Swali Fyatu la Jumamosi: Hili Soko la Bilioni 32 litakuwa na Vitu Gani Ndani?

Swali Fyatu la Jumamosi: Hili Soko la Bilioni 32 litakuwa na Vitu Gani Ndani?

Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...

Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?

Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...

a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Kujenga soko la kisasa kuambatane na kufanya biashara kisasa. Siyo unajenga soko linalovutia na la gharama kubwa halafu linakuja kuwa kama magenge tuliyoyazoea. Angalia soko la samaki ferry utajua namaanisha nini
 
Ccm wanatukosea sana, najiuliza hivi huwa wanakaa vikao viongozi kutoa mapendekezo. Umejenga soko kisutu hadi sasa lina tumika chini ya matarajio. Umejenga soko magomeni ni chini tuu ndio kunatumika juu kutupu.

Unaenda kujenga soko kariakoo ambalo una target ya kuwaweka machinga 2500 ikiwa tu kuwaweka karume pale umeshindwa.

Kwa nini iyo pesa isingetumika kuwaboreshea maeneo mapya waliyowapangia. Mtu anaamishwa anakuta na kibanda kimejengwa mazingira ni safi iwe jua iwe mvua.

Hi nchi k..ke
 
Mama Samia uko juuuuuuuuuuuuu...mnasema masoko yajengwe sehemu nyingine sijui Mbagala wapi mnasahau wafanya biashara wa Kariakoo sio kwamba wanaishi Kariakoo bali wanatoka huko huko mbagala wanaenda kuuza Kariakoo bidhaa zao?? Kwa nini wasitandaze biashara zao huko mbagala??.
Yeyote anaye undermine Kariakoo kama kituo cha biashara namuona daft ...lol
 
Pamoja na unafiki wako wa kutetea kila kitu hata cha kijinga kwa Magufuli na kuja kuanza kukosoa sasa ..
Naunga mkono ni wazo la kipumbavu..

Binafsi ningependa nione wanajenga masoko mengine pembeni ya mji..
Kama gongo la mboto
Mbezi mwisho
Tegeta
Mbagala n.k...


Soko la kariakoo libaki kama soko la historia...
Tupunguze watu kukusanyana mjini...

Kwangu ishu sio hela ..ishu Mpango mbovu
Perfect.
Hii ndio akili kubwa.
Baadala ya kung'ang'ania kujenga soko jipya la Kariakoo kwa 32 Bilioni, suluhisho ni kujenga masoko mengine mapya makubwa na yakisasa maeneo tofauti tofauti ya Dar ili kupunguza msongamano katikati ya mji na hapo hapo kupanua huduma kwa jiji ambalo limekuwa sana.

Kwa mfano.
Kigamboni pajengwe soko kubwa....
Kibamba pajengwe soko kubwa.....
Bunju pajengwe soko kubwa....
Pugu pajengwe soko kubwa.....
Mbagala pajengwe soko kubwa....
 
Mama Samia uko juuuuuuuuuuuuu...mnasema masoko yajengwe sehemu nyingine sijui Mbagala wapi mnasahau wafanya biashara wa Kariakoo sio kwamba wanaishi Kariakoo bali wanatoka huko huko mbagala wanaenda kuuza Kariakoo bidhaa zao?? Kwa nini wasitandaze biashara zao huko mbagala??.
Yeyote anaye undermine Kariakoo kama kituo cha biashara namuona daft ...lol
Nani ame undermine Kariakoo?
Yaani wewe unaona sawa kabisa kila siku watu watoke nje ya viunga vya jiji la Dar ili kuja kuuza na kununua hapo Kariakoo?

Toka miaka ya 1970 (zaidi ya miaka 50) watu wamekuja kuuza au kununua Kariakoo (hivyo Kariakoo ni soko la kihistoria hapa Tz) lakini sio eneo la kutoshea au kulazimisha liwe pekee kufanyia biashara hapa Dar kwa sasa, jiji limekuwa na kupanuka, kwanini huduma za kijamii kama soko zisizogezwe huko huko alipo?
 
Nani ame undermine Kariakoo?
Yaani wewe unaona sawa kabisa kila siku watu watoke nje ya viunga vya jiji la Dar ili kuja kuuza na kununua hapo Kariakoo?

Toka miaka ya 1970 (zaidi ya miaka 50) watu wamekuja kuuza au kununua Kariakoo (hivyo Kariakoo ni soko la kihistoria hapa Tz) lakini sio eneo la kutoshea au kulazimisha liwe pekee kufanyia biashara hapa Dar kwa sasa, jiji limekuwa na kupanuka, kwanini huduma za kijamii kama soko zisizogezwe huko huko alipo?
Mnaposema masoko yangejengwa sehemu nyingine sio kwamba mna undermine decision ya mama kupa modernize Kariakoo????
By the way sio kwamba masoko mengine hayakujengwa Kuna Machinga complex na mengineyo yamebaki tupu wafanya biashara wanarudi hapo hapo Kariakoo mama kuweka arrangement nzuri,mazingira yawe mazuri na safe then mnamlaumu.... hamna jema nyie...
 
Sijui nani aliwaambia soko la kisasa ni kujenga maghorofa?
Kama hawajui tu, ujenzi wa jengo la ghorofa kwenda juu sio sifa njema ya kufanya biashara ya sokoni.
Jengo la ghorofa ni sawa au sahihi sababu ya limited space ya hapo mjini, mbona hii ni simple kuona? Pia kuna basement zipo mbili...
 
Soko la Kariakoo linajengwa upya?

Kwamba watabomoa lile la mwamvuli liloloungua na kujenga eneo hilohilo jengo jingine jipya?

Au watalikarabati lile jengo lililoungua na kutakuwa na ujenzi wa jengo jingine jipya?
 
Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...

Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?

Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...

a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Uwanja wa mpira kama wa camp nou
 
Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...

Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?

Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...

a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Swali la msingi ni hiyo investment itarudishwa vipi? Hapa bila shaka haijafanyika feasibility study kuona kama kulikodisha kwa wamachinga kutarudisha hela iliyowekwa pamoja na gharama za uendeshaji.

Amandla...
 
Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...

Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?

Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...

a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Nampongeza Mama kwa kazi nzuri ya kutuletea maendeleo
 
Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...
Hofu yangu isije ikawa umechukulia Soko la Kariakoo kama sehemu ya kushusha na kuuza nyanya, biringanya, viazi mbatata, and the like huku ukisahau, kwavile ni City Center, Kariakoo Market is just a brand, na jengo lake linaweza kuwa hata na maduka makubwa ya kuuza bidhaa za jumla!

Hofu yangu isije ukawa unachukulia Kariakoo Market kama sehemu ambayo wanaoenda hapo ni watu kutoka Mbagala, Manzese, Mwenge, and the like but Kariakoo ni kubwa kuliko hayo mambo!!

We all know wafanyabiashara kutoka nchi jirani huwa wanaenda Kariakoo kununua bidhaa... hawaendi Kariakoo kununua nyanya na vitunguu bali kununua bidhaa za viwandani ambazo maduka yake yanaweza kuwa housed kwenye jengo la Soko la Kariakoo!

Ukijenga multiple basement levels, unaweza ndani yake ukajenga Self Storage Units ambazo KATU haziwezi kukosa Wapangaji!! Hizi Self Storage Units unaweza kuziweka hata kwenye floor zingine, above the first floor! Na amini usiamini, kwa mazingira ya Kariakoo, hizi Self Storage Units zinaweza kuwa na demand kubwa sawa tu na demand ya frames za biashara!!

So, YES... kutakuwa na Value For Money labda wenyewe tu washindwe kufahamu jinsi ya ku-utilize eneo husika!!
 
Kujenga soko la kisasa kuambatane na kufanya biashara kisasa. Siyo unajenga soko linalovutia na la gharama kubwa halafu linakuja kuwa kama magenge tuliyoyazoea. Angalia soko la samaki ferry utajua namaanisha nini
Hata MACHINGA Complex..... Utadhani store ya mkaa.
 
Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini...

Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni nyingi lakini kwa dola ni kama dola milioni 14 hivi... lakini je purchasing power ya hiyo bilioni 32 ni sawa na ile ya dola milioni 14? au tunalinganisha mchicha na mapapai?

Ili tutakapokaa chini na kusema "value for money" wote tuchekeane.. vinginevyo naona ugomvi mwingine wa CAG unatengenezwa... Ila angalau liwe na vitu vifuatavyo...

a. Uwanja wa ndege... kupita wa Chato...
b.
Sure sure.
Hiyo kujengwa upya iangaliwe pia.
Usikute wanafanya marekebisho tu, lakini wanasema kuwa wanajenga upya.

Hilo jipya inamaana la zamani linabomolewa sio.
 
Back
Top Bottom