Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
KabisaHahah swali la kibabe sana Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaHahah swali la kibabe sana Mkuu
Toa authority kwanza Mkuu alafu ndio uanze kushawishi tofauti na hapo inakuwa kama unatoa academic lecture MkuuInquest inawezekana, exhumination inawezekana, commission itayotoa ripoti inawezekana na tena tukaipata wote.
Anayeomba nae kaombwa - sasa file litaisaidia nini tena nchi yetu. Yeye angeomba katiba ibadilishwe kwa kuwa siku moja tukipata Makamu mchawi ataloga Rais ili arithi.Yaani Unataka Kuivuruga Tanzania
Watu walianza kupiga baba..wakamalizia na mtoto. Game over. Wamemaliza kazi wanakula bata tu. Muda wote wana smile...
NB: JOGOO LA SHAMBA HALIWIKI MJINI!
ChunguzeniTunataka uchunguzi bwana
Acha hizo, mateso tulipitia yalitoshaNauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.
lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion
Research question: Could this death be prevented?
Remember: Prevention is better than treatment!!
Mmmh mbona ikawa yeye ndio anatumiliki, kutofokea, kutupiga, hataki kukosolewa ,ukorofi moto na kundi lake la kina makonda na sabayaAlifariki akiwa Rais, kwahiyo alifariki akiwa Mali ya Jamhuri na wamiliki wa Jamhuri ni Wananchi.Having said so, these citzens have the right to know what transpired the death of their.................
Una uhalali gani? Wewe ni mke wake au watoto wake? Poor you! He is gone. It's enough talking about homNauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.
lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion
Research question: Could this death be prevented?
Remember: Prevention is better than treatment!!
Mimi si tabibu wala Daktari na sijui taratibu zao, Ila ninachojua ni kwamba taarifa za matibabu ya mtu ni faragha yake mwenyewe na hata kama Amefariki basi Ndugu wa karibu huwajika nazo. Lakini pia kama swala ni sababu ya kifo hilo nadhani liko wazi labda kama sijakuelewa.Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.
lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion
Research question: Could this death be prevented?
Remember: Prevention is better than treatment!!
Raisi kuwa mtu wa umma haimuondolei haki yake ya msingi ya kuwa na faragha hususani ya Matibabu.Ni mwananchi and ukishakuwa Rais unakuwa Public Property. Ndiyo maana Rais halishwi, kuvalishwa na kutibiwa na familia yake, kusafiri na kuishi kwa gharama za familia.
Alisikika mlevi mmoja baada ya kushiba kuber.