SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

Sanyambila

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2018
Posts
378
Reaction score
510
Wanajamii habari!

Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa CCM wakilalamika na kusikitika huku wakidai vijana mmekosa ajira sasa nipeni kura nitatoa ajira. Huku CCM ndo wamekaa madarakani miaka 59 wakitoka TANU hadi CCM.

Mgombea wa urais amesikika Mara kadhaa akisema '' chagueni CCM vyama vingine vitaleta vurugu na kutuibia rasili mali zetu '' je KWA muda wote huo ,59 miaka hakukuwa na wizi madini, nyara za serikali ,ufisadi was pesa, MF EPPA, ESCROW.

Pigeni siasa safi bila kusingizia mtu bebeni majukumu yenu yatekelezeni mgombea anasema ufisadi ulijaa nimeuondoa hao wapinzani ni wapiga dili swali je waliongoza lini serilikali wakapiga dili?

Mgombea wa ccm amekuwepo katika vipindi vinne katika awamu mbili za mkapa na kikwete lakini naye eti anashangaa kilichotu fikisha hapa.

Ni hayo tu karibu kwa mjadala.

Ahsante.

NOTE: SINA. CHAMA WA MSHABIKI BALI MZALENDO TU
 
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.
 
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.
... yaani yote uliyoelezea hapa; mazuri ya serikali; ingemchukua Magufuli hardly 30min. kuubomoa na kuumaliza kabisa upinzani kwa hoja kama angekubali debate iliyoombwa mno na Tundu Lissu. Kwa hoja zake maridhiwa, nchi nzima ingemuunga mkono na kuachana na upinzani usio na hoja unaopinga kila kitu kama unavyodai!

Sijui kwanini Mh. ameamua kukimbia platform ambayo zaidi ya 85% ya wapenzi wa siasa wangekua online kusikiliza hoja maridhawa kutoka kwake; hakuna gharama za wasanii, n.k. Another golden chance; the best chance ya kuelezea mafanikio makubwa ya serikali imepotea bure!
 
Ni vigumu kufanya debate na mtu ambaye atatukana. Sawa tu Rais alivyokataa. Kisiasa imekaa vizuri.
 
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.
Tukisema akili za kuku ndio hizi unazoonesha wewe.

Hivi upinzani wanapinga vipi maendeleo wakati bungeni ccm ni wengi wanatunga sheria na zinapita, sera wanatunga ccm na serikali ipo chini ya ccm.
Hebu nitajie mazingira ambayo upinzani wali'destroy' kile kilichofanywa na ccm.

Huu upumbavu kawaambie wapumbavu wenzio.

Jambo lililowazi ni kwamba ccm imeshindwa kututoa hapa tulipo kwenda pazuri zaidi licha ya kuwa madarakani miaka yote msiwe na kisingizio chochote.
 
Tukisema akili za kuku ndio hizi unazoonesha wewe.

Hivi upinzani wanapinga vipi maendeleo wakati bungeni ccm ni wengi wanatunga sheria na zinapita, sera wanatunga ccm na serikali ipo chini ya ccm.
Hebu nitajie mazingira ambayo upinzani wali'destroy' kile kilichofanywa na ccm.

Huu upumbavu kawaambie wapumbavu wenzio.

Jambo lililowazi ni kwamba ccm imeshindwa kututoa hapa tulipo kwenda pazuri zaidi licha ya kuwa madarakani miaka yote msiwe na kisingizio chochote.
Listen usiwe mjinga na wewe buana.

Umezungumzia bungeni!

Ulishawahi angalia bunge??

Uwepo wa principal Laws zinazoruhusu utungwaji wa by Laws umewapunguzia sana majukumu ya Wabunge kutunga sheria.

Jukumu kubwa lillilobaki kwa wabunge kwa sasa ni kutoa kero za wananchi wake.

Wabunge wengi wa upinzani hawajui hili jukumu lao.
1. Mtu yupo bungeni sometimes anasinzia tu, anatukana tu, ana jimbo mkoani lakini baada ya vikao vya bunge anakula bata dar es salaam, hasemi changamoto za wananchi wake bali yupo pale kuchekesha wabunge wengine(Comedian).

Hapo inafika wakati wa kudiscuss budget unafikiri jimbo lako lizingatiwa wakati hujatoa hata changamoto kushow kuwa hauna stend/barabara jimboni kwako..ukihisi endapo serikali itajenga basi CCM wataendelea kugain popularity & trust kutoka kwa wananchi..kumbe wakati huo unawatesa wananchi wako.
 
Listen usiwe mjinga na wewe buana.

Umezungumzia bungeni!

Ulishawahi angalia bunge??

Uwepo wa principal Laws zinazoruhusu utungwaji wa by Laws umewapunguzia sana majukumu ya Wabunge kutunga sheria.

Jukumu kubwa lillilobaki kwa wabunge kwa sasa ni kutoa kero za wananchi wake.

Wabunge wengi wa upinzani hawajui hili jukumu lao.
1. Mtu yupo bungeni sometimes anasinzia tu, anatukana tu, ana jimbo mkoani lakini baada ya vikao vya bunge anakula bata dar es salaam, hasemi changamoto za wananchi wake bali yupo pale kuchekesha wabunge wengine(Comedian).

Hapo inafika wakati wa kudiscuss budget unafikiri jimbo lako lizingatiwa wakati hujatoa hata changamoto kushow kuwa hauna stend/barabara jimboni kwako..ukihisi endapo serikali itajenga basi CCM wataendelea kugain popularity & trust kutoka kwa wananchi..kumbe wakati huo unawatesa wananchi wako.
Nimekwambia onesha ni kwa namna gani wapinzani wanazuia maendeleo umebaki kubwabwaja umehamia bungeni sasa.

Na kwa taarifa yako tu majimbo yanayoongozwa na wabunge wa ccm ndio yako choka mbaya. Mfano Tabora, Dodoma ukitoa mjini, Ruvuma huko kote ni CCM.

Sasa je upinzani wanazuwiaje hayo maendeleo yenu nyi ccm?
Usioongee tu kama kasuku leta facts.
 
Ccm pumzi imekata,hawana namna tena ya kuikwamua Tanzania hapa tulipo kwama.Wamekuwa kama wao ndio wapinzani,wanalalamikia awamu zilizopita,wakati awamu hii imemaliza miaka mitano hali ndio inazidi kuwa mbaya kwa wapiga kura.
MITANO KWANZA
#NI YEYE
 
Wanajamii habari!

Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa CCM wakilalamika na kusikitika huku wakidai vijana mmekosa ajira sasa nipeni kura nitatoa ajira. Huku CCM ndo wamekaa madarakani miaka 59 wakitoka TANU hadi CCM.

Mgombea wa urais amesikika Mara kadhaa akisema '' chagueni CCM vyama vingine vitaleta vurugu na kutuibia rasili mali zetu '' je KWA muda wote huo ,59 miaka hakukuwa na wizi madini, nyara za serikali ,ufisadi was pesa, MF EPPA, ESCROW.

Pigeni siasa safi bila kusingizia mtu bebeni majukumu yenu yatekelezeni mgombea anasema ufisadi ulijaa nimeuondoa hao wapinzani ni wapiga dili swali je waliongoza lini serilikali wakapiga dili?

Mgombea wa ccm amekuwepo katika vipindi vinne katika awamu mbili za mkapa na kikwete lakini naye eti anashangaa kilichotu fikisha hapa.

Ni hayo tu karibu kwa mjadala.

Ahsante.

NOTE: SINA. CHAMA WA MSHABIKI BALI MZALENDO TU

Sina hakika kama unajua maana ya neno awamu wewe.
 
Wanajamii habari!

Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa CCM wakilalamika na kusikitika huku wakidai vijana mmekosa ajira sasa nipeni kura nitatoa ajira. Huku CCM ndo wamekaa madarakani miaka 59 wakitoka TANU hadi CCM.

Mgombea wa urais amesikika Mara kadhaa akisema '' chagueni CCM vyama vingine vitaleta vurugu na kutuibia rasili mali zetu '' je KWA muda wote huo ,59 miaka hakukuwa na wizi madini, nyara za serikali ,ufisadi was pesa, MF EPPA, ESCROW.

Pigeni siasa safi bila kusingizia mtu bebeni majukumu yenu yatekelezeni mgombea anasema ufisadi ulijaa nimeuondoa hao wapinzani ni wapiga dili swali je waliongoza lini serilikali wakapiga dili?

Mgombea wa ccm amekuwepo katika vipindi vinne katika awamu mbili za mkapa na kikwete lakini naye eti anashangaa kilichotu fikisha hapa.

Ni hayo tu karibu kwa mjadala.

Ahsante.

NOTE: SINA. CHAMA WA MSHABIKI BALI MZALENDO TU
Wamekata tamaa
 
Ungetoa mfano mkuu vinginevyo hayo ni maneno tu km yale ya ktk taharab za akina hadija kopa, wapinzan ni wachache sana kufanya hujuma unazosema.

Ccm ina mpaka dola, wh can dare kuyafanya ayo unayoyasema??

Ukweli ccm has done very little kwa kipindi chote au kwa uwezo wao mdogo ktk kubuni hawana la maana to the extent hoja za upinzan zinakua na mashiko
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.
 
Nimekwambia onesha ni kwa namna gani wapinzani wanazuia maendeleo umebaki kubwabwaja umehamia bungeni sasa.

Na kwa taarifa yako tu majimbo yanayoongozwa na wabunge wa ccm ndio yako choka mbaya. Mfano Tabora, Dodoma ukitoa mjini, Ruvuma huko kote ni CCM.

Sasa je upinzani wanazuwiaje hayo maendeleo yenu nyi ccm?
Usioongee tu kama kasuku leta facts.
Maendeleo ya nchi bila kulitaja bunge ambapo wanadiscuss budget, na kudiscuss baraza la mawaziri kuhusu utekelezaji wake wa hiyo budget unakuwa unazungumza nini sasa.

Natamani kuandika sana,lakini nafsi yangu inasema inatosha.
 
Back
Top Bottom