Swali chokonozi: Ni sababu gani ya msingi inaweza kuzuia mikutano ya hadhara kufanyika maeneo haya?

Lengo huwa ni kuzuia kelele za maspika zisiwadistabu simba wakati huu wa kuzaliana.
 
Usumbufu wa kalele kwa wanyama, inasumbua wanyama hawajazea hizo kelele.
... yaani kabisa ukampigie dume la simba ule wimbo wetu pendwa aliotunga mchungaji Msigwa!!?
πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ’₯
 
Kelele za speaker zitawabughudhi wanyama. Na shauri lile zoezi la kusaka zile sare mitaani lianzie huko tuone kama nao watazuiliwa.
... Tembo huchukizwa na sauti zenye pitch kubwa, ... WANAWEZA KUUVAMIA MSAFARA!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ’₯
 
Kule wanakohamia nako kumenuka!
Wamasai wengi wanarudi kimya kimya. Wanadai watu wa Msomera ni mafundi balaa!! Nyumba hazilaliki! Homa haziishi!
Ilimradi maluwe luwe 24/7!
... yaani wamerudi MTAA WA SABA kabisa!!!!?
πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ’₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…