Swali fyatu: je, Makonda anafunua udhaifu wa IDARA na mamlaka ya Uteuzi?

Swali fyatu: je, Makonda anafunua udhaifu wa IDARA na mamlaka ya Uteuzi?

Jibu ni kuwa idara siyo dhaifu na wala hazina udhaifu.nali zinatoa taarifa na taarifa zinafanyiwa kazi na mamlaka. Usilazimishe upewe majibu yaliyo katika akili yako.huo ni ujinga na ujuha.
Juha ni watetezi wa panya wanaotafuna boti letu la mhogo,hata kutaka kutuzamisha wote🤔
 
Preamble ipo kwenye heading.

Kupitia mikutano ya chamchela ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM bw. Makonda, tumeshuhudia kero mbalimbali zikiibuliwa na wananchi wanaofika mikutano hiyo.

Awali yule dikteta alikuwa anazifanyia maamuzi palepale. Lakini Hangaya alishasema kuwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Kuna syndicate ya uhuni kwenye watumishi wa umma hususani wateule na wakuu wa idara mbalimbali. Mengi ya malalamiko ya wananchi yanatokana na maamuzi mabovu ya wateule, au ubabe au dhuluma au ubadhirifu unaopelekea watu kupokwa haki zao.

Lakini kwa sisi raia pacha wa Cuba na Tz tumeona mbali zaidi na kujiuliza maswali kadhaa ikiwemo haya

  1. Idara ambayo imejaza maofisa lukuki ngazi ya wikaya na mikoa, ina maana hawakusanyi taarifa za utendaji mbovu unaodhalilisha mamlaka ya uteuzi?
  2. Kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mkoa ina maana hawayaoni haya matatizo na kuyapatia ufumbuzi kwa wakati?
  3. Tuseme labda IDARA wanakusanya taarifa na kuzifikisha kwenye meza ya mamlaka ya uteuzi. Je zinapuuzwa au zinawekwa akiba kwa minajili ya mtaji wa kisiasa?
  4. Sote tunajua Katiba na Sheria za nchi zimepelekwa likizo ya lazima na watawala wetu. Je wanajisikiaje kuona asilimia kubwa ya kero za wananchi zinasababishwa na wateule wa Rais?
Maswali ni mengi, lakini haya machache yatufungue akili kidogo

Pascal Mayalla Retired Ritz Demi Mamndenyi ChoiceVariable Lucas mwashambwa NAMBA MOJA AJAYE NCHINI TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Myebusi Mweusi Erythrocyte Earthmover figganigga Samiaagain2025 CM 1774858 NANGA WA DEPO johnthebaptist FaizaFoxy Tatabhyala Mzee Mwanakijiji Kijana LOGICS KUKU PORI raraa reree Extrovert min -me
Makonda anapiga kazi hadi wajiulize kwa nini aliteuliwa huyu jamaa?
Mungu ampe tu hii nchi baada ya mama Samia.
 
Jibu ni kuwa idara siyo dhaifu na wala hazina udhaifu.nali zinatoa taarifa na taarifa zinafanyiwa kazi na mamlaka. Usilazimishe upewe majibu yaliyo katika akili yako.huo ni ujinga na ujuha.
Bado hujasema
 
Mbumbumbu wote wanaelewa unavyoelewa wewe.
Swali pale juu linahitaji matumizi ya akili na siyo mihemko ya kifataki fataki
Ni mtu mpumbavu tu asiyeijua nguvu ya Makonda na Kiti chake kwa sasa

Lakini ni mtu mbunyembunye tu asiyejua kwanini baada ya kuondoka Polepole Waenezi Wawili Shaka na Sophia walichemka na kutumbuliwa lakini Komredi Makonda ameiweza 😁

Mwenezi wa CCM anaingia popote pale Hata hapo Chadema na kufanya yake!
 
... Haya ya kudhulumiana mtu na mtu au kucheleweshwa kulipwa madai na halmashauri ni mambo yatakayoendelea kushughulikiwa kila siku,, ...
Kwa nini msimalize hayo matatizo badala yake unakuta raia mwaka mzima analalamikia jambo moja?.

Jana pale Dodoma namsikia jaji mkuu anamuomba Rais eti mwaka ujao wa fedha mahakama ipewe fungu kuanzisha kitengo cha kutatua madai, kero nk za kisheria 😢!.

Wakati wa late jeshi la mtu mmoja mahakama hiyo hiyo ilimuomba JPM fedha za maboresho ili mahakama iwe na uwezo, ipo wazi hadi sasa mahakama iliwezeshwa sana wkt wa JPM hata sasa kwa Madame president, sasa why wasitumie kile walichokuwa wanalilia?.

Nchi hii kuna ombwe la utendaji hata haya tunayosikia kutoka kwenye episode za Makonda ni kizungumkuti, sababu yote ni serikali hiyo hiyo na watu ni hao hao.

Nimesoma mahali hii: "
MATATIZO YAKIISHA TUTAWAELEZA NINI WANANCHI WATUELEWE?"
 
Ni mtu mpumbavu tu asiyeijua nguvu ya Makonda na Kiti chake kwa sasa

Lakini ni mtu mbunyembunye tu asiyejua kwanini baada ya kuondoka Polepole Waenezi Wawili Shaka na Sophia walichemka na kutumbuliwa lakini Komredi Makonda ameiweza 😁

Mwenezi wa CCM anaingia popote pale Hata hapo Chadema na kufanya yake!
Atakuwa ameiweza tu baada ya kipimo cha chafuzi zifuatazo,iwapo naye ajaitafuna boti tunayosafiria,mambo yale yale😁
 
Kwa nini msimalize hayo matatizo badala yake unakuta raia mwaka mzima analalamikia jambo moja?.

Jana pale Dodoma namsikia jaji mkuu anamuomba Rais eti mwaka ujao wa fedha mahakama ipewe fungu kuanzisha kitengo cha kutatua madai, kero nk za kisheria 😢!.

Wakati wa late jeshi la mtu mmoja mahakama hiyo hiyo ilimuomba JPM fedha za maboresho ili mahakama iwe na uwezo, ipo wazi hadi sasa mahakama iliwezeshwa sana wkt wa JPM hata sasa kwa Madame president, sasa why wasitumie kile walichokuwa wanalilia?.

Nchi hii kuna ombwe la utendaji hata haya tunayosikia kutoka kwenye episode za Makonda ni kizungumkuti, sababu yote ni serikali hiyo hiyo na watu ni hao hao.

Nimesoma mahali hii: "
MATATIZO YAKIISHA TUTAWAELEZA NINI WANANCHI WATUELEWE?"
Watafuna boti tunalosafiria ni wengi mno,hata wanaojitutumua leo kwakuwa chafuzi ni kesho😅
 
Preamble ipo kwenye heading.

Kupitia mikutano ya chamchela ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM bw. Makonda, tumeshuhudia kero mbalimbali zikiibuliwa na wananchi wanaofika mikutano hiyo.

Awali yule dikteta alikuwa anazifanyia maamuzi palepale. Lakini Hangaya alishasema kuwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Kuna syndicate ya uhuni kwenye watumishi wa umma hususani wateule na wakuu wa idara mbalimbali. Mengi ya malalamiko ya wananchi yanatokana na maamuzi mabovu ya wateule, au ubabe au dhuluma au ubadhirifu unaopelekea watu kupokwa haki zao.

Lakini kwa sisi raia pacha wa Cuba na Tz tumeona mbali zaidi na kujiuliza maswali kadhaa ikiwemo haya

  1. Idara ambayo imejaza maofisa lukuki ngazi ya wikaya na mikoa, ina maana hawakusanyi taarifa za utendaji mbovu unaodhalilisha mamlaka ya uteuzi?
  2. Kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mkoa ina maana hawayaoni haya matatizo na kuyapatia ufumbuzi kwa wakati?
  3. Tuseme labda IDARA wanakusanya taarifa na kuzifikisha kwenye meza ya mamlaka ya uteuzi. Je zinapuuzwa au zinawekwa akiba kwa minajili ya mtaji wa kisiasa?
  4. Sote tunajua Katiba na Sheria za nchi zimepelekwa likizo ya lazima na watawala wetu. Je wanajisikiaje kuona asilimia kubwa ya kero za wananchi zinasababishwa na wateule wa Rais?
Maswali ni mengi, lakini haya machache yatufungue akili kidogo

Pascal Mayalla Retired Ritz Demi Mamndenyi ChoiceVariable Lucas mwashambwa NAMBA MOJA AJAYE NCHINI TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Myebusi Mweusi Erythrocyte Earthmover figganigga Samiaagain2025 CM 1774858 NANGA WA DEPO johnthebaptist FaizaFoxy Tatabhyala Mzee Mwanakijiji Kijana LOGICS KUKU PORI raraa reree Extrovert min -me
Tukisema Makonda anaivua nguo serikali na kujijenga yeye mwenyewe kuna chawa wanasema tunamuonea wivu.
 
Mkono ,macho na masikio ya serikali yapo kila sehemu na kila mahali.ndio maana unakuwa unaona mara nyingi Mheshimiwa Rais akitengua uteuzi wa viongozi mbalimbali aliowateua au kuwahamisha au kusimamisha kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa kina. Haya yanatokea ni kwa kuwa mamlaka ya juu inakuwa imepokea taarifa na kuamua kuchukua hatua.

Kumbuka nafahamu kuwa siyo kila taarifa ikishafika mezani lazima ichukuliwe na kunyonywa tu kama dodoki kwa kufanya utenguzi wa mtu fulani au watu au viongozi au kiongozi fulani anayetuhumiwa kwa jambo fulani.

Ni lazima taarifa ichakatwe,ni lazima uchunguzi ufanyike tena kwa kutumia watu wengine tena ili kuianisha ukweli wa taarifa iliyotangulia na ile itakayokwenda kubainika baada ya uchunguzi kufanyika. Nalazima ifahamike kwanini hiki kimefanyika na mhusika .je ni kwa maslahi ya Taifa au maslahi binafsi.

Mambo kama ya Rushwa napo ni lazima uchunguzi na upelelezi ufanyike kwa kina .ndio maana wakati mwingine wanatoka na kutolewa watu wizarani huko kwenda huko halmashauri kufanya uchunguzi juu ya mtandao fulani unaoweza bainika kutafuna pesa za umma.nafikiri hapa unaweza kumbuka kilichotokea kule kigoma pale Mheshimiwa waziri mkuu alipogundua kuwa kuna mtandao wa ufujaji wa pesa za umma ambao umeanzia juu kabisa huko. Haya yanakuwa yanabainika kwa kuwa kuna macho ya serikali ambayo yanaipa serikali taarifa.hivyo fahari kuwa vyombo vyetu vya usalama vipo kila sehemu na vinafanya kazi usiku na machana kuhakikisha kuwa mambo yote yanakwenda sawa kwa maslahi ya Taifa.

Haya ya kudhulumiana mtu na mtu au kucheleweshwa kulipwa madai na halmashauri ni mambo yatakayoendelea kushughulikiwa kila siku,,kikubwa ni kwa wananchi kuendelea kutoa taarifa na kufichua Vitendo vya dhuluma na unyanyasaji wanavyokumbana navyo katika ofisi za umma ili hatua zichukuliwe.

Serikali ya Rais Samia Ni Serikali ya haki na iliyodhamilia kutenda haki kwa kila mtu bila kujali hali yake .
Haya ona huyu kunguni naye anavyoropoka
 
Ni mtu mpumbavu tu asiyeijua nguvu ya Makonda na Kiti chake kwa sasa

Lakini ni mtu mbunyembunye tu asiyejua kwanini baada ya kuondoka Polepole Waenezi Wawili Shaka na Sophia walichemka na kutumbuliwa lakini Komredi Makonda ameiweza 😁

Mwenezi wa CCM anaingia popote pale Hata hapo Chadema na kufanya yake!
Kumbuka naishi ndani ya korido za Lumumba.
😀
 
Kwa nini msimalize hayo matatizo badala yake unakuta raia mwaka mzima analalamikia jambo moja?.

Jana pale Dodoma namsikia jaji mkuu anamuomba Rais eti mwaka ujao wa fedha mahakama ipewe fungu kuanzisha kitengo cha kutatua madai, kero nk za kisheria 😢!.

Wakati wa late jeshi la mtu mmoja mahakama hiyo hiyo ilimuomba JPM fedha za maboresho ili mahakama iwe na uwezo, ipo wazi hadi sasa mahakama iliwezeshwa sana wkt wa JPM hata sasa kwa Madame president, sasa why wasitumie kile walichokuwa wanalilia?.

Nchi hii kuna ombwe la utendaji hata haya tunayosikia kutoka kwenye episode za Makonda ni kizungumkuti, sababu yote ni serikali hiyo hiyo na watu ni hao hao.

Nimesoma mahali hii: "
MATATIZO YAKIISHA TUTAWAELEZA NINI WANANCHI WATUELEWE?"
Mahakama zetu zimejaa makada wasioruhusu fikra mbadala wala kuthamini utendaji haki. Kama Polepole alisema wazi kwamba kuna Jaji Mahakama Kuu aliwaambia CCM kuwa endapo kuna wanasheria wanasumbua utawala basi wawapelekee wao wawaadabishe kwa kuwavua uwakili..

Nchi ya Tanzania inaendeshwa na kizazi kilicholaaniwa hadi kizazi cha kumi... Tusishiriki laana zao
 
Preamble ipo kwenye heading.

Kupitia mikutano ya chamchela ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM bw. Makonda, tumeshuhudia kero mbalimbali zikiibuliwa na wananchi wanaofika mikutano hiyo.

Awali yule dikteta alikuwa anazifanyia maamuzi palepale. Lakini Hangaya alishasema kuwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Kuna syndicate ya uhuni kwenye watumishi wa umma hususani wateule na wakuu wa idara mbalimbali. Mengi ya malalamiko ya wananchi yanatokana na maamuzi mabovu ya wateule, au ubabe au dhuluma au ubadhirifu unaopelekea watu kupokwa haki zao.

Lakini kwa sisi raia pacha wa Cuba na Tz tumeona mbali zaidi na kujiuliza maswali kadhaa ikiwemo haya

  1. Idara ambayo imejaza maofisa lukuki ngazi ya wikaya na mikoa, ina maana hawakusanyi taarifa za utendaji mbovu unaodhalilisha mamlaka ya uteuzi?
  2. Kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mkoa ina maana hawayaoni haya matatizo na kuyapatia ufumbuzi kwa wakati?
  3. Tuseme labda IDARA wanakusanya taarifa na kuzifikisha kwenye meza ya mamlaka ya uteuzi. Je zinapuuzwa au zinawekwa akiba kwa minajili ya mtaji wa kisiasa?
  4. Sote tunajua Katiba na Sheria za nchi zimepelekwa likizo ya lazima na watawala wetu. Je wanajisikiaje kuona asilimia kubwa ya kero za wananchi zinasababishwa na wateule wa Rais?
Maswali ni mengi, lakini haya machache yatufungue akili kidogo

Pascal Mayalla Retired Ritz Demi Mamndenyi ChoiceVariable Lucas mwashambwa NAMBA MOJA AJAYE NCHINI TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Myebusi Mweusi Erythrocyte Earthmover figganigga Samiaagain2025 CM 1774858 NANGA WA DEPO johnthebaptist FaizaFoxy Tatabhyala Mzee Mwanakijiji Kijana LOGICS KUKU PORI raraa reree Extrovert min -me
 

Attachments

  • JamiiForums-1414302355.jpg
    JamiiForums-1414302355.jpg
    35.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom