Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
UjuziHivi kwann walozi mnawaita mafundi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UjuziHivi kwann walozi mnawaita mafundi??
Hawana lolote, sie tuliookoka wanatupigia salute na kutuamkia Kwa kutuogopa!!Ujuzi
Lengo huwa ni kuzuia kelele za maspika zisiwadistabu simba wakati huu wa kuzaliana.Ni sababu ipi ya kiutaalamu inayosababisha mikutano isiruhusiwe mbugani au hifadhini?
Je, ni usalama wa Wapinzani wasiliwe na Simba?
Maana wa chama tawala uwezo tunao wa kujilinda dhidi ya Simba ndo maana CCM Sisi hata leo tukiamua tunafanya.
Je, ni kuharibu nature ya eneo kama tunawaruhusu kwa wingi?
Lakini tumeona misafara ya watalii
Je, kuhofia hawatalipia Ada kuingia mbugani?
Hapa ndipo pa kupiga Pesa Kila kichwa kingehesabiwa laki 1 kuingia mbugani kwa shughuli nje ya Utalii kwa kila siku.
Kama walikuwa 100 ina maana hizo ni 10M per day.
Britanicca
Tanga kuna washirikina wengi sn, kwanini hao wanyama wasihamishiwe huko Msomera?Kule wanakohamia nako kumenuka!
Wamasai wengi wanarudi kimya kimya. Wanadai watu wa Msomera ni mafundi balaa!! Nyumba hazilaliki! Homa haziishi!
Ilimradi maluwe luwe 24/7!
Simba wenyewe walikuwa wanasubiri kusikiliza madini ya Lissu.Je, ni usalama wa Wapinzani wasiliwe na Simba?
Ni kweli! Waliookoka wengi ndo makamanda waoHawana lolote, sie tuliookoka wanatupigia salute na kutuamkia Kwa kutuogopa!!
... yaani kabisa ukampigie dume la simba ule wimbo wetu pendwa aliotunga mchungaji Msigwa!!?Usumbufu wa kalele kwa wanyama, inasumbua wanyama hawajazea hizo kelele.
... Tembo huchukizwa na sauti zenye pitch kubwa, ... WANAWEZA KUUVAMIA MSAFARA!Kelele za speaker zitawabughudhi wanyama. Na shauri lile zoezi la kusaka zile sare mitaani lianzie huko tuone kama nao watazuiliwa.
... yaani wamerudi MTAA WA SABA kabisa!!!!?Kule wanakohamia nako kumenuka!
Wamasai wengi wanarudi kimya kimya. Wanadai watu wa Msomera ni mafundi balaa!! Nyumba hazilaliki! Homa haziishi!
Ilimradi maluwe luwe 24/7!
Labda yawezekanaAu ndio ile jamuhuri ya watu wa Dubai?
CCM kwa huu ulaghai wenu hapana!