Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Hehehe sio kweli mjini mtaji Mombasa njoo kwa thread yangu ya mombada
Salamu za Insta
Hahahahaha abadilishe jinaoohooo kumbe janjaro ndio kapigwa chini
Imani yako imekuponya bestsema ile ndoa na dogo sikuwahi kuiamini ...yani dogooo amiliki lile zigo ππ
kweli asee imeniponya ππππππImani yako imekuponya best
ππImani yako imekuponya! Hahahaha
Kumbe nawe una imani kama ya kwangu, akili iligoma kabisa kuamini wale ni wana ndoaπππ!sema ile ndoa na dogo sikuwahi kuiamini ...yani dogooo amiliki lile zigo ππ
ππππ lile zigo kiwango cha lami ujue alafu dogo changarawe π maana kama fame zigo lina fame kuliko dogo mkwanja zigo liko njema maana kwao watu wazito wale ukiingia love hakunaga kitu kama hichoKumbe nawe una imani kama ya kwangu, akili iligoma kabisa kuamini wale ni wana ndoaπππ!
Dogo kamyuti kama hayupo insta vile, maisha haya maigizo mengi sana!
ππππ lile zigo kiwango cha lami ujue alafu dogo changarawe π maana kama fame zigo lina fame kuliko dogo mkwanja zigo liko njema maana kwao watu wazito wale ukiingia love hakunaga kitu kama hicho
Hahahaahaaa!umeniacha hoi kinoma hapa[emoji23] eti mombasa[emoji23]Hehehe sio kweli mjini mtaji Mombasa njoo kwa thread yangu ya mombada
Money Penny againMh we mwenzetu upo Bongo au umeamka Leo? !
Nenda Instagram andika Uwoya uone
Karibu mjini
Umeona ee Uwoya Mtoto wa kishua sa nashangaa kujishusha vile kwa do go vepeππππ lile zigo kiwango cha lami ujue alafu dogo changarawe π maana kama fame zigo lina fame kuliko dogo mkwanja zigo liko njema maana kwao watu wazito wale ukiingia love hakunaga kitu kama hicho
Nenda instagramNimejaribu kuelewa nimeshindwa
Hamia RwandaDrama nyingi sana tz