Swali chokonozi: TFF inaweza kumfungia mtanzania kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi?

Swali chokonozi: TFF inaweza kumfungia mtanzania kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Shirikisho la soka hapa nchini almaarufu kama TFF linaratibu, kuongoza na kusimamia soka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. CAF ni kwa Afrika nzima na FIFA ni kwa dunia. TFF inatekeleza majukumu yake, pamoja na mambo mengine, kupitia Kamati na uongozi wake.

Jana, Kamati ya Maadili imemfungia Msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara kujihusisha na soka 'ndani na nje ya nchi' kwa kipindi cha miaka miwili pamoja na kuamriwa kulipa adhabu ya milioni 20. Manara, akiungwa mkono na klabu yake ya Yanga, ameonyesha nia ya kukata rufaa dhidi ya adhabu hiyo. Tunasubiri kuona kitakachotokea.

Lakini, nimechukua muda wangu (pamoja na kwamba sijafanikiwa kupata, kusoma na kuelewa Kanuni zilizoiongoza Kamati jana) kutafakari juu ya kufungiwa kwa Manara 'ndani na nje' ya Tanzania. Najiuliza, TFF inaweza kumfungia mtanzania-kama Manara kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi?

Yaani, uamuzi wa TFF juu ya jambo lolote unaweza kuvuka mipaka ya Tanzania na hata kuingia mipaka ya CAF na FIFA? Mfano, Manara hawezi kwenda na kuwa Msemaji wa URA ya Uganda? Kama mamlaka ya TFF yanavuka mipaka ya Tanzania, uamuzi wa jana utabaki salama.

Kama mamlaka ya TFF, kupitia Kamati zake, hayavuki mipaka ya Tanzania, adhabu hiyo haipaswi kubaki salama kwasababu ina makosa surani pake na kumbukumbu zake (on the face of it and its records).
 
Mimi nadhani ni kwa ndani tu, nje ya nchi hapana kwa maana mwisho wa mipaka ya TFF ni ndani hapa TZ

Otherwise watafsiri kwa sheria zao za mchongo hawa Tanzania Football Failure


Ingelkuwa labada CAF au FIFA Ingekuwa sawa
 
Shirikisho la soka hapa nchini almaarufu kama TFF linaratibu, kuongoza na kusimamia soka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. CAF ni kwa Afrika nzima na FIFA ni kwa dunia. TFF inatekeleza majukumu yake, pamoja na mambo mengine, kupitia Kamati na uongozi wake.

Jana, Kamati ya Maadili imemfungia Msemaji wa Yanga Sunday Manara kujihusisha na soka 'ndani na nje ya nchi' kwa kipindi cha miaka miwili pamoja na kuamriwa kulipa adhabu ya milioni 20. Manara, akiungwa mkono na klabu yake ya Yanga, ameonyesha nia ya kukata rufaa dhidi ya adhabu hiyo. Tunasubiri kuona kitakachotokea.

Lakini, nimechukua muda wangu (pamoja na kwamba sijafanikiwa kupata, kusoma na kuelewa Kanuni zilizoiongoza Kamati jana) kutafakari juu ya kufungiwa kwa Manara 'ndani na nje' ya Tanzania. Najiuliza, TFF inaweza kumfungia mtanzania-kama Manara kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi?

Yaani, uamuzi wa TFF juu ya jambo lolote unaweza kuvuka mipaka ya Tanzania na hata kuingia mipaka ya CAF na FIFA? Mfano, Manara hawezi kwenda na kuwa Msemaji wa URA ya Uganda? Kama mamlaka ya TFF yanavuka mipaka ya Tanzania, uamuzi wa jana utabaki salama.

Kama mamlaka ya TFF, kupitia Kamati zake, hayavuki mipaka ya Tanzania, adhabu hiyo haipaswi kubaki salama kwasababu ina makosa surani pake na kumbukumbu zake (on the face of it and its records).
Nimejiuliza sana juu ya hili la kuvuka mipaka ya nchi wakati madaraka yao yanaishia Namanga, Mbambabay, Kilando, Mtukura, Rusumo, Kilambo, Mtambaswala, Kibirizi, etc
 
Neno "mtanzania" kwenye uzi wako limebeba maana pana zaidi.

Simply iko hizi, TFF wanaweza kumfungia mchezaji kucheza mpira nje na ndani ya nchi kama akikosea, kwasababu wao ndio regulators wa football ya Tanzania, wanahusika kwenye kutoa vibali ili mchezaji husika aruhusiwe kucheza nje, TFF akiwa ni mwanachama wa FIFA na CAF.

Lakini kwa suala la Manara [ni Haji sio Sunday kama ulivyoandika, huyo ni baba yake], anaweza kwenda nje ya nchi akafanya kazi kwenye klabu yoyote kama atapata hiyo nafasi, mamlaka ya TFF hayaja extend mpaka kufikia kumzuia mtu binafsi kuajiriwa kwenye vilabu vya soka nje ya nchi yake.
 
Wameweka mbwembwe tu na jazba mbele. Ila Manara nae apunguze kujiona yupo juu ya kila mtu. Yanga natamani wasingejihusisha na Manara tangu mwanzo hatufai.
 
Shirikisho la soka hapa nchini almaarufu kama TFF linaratibu, kuongoza na kusimamia soka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. CAF ni kwa Afrika nzima na FIFA ni kwa dunia. TFF inatekeleza majukumu yake, pamoja na mambo mengine, kupitia Kamati na uongozi wake.

Jana, Kamati ya Maadili imemfungia Msemaji wa Yanga Sunday Manara kujihusisha na soka 'ndani na nje ya nchi' kwa kipindi cha miaka miwili pamoja na kuamriwa kulipa adhabu ya milioni 20. Manara, akiungwa mkono na klabu yake ya Yanga, ameonyesha nia ya kukata rufaa dhidi ya adhabu hiyo. Tunasubiri kuona kitakachotokea.

Lakini, nimechukua muda wangu (pamoja na kwamba sijafanikiwa kupata, kusoma na kuelewa Kanuni zilizoiongoza Kamati jana) kutafakari juu ya kufungiwa kwa Manara 'ndani na nje' ya Tanzania. Najiuliza, TFF inaweza kumfungia mtanzania-kama Manara kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi?

Yaani, uamuzi wa TFF juu ya jambo lolote unaweza kuvuka mipaka ya Tanzania na hata kuingia mipaka ya CAF na FIFA? Mfano, Manara hawezi kwenda na kuwa Msemaji wa URA ya Uganda? Kama mamlaka ya TFF yanavuka mipaka ya Tanzania, uamuzi wa jana utabaki salama.

Kama mamlaka ya TFF, kupitia Kamati zake, hayavuki mipaka ya Tanzania, adhabu hiyo haipaswi kubaki salama kwasababu ina makosa surani pake na kumbukumbu zake (on the face of it and its records).
Wakili msomi ungejatibu kupitia miongozo ya FIFA kwa CAF na TFF. Maamuzi yote yanayofanyika lazima yazingatie miongozo iliyopo. Kama umeisoma ukaona TFF wamekiuka basi unaweza kwenda kumkatia rufaa mteja wako.
 
Dr. Haji Manara!

Hivi Taifa Stars hapa Bongo inacheza lini?

Wapenzi wa Dr. tuonyeshe upendo wetu wa kutokwenda uwanjani kwenye mechi za Taifa Stars.
 
Shirikisho la soka hapa nchini almaarufu kama TFF linaratibu, kuongoza na kusimamia soka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. CAF ni kwa Afrika nzima na FIFA ni kwa dunia. TFF inatekeleza majukumu yake, pamoja na mambo mengine, kupitia Kamati na uongozi wake.

Jana, Kamati ya Maadili imemfungia Msemaji wa Yanga Sunday Manara kujihusisha na soka 'ndani na nje ya nchi' kwa kipindi cha miaka miwili pamoja na kuamriwa kulipa adhabu ya milioni 20. Manara, akiungwa mkono na klabu yake ya Yanga, ameonyesha nia ya kukata rufaa dhidi ya adhabu hiyo. Tunasubiri kuona kitakachotokea.

Lakini, nimechukua muda wangu (pamoja na kwamba sijafanikiwa kupata, kusoma na kuelewa Kanuni zilizoiongoza Kamati jana) kutafakari juu ya kufungiwa kwa Manara 'ndani na nje' ya Tanzania. Najiuliza, TFF inaweza kumfungia mtanzania-kama Manara kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi?

Yaani, uamuzi wa TFF juu ya jambo lolote unaweza kuvuka mipaka ya Tanzania na hata kuingia mipaka ya CAF na FIFA? Mfano, Manara hawezi kwenda na kuwa Msemaji wa URA ya Uganda? Kama mamlaka ya TFF yanavuka mipaka ya Tanzania, uamuzi wa jana utabaki salama.

Kama mamlaka ya TFF, kupitia Kamati zake, hayavuki mipaka ya Tanzania, adhabu hiyo haipaswi kubaki salama kwasababu ina makosa surani pake na kumbukumbu zake (on the face of it and its records).
Jibu lake ndi ndio

Kwa sababu Tff ndio wamekasimiwa mamlaka ya kusimamia na kuendesha soka hapa Nchini ...........
 
Neno "mtanzania" kwenye uzi wako limebeba maana pana zaidi.

Simply iko hizi, TFF wanaweza kumfungia mchezaji kucheza mpira nje na ndani ya nchi kama kikosea, kwasababu wao ndio regulators wa football ya Tanzania, wanahusika kwenye kutoa vibali ili mchezaji husika aruhusiwe kucheza nje, TFF akiwa ni mwanachama wa FIFA na CAF.

Lakini kwa suala la Manara [ni Haji sio Sunday kama ulivyoandika, huyo ni baba yake], anaweza kwenda nje ya nchi akafanya kazi kwenye klabu yoyote kama atapata hiyo nafasi, mamlaka ya TFF hayaja extend mpaka kufikia kumzuia mtu binafsi kuajiriwa kwenye vilabu vya soka nje ya nchi yake.
Nadhani wameelewa mkuu
 
Kama mamlaka ya TFF, kupitia Kamati zake, hayavuki mipaka ya Tanzania, adhabu hiyo haipaswi kubaki salama kwasababu ina makosa surani pake na kumbukumbu zake (on the face of it and its records).
#haki kwa Manara..
 
Hivi umesahau wakati Manara yupo Simba ulitaka afungiwe Kwa kuharibu soka la Tanzania
Ndiyo afungiwe kwa kosa la kurushiana maneno na Wallace Karia katia mazingira ambayo kila mtu joto la mwili lilikuwa juu?

Na hapa ifahamike wazi Karia ni mwanachama wa Coastal Union, na pia ni shabiki wa simba!
 
Back
Top Bottom