Swali Fyatu la Jumamosi: Hili Soko la Bilioni 32 litakuwa na Vitu Gani Ndani?

Swali Fyatu la Jumamosi: Hili Soko la Bilioni 32 litakuwa na Vitu Gani Ndani?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...

Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?

Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...

a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
 
Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...

Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...

a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Wamesema litakuwa na gorofa 2 chini (basement) na sita kwenda juu. Nadhani sio mbaya.
 
Kuendesha Serikali ya Kijamaa ni mzigo kwa wananchi....

Unadumbukiza bilion 32 kujenga soko k.koo utafikiri kuna huduma zimesimaa kwa kuungua soko hilo...

Serikali imekua ikijenga majengo makubwa yasiyo na tijaa...

Kodi za wananchi hazinufaishi wananchi....

Hatujawahi pata Rais mwenye dhamira ya kuondoa umasikini na kuwapa wananchi dira ya kuondokana na umasikini....
 
Pamoja na unafiki wako wa kutetea kila kitu hata cha kijinga kwa Magufuli na kuja kuanza kukosoa sasa ..
Naunga mkono ni wazo la kipumbavu..

Binafsi ningependa nione wanajenga masoko mengine pembeni ya mji..
Kama gongo la mboto
Mbezi mwisho
Tegeta
Mbagala n.k...


Soko la kariakoo libaki kama soko la historia...
Tupunguze watu kukusanyana mjini...

Kwangu ishu sio hela ..ishu Mpango mbovu
 
Pamoja na unafiki wako wa kutetea kila kitu hata cha kijinga kwa Magufuli na kuja kuanza kukosoa sasa ..
Naunga mkono ni wazo la kipumbavu..

Binafsi ningependa nione wanajenga masoko mengine pembeni ya mji..
Kama gongo la mboto
Mbezi mwisho
Tegeta
Mbagala n.k...


Soko la kariakoo libaki kama soko la historia...
Tupunguze watu kukusanyana mjini...

Kwangu ishu sio hela ..ishu Mpango mbovu
Kweli kabisa, kwa miundombinu ya Kariakoo ingetafutwa namna ya kupunguza msongamano.
 
Pamoja na unafiki wako wa kutetea kila kitu hata cha kijinga kwa Magufuli na kuja kuanza kukosoa sasa ..
Naunga mkono ni wazo la kipumbavu..

Binafsi ningependa nione wanajenga masoko mengine pembeni ya mji..
Kama gongo la mboto
Mbezi mwisho
Tegeta
Mbagala n.k...


Soko la kariakoo libaki kama soko la historia...
Tupunguze watu kukusanyana mjini...

Kwangu ishu sio hela ..ishu Mpango mbovu
Serikali Haina soko viunga vya kariakoo,tandika,temeke,mbagala,Ila,manzese yapo,kwa nini isiwe nalo kariakoo
 
Kuendesha Serikali ya Kijamaa ni mzigo kwa wananchi....

Unadumbukiza bilion 32 kujenga soko k.koo utafikiri kuna huduma zimesimaa kwa kuungua soko hilo...

Serikali imekua ikijenga majengo makubwa yasiyo na tijaa...

Kodi za wananchi hazinufaishi wananchi....

Hatujawahi pata Rais mwenye dhamira ya kuondoa umasikini na kuwapa wananchi dira ya kuondokana na umasikini....
Nadhani badala ya serikali kutoa fedha hii moja kwa moja watumie mfumo PPP...

Mamlaka za serikali za mitaa nyingi [wilaya, miji, manispaa na majiji] zinatumia mfumo wa PPP kwa ujenzi wa masoko...

Mfano kwa Jiji la DSM, wafanyabiashara wenyewe wanaweza kujenga soko hilo na serikali kazi yake ikawa ni kuandaa designs, mobilization ya resources, kutoa ardhi na mengine ya namna hiyo...

å CHA KWANZA, kinachotakiwa kufanyika ni kupata orodha ya wafanyabiashara wote wanaotaka kuwa wapangaji kwenye jengo litakalojengwa...

å CHA PILI, waandalie mkataba wa upangaji wa aidha miaka 2, 5, au 10...

å CHA TATU, wakokotolee gharama za upangaji na kila mmoja alipe in advance na fedha hiyo itumike kwenye ujenzi soko...

Mathalani kama mkataba ni wa miaka 10, ina maana kila mfanyabiashara atalipa kodi ya miaka hiyo kulingana na thamani ya nyumba/chumba/kizimba anachotaka kuchukua. Kutakuwa na GRADE YA VYUMBA/NYUMBA/VIZIMBA kulingana na aina ya biashara ya mtu MF. banks au financial institutions, hotel, maduka nk nk...

Kwa miaka yote hiyo, yeye ndiye atakuwa mpangaji mmiliki halali wa eneo na kama ataamua kuacha biashara ama amefilisika, atatoa taarifa kwa mbia mwenzake [i.e serikali/jiji la DSM] ili aweze kumpangisha mtu mwingine hadi contract expired time yake na fedha itakuwa yake...

Baada ya mkataba kwisha, 100% serikali kupitia Jiji inakuwa mmiliki wa majengo/jengo na kila mpangaji ataanza kulipa tens kodi ya pango...

Sasa tuashumu serikali inapokea maombi ya wafanyabiashara 20,000 na kila mmoja akaweza kutoa fedha kiasi cha wastani wa TZS 50,000,000 maana yake zitapatikana jumla ya TZS 1,000,000,000,000 [TILIONI MOJA]..!!

Hii maana yake kwa fedha hii wananchi wenyewe wanaweza kujijengea soko la kisasa la aina yake duniani bila serikali kutumia hata senti moja kutoka kwenye fedha za kutoa huduma zingine kwa umma!

å MWISHO, kupitia biashara zitakazokuwa zinaendelea na kufanyika kwenye soko hili, serikali itajipatia kodi za aina mbalimbali kwa kiwango cha kutosha na kutisha sana...

Na kwa kuwa soko litakuwa la kimataifa na kila mfanyabiashara anapenda KARIAKOO, mimi nauhakika kutakuwa na msururu wa malaki ya wafanyabiashara watataka kuwa wabia wa soko hili...!!

Mawazo yangu haya kwa kukukwoti wewe..
 
Hawa wanaojiita viongozi wanatamaa sana. Unajua hapo hilo eneo wangewaachia wawekezaji ndio watengeneze mjingo wao kama serikali wachukue kodi.

Serikali ya ccm wanajionaga very smart na creative ila kiukweli ndio sababu ya taifa kurudi nyuma.

Katika hali ya kawaida biashara sio jambo la kisiasa bali la kisayansi. Kuamua cha kujenga hapo kinahitaji weledi ambao hakuna mtu hapo Ccm anao sababu ni wapenda sifa na wakurupukaji wa maswala ambayo yanataka umakini wa hali ya juu.

Hizo hela zingeenda katika ujenzi wa miundo mbinu au mikopo ya vijana ya kibiashara ila huko wanapowekeza ni kupoteza pesa sababu usimamizi wa serikali ni wa kibwege sana.

Anyways wacha waharibu tuendelee kujionea incompetence ya highest level.
 
Back
Top Bottom