kuongea lolote, lkn inapokuja swala la utekelezaji mambo huwa zero.

Hakuna nchi au mtu anaeweza kumega ardhi halali ya Tanganyiko.

Hili hata Malawi au Idi Amin huko alipo analijua, sembuse Kazanzibar
Umemwambia sahihi yaani ukitaka kutolewa fasta hata kufa jimix mega ardhi yetu uone Cha mtema Kuni
 
Shakespeare called this MUCH ADO ABOUT NOTHING. Hakuna kitu, hapa ni porojo tu nenda zako jitafutie riziki yako.

TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI, YENYE MITO NA MABONDE MENGI YA NAFAKA. UTUMWA WA NCHI KARUME AMEUKOMESHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…