SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.
Unajua maana ya upinzani wewe??? Ulitaka wasifie hata pale serikali hata inapotimiza wajibu wake??? Wakati wa mwalimu hakuwa na upinzani mbona watu walitembea pekupeku???? Embu nenda tena kasome roles za opposition parties acha kubweka
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana! ungejaribu hata kumuelewa mleta mada usingeandika hizi pumba ulizoandika hapa, Mgombea wa ccm anaposema nchi yetu ilikuwa imefika pabaya, je ni viongozi wa chama gani walikuwa madarakani? ufisadi, uuzwaji wa wanyama wetu kiholela, mikataba ya hovyo, nk ni upinzani gani uliyafanya hayo? ni lini na wapi upinzani walizuia maendeleo yasipelekwe kwa wananchi?
Safi umelewa vizuri saaaana .
 
Suala la debate liwe la kisheria ni lazima sio hiyari, ukiwa unataka kuwa kiongozi mkuu wa nchi ni lazima ukubali kuulizwa. Ni vizuri kuongelea uliyofanya ila haikufanyi usiulizwe maana ukija katika uchaguzi mpya utaulizwa unataka kufanya nini sio ulifanya nini, uliyoyafanya umeshapigiwa kura ndio maana unaomba tena tukijikita kila mara ohhh unajuwa tulikuwa na shule 2 leo 10 sijui Ma Dr 10 leo 20 hiyo haisaidii lolote na wala nchi haitaendelea. Hapa naomba miaka 5 sababu tunataka kufanya A, B, C ... na kama hukuyafanya uliyoahidi nyuma utaulizwa.
Nakuapia magufuli hawezi kukubali mdahalo. Na ccm hawwezi kamwe kuruhusu huyu mgombea aende mdahalo na Lisu, labda miaka ijayo watakapokuwa na mgombea tofauti. Wanadanganya watu tumejenga shule, hospital, maji etc. Wanjua wanaongea na watu ambao hawana uwezo wa kuhoji uwiano wa hizo huduma na rasilimali tulizo nazo au naidadi ya watu. Wanajua wanaongea na watu wasio na uwezo wa kuhoji ccm; mefanya no ni kwa mika 60; iliyokaa Madara kani. Kwenye mdahalo Lisu atawauliza maswali ambayo watakosa majibu. Hawata kubali mdshalo ng'o.
 
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.
Maendeleo mpaka yatangazwe TBC, huku mtaani hatuyaoni, mvua kidogo ya juzi imewaumbua
 
Hawana hoja miaka 59 wameshindwa kuleta maendeleo miaka mitano ndio wataweza , wengi ni vilaza wa kutupa wakiongozwa na PhD .
 
Wanajamii habari!

Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa CCM wakilalamika na kusikitika huku wakidai vijana mmekosa ajira sasa nipeni kura nitatoa ajira. Huku CCM ndo wamekaa madarakani miaka 59 wakitoka TANU hadi CCM.

Mgombea wa urais amesikika Mara kadhaa akisema '' chagueni CCM vyama vingine vitaleta vurugu na kutuibia rasili mali zetu '' je KWA muda wote huo ,59 miaka hakukuwa na wizi madini, nyara za serikali ,ufisadi was pesa, MF EPPA, ESCROW.

Pigeni siasa safi bila kusingizia mtu bebeni majukumu yenu yatekelezeni mgombea anasema ufisadi ulijaa nimeuondoa hao wapinzani ni wapiga dili swali je waliongoza lini serilikali wakapiga dili?

Mgombea wa ccm amekuwepo katika vipindi vinne katika awamu mbili za mkapa na kikwete lakini naye eti anashangaa kilichotu fikisha hapa.

Ni hayo tu karibu kwa mjadala.

Ahsante.

NOTE: SINA. CHAMA WA MSHABIKI BALI MZALENDO TU
CCM wana laana
 
Nakuapia magufuli hawezi kukubali mdahalo. Na ccm hawwezi kamwe kuruhusu huyu mgombea aende mdahalo na Lisu, labda miaka ijayo watakapokuwa na mgombea tofauti. Wanadanganya watu tumejenga shule, hospital, maji etc. Wanjua wanaongea na watu ambao hawana uwezo wa kuhoji uwiano wa hizo huduma na rasilimali tulizo nazo au naidadi ya watu. Wanajua wanaongea na watu wasio na uwezo wa kuhoji ccm; mefanya no ni kwa mika 60; iliyokaa Madara kani. Kwenye mdahalo Lisu atawauliza maswali ambayo watakosa majibu. Hawata kubali mdshalo ng'o.
Changamoto nyingine kubwa Tanzania hatuna media au tuseme waandishi wanaoweza kuwa na ujasiri wa kuuliza maswali magumu kwa uelewa mkubwa ili wagombeaji waweze kukumbana na mtu mwenye uelewa mkubwa labda wako ila hawafanyi kazi na main stream media sababu ya weledi. Nadhani mtu kama General Ulimwengu angeweza tatizo wanachukuliwa kama wapinzani. Mimi naamini tunashida kubwa ya waandishi wa habari tuna wapasha habari tu wanachoambiwa wanaandika no questions wala uchambuzi.
 
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.

Kwani basi Hao wanainchi wanaitaji kuambiwa? Si wanaona tu Hali halisi the way ilivyo

Kwani ww una haja ya kuambiwa serikali hakuna kitu imefanya kwenye jiji la dar es salaam?

Si mvua mmoja tu ya juzi umepata majibu yote
 
Listen usiwe mjinga na wewe buana.

Umezungumzia bungeni!

Ulishawahi angalia bunge??

Uwepo wa principal Laws zinazoruhusu utungwaji wa by Laws umewapunguzia sana majukumu ya Wabunge kutunga sheria.

Jukumu kubwa lillilobaki kwa wabunge kwa sasa ni kutoa kero za wananchi wake.

Wabunge wengi wa upinzani hawajui hili jukumu lao.
1. Mtu yupo bungeni sometimes anasinzia tu, anatukana tu, ana jimbo mkoani lakini baada ya vikao vya bunge anakula bata dar es salaam, hasemi changamoto za wananchi wake bali yupo pale kuchekesha wabunge wengine(Comedian).

Hapo inafika wakati wa kudiscuss budget unafikiri jimbo lako lizingatiwa wakati hujatoa hata changamoto kushow kuwa hauna stend/barabara jimboni kwako..ukihisi endapo serikali itajenga basi CCM wataendelea kugain popularity & trust kutoka kwa wananchi..kumbe wakati huo unawatesa wananchi wako.
Uelewa wa watu ni tofauti. Sasa wabunge gani wanaopereka shida za wananchi bungeni kama si wapinzani ?!. Wenzao wa Ccm ni kupiga meza na kusifu serikali !!
 
Wanajamii habari!

Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa CCM wakilalamika na kusikitika huku wakidai vijana mmekosa ajira sasa nipeni kura nitatoa ajira. Huku CCM ndo wamekaa madarakani miaka 59 wakitoka TANU hadi CCM.

Mgombea wa urais amesikika Mara kadhaa akisema '' chagueni CCM vyama vingine vitaleta vurugu na kutuibia rasili mali zetu '' je KWA muda wote huo ,59 miaka hakukuwa na wizi madini, nyara za serikali ,ufisadi was pesa, MF EPPA, ESCROW.

Pigeni siasa safi bila kusingizia mtu bebeni majukumu yenu yatekelezeni mgombea anasema ufisadi ulijaa nimeuondoa hao wapinzani ni wapiga dili swali je waliongoza lini serilikali wakapiga dili?

Mgombea wa ccm amekuwepo katika vipindi vinne katika awamu mbili za mkapa na kikwete lakini naye eti anashangaa kilichotu fikisha hapa.

Ni hayo tu karibu kwa mjadala.

Ahsante.

NOTE: SINA. CHAMA WA MSHABIKI BALI MZALENDO TU
Hiyo ni mbinu ya kuwahadaa na kuwasahaulisha , wale wasio wafahamu vyema. Ila kwa watu Makini hutambua Mara moja Kama hiyo ni hadaa.
 
Changamoto nyingine kubwa Tanzania hatuna media au tuseme waandishi wanaoweza kuwa na ujasiri wa kuuliza maswali magumu kwa uelewa mkubwa ili wagombeaji waweze kukumbana na mtu mwenye uelewa mkubwa labda wako ila hawafanyi kazi na main stream media sababu ya weledi. Nadhani mtu kama General Ulimwengu angeweza tatizo wanachukuliwa kama wapinzani. Mimi naamini tunashida kubwa ya waandishi wa habari tuna wapasha habari tu wanachoambiwa wanaandika no questions wala uchambuzi.
Mimi nimekuelewa mkuu, nadhani waandishi wazuri tunao ila wamejazwa hofu na uoga, hapa kwetu kuhoji sana na kuonyesha uelewa mkubwa wa mambo ni dhambi! ndio maana unaona tuna uwezo wa kutoa waandishi hapa kwetu hadi kufanya kazi na media kubwa kama BBC, wale waandishi wa BBC wakikuandama na maswali kama hauko vzr kichwani unarusha matusi au ngumi kbs!
 
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.
Hili sio kweli ila CCM ndio wanataka kuaminisha watu hivyo.
Upinzani siku zote wameikosoa CCM pale inapokua na projects ambazo hazina tija.

Upinzani wamekua wakidai projects zenye tija kwa ajili ya majimbon yao na kwa ajili ya Taifa kiujumla.

Upinzani Hawa pingi maendeleo ila Wana kosoa mnapokosea na kuwapa mawazo mbadala.
Infact pale Ccm inapopatia Upinzani huwa inakubali.

Tatizo ZAMA hii Serikali imekua ikonyesha pale Upinzani inapokataa tu na inajitahidi kuaminisha wananchi kwamba Upinzani Ni wapinga maendeleo. Sio kweli. Kwani wao Ni vichaa, kwani wao hawataki kujiongezea kukubalika kwa wananchi
 
Kwani basi Hao wanainchi wanaitaji kuambiwa? Si wanaona tu Hali halisi the way ilivyo

Kwani ww una haja ya kuambiwa serikali hakuna kitu imefanya kwenye jiji la dar es salaam?

Si mvua mmoja tu ya juzi umepata majibu yote
Haha!

Hivi unaijua shida tuliyokuwa tunaipata before ujenzi wa flyover ya ubungo??

Mwananyamala na baadhi ya maeneo ya kinondoni walivyo kuwa wanapata shida before ujenzi wa hizi streets roads!
Na mengine Mengi.

Usingethubutu kusema hili Jambo.

Haya mambo ya Mafuriko sometimes ni acts of God sababu hata London pia Mafuriko hutokea.
 
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.

Kielelezo cha tatizo la nchi hii ni hiki hapa, wewe!! Hujui maana ya upinzani! Upinzani uko katika kutaka kufanya mambo kwa namna tofauti, huku wakielezea wana njia bora!! Ungekuwa na akili ungefahamu CCM ni mpinzani au mmoja wa wapinzani wa vyama vingine vya siasa!! Vyama vya siasa vipo ili kupata nafasi ya kuongoza, kwa hiyo ni kawaida watapinga na ni sahihi!! Na hata anachofanya CCM ni kuonesha kuwa njia zinazopendekezwa na vyama vingine vya siasa, sio nzuri na inashawishi iendee kupewa ridhaa!!

Hakuna chama cha siasa kinachokataa maendeleo. Vyama vinatofautiana katika njia za kufanya mambo na vipaumbele!!

Inasikitisha sana kijana kama wewe kuwa na mkwamo katika uelewa kwa kiasi hiki! Kazi ya vyama ni kushindana!! Unachokiita “kushauri na kuelekeza” ndio hasa kuonesha kuna njia tofauti! Nadhani wewe ukiambiwa leo 9 ni jibu la kitu gani, utasema 3x3. Utasahau hata 4+5 = 9, 18/2 = 9 na hata 10-1 =9!! Lakini kwa kuwa huna uwezo wa kutambua kuwa namba zote hizo hazifanani wala aljebra - hutajua kuwa matokeo hufikiwa kwa njia tofauti na wapinzani wanaomba ridhaa ya kutumia hizo njia tofauti na si ajabu wakipinga njia za CCM.

Ukiendelea kuwaza kwa ufinyu huu, hutasonga hata hatua moja, 2025 utakuwa hivi hivi ulivo leo!!
 
Wanajamii habari!

Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa CCM wakilalamika na kusikitika huku wakidai vijana mmekosa ajira sasa nipeni kura nitatoa ajira. Huku CCM ndo wamekaa madarakani miaka 59 wakitoka TANU hadi CCM.

Mgombea wa urais amesikika Mara kadhaa akisema '' chagueni CCM vyama vingine vitaleta vurugu na kutuibia rasili mali zetu '' je KWA muda wote huo ,59 miaka hakukuwa na wizi madini, nyara za serikali ,ufisadi was pesa, MF EPPA, ESCROW.

Pigeni siasa safi bila kusingizia mtu bebeni majukumu yenu yatekelezeni mgombea anasema ufisadi ulijaa nimeuondoa hao wapinzani ni wapiga dili swali je waliongoza lini serilikali wakapiga dili?

Mgombea wa ccm amekuwepo katika vipindi vinne katika awamu mbili za mkapa na kikwete lakini naye eti anashangaa kilichotu fikisha hapa.

Ni hayo tu karibu kwa mjadala.

Ahsante.

NOTE: SINA. CHAMA WA MSHABIKI BALI MZALENDO TU
Ulisha elewa kwanini shetani analaumiwa siku zote?
 
Upinzani wapo mbele sana kupinga kila kitu kinachofanya na serikali.Wanafika mahali wanadestroy hata kile kilichofanywa na serikali ili kuwaaminisha wananchi kuwa serikali yao haifanyi jambo lolote. Hii ni kwa benefit yao ili kusudi Uchaguzi Ujao wananchi waamini serikali iliyopita haikufanya lolote.

In short, upinzani wa Tanzania upo kuzuia na kupinga Maendeleo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, Na sio kuikosoa na kuielekeza serikali njia sahihi(ambalo kazi kubwa ya upinzani).

Tanzania na baadhi ya nchi za kiafrika tumeipokea na kupractice Democracy in negative way.
Jiulize swali moja tu, kwanini unapokea malipo ya wewe kuandika ujinga humu?
Mwaga pombe kura kwa Mh Lisuu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom