Swali gumu kidogo: Kwanini Urusi iliyosambaratika na dhaifu kuliko USSR inawasumbua sana NATO?

Kwa haya uliyoyasema unahisi jamaa ni dhaifu???
 
Mkuu mbona Georgia na Ukraine sio wanacahama wa NATO ? ninachofahamu ni kwamba nchi zote mbili zinataka kujiunga NATO lakini kwa sasa si wanachama bado.

Ni kweli kabisa usemavyo, ila nilikuwa namjibu Malcom ambaye alikuwa akijaribu kuwaona warusi kama si kitu akisema kuwa hao Warusi wameshindwa kuzuia Ukraini na Geogia kujiunga NATO. Aidha nilichomuelewa ni kuwa NATO wanabwata sana katika kuzitetea nchi hizo mbili, kanakwamba tayari ziko katika hifadhi yao.

Nilikuwa najaribu kutoa picha juu ya influence ya Urusi katika maamuzi ya nchi hizo mbili kujiunga NATO.
 
Nimekupata,ila naomba umsome tena Malcom,kwenye post zake nyingi ni pro-Russia. Jaribu kusoma uzi kuanzia mwanzo ndo utapata picha nzuri. Siku njema mkuu.
 
Kinachoipa nguvu Urusi kwa sasa ni silaha za nyuklia (Silaha za maangamizi) alizo nazo ambazo Marekani na nchi za magharibi zinahofia ndo maana wanasita kuitenga Urusi kwenye jukwaa la kimataifa hakuna jingine zaidi ya hilo.
 
Pot Malcom Lumumba aka Prof Mwandosya aka Ndugai tuko pamoja,ila wambie wasihofu wewe ni mkulima wa miwa tunakufahamu.

Binafsi naamini kuwa na super powers wawili dunia inakua mahali salama kuliko kuwa na mmoja atakaetupelekesha.

Kuna mahali umegusia kuhusu demokrasia ya India ilivyo wazi na matatizo yanayoikabili ya rushwa nk, na siasa za uchina zisizoruhusu hizo mademokrasia ila wanamaadili bora zaidi ndani ya nchi,binafsi namejifunza kwamba with or without demokrasia tunaweza kusonga.
 
Hapo naona umechemka,unacho kizungumzia hapo niushabiki mbaya,lakini tukizungumza mambo jinsi yalivyo utagundua kwamba Russia ana woga Fulani ndani mwaka,na tunapojadiliana issue Kama hizi zakisiasa Basi tuwe tunaweka ndani maneno yavitabu vitakatifu. Kitabu kitakatifu biblia ukisoma Daniel 2;31-42 kinaonesha nguvu za marekani.nataka nikuoneshe kidogo kwamba urusi iwe nakiasi Gani cha ndege,iwe Na hizo silaha zakujilinda zidi yamarekani,popotepale,iwe baada yamiaka 100 Russia atakapotangaza Vita namarekani ataangamia tena kwakiasi kikubwa,kwakuwa mandiko matakatifu yanasema Nate atakuwa nanguvu kuliko wote nayeyote Yule atakae jiandaa kumpinga Basi atapondwa pondwa Kama udongo.kwaiyo mrusi machina sijui Na hao wakorea nawaarabu ambao kwasasa wanataabika navikwazo vya kuuza mafuta nje hata wakijikusanya mahali pamoja kumpinga marekani (wayahudi) hawatomweza kwakuwa tayarii yametabiriwa.
 
kama ya kweli haya upo nondo aisee
 
Kwahiyo mimi ni Mwandosya ?
Kufananishwa na moja kati ya watu wenye akili sana hapa nchini kwangu ni sifa njema kweli. Japo bahati mbaya sana maishani mwangu mwote mimi sijawahi kuwa mwanasiasa tena wa CCM.
 
Kwahiyo mimi ni Mwandosya ?
Kufananishwa na moja kati ya watu wenye akili sana hapa nchini kwangu ni sifa njema kweli. Japo bahati mbaya sana maishani mwangu mwote mimi sijawahi kuwa mwanasiasa tena wa CCM.
Nimequote wananzengo wanavyokuita humu mkuu Le prof Malcom Lumumba,but since unaitwa majina mazito ya hawa jamaa ingawa wako ccm hii ni dalili nzuri kwako mkuu.
 
If you ask about Russia economy, you will be told it is the same size as Italy. Yet, Russia not only is a nuclear superpower, it manufactures its own rockets, airplanes, ships, submarines, power stations...

USA depends a lot on Russia in their space programs. Yaani, Russia iko mbele ya marekani mambo ya satellite. Hebu soma mambo ya Kinzal missile uelewe vile Urusi iko mbele mambo ya teknologia.
 
Mbona mimi siyo Professor!
πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
Ivi mtu akisema bila Putin tutegemee kuona Urusi dhaifu atakuwa yuko sahihi? Au Urusi ilivyo ni matokeo ya sera za Putin na kwa sasa hajaonekana wa kumrithi ndani ya Urusi ni sawa? Au Putin =Urusi?
 
Ivi mtu akisema bila Putin tutegemee kuona Urusi dhaifu atakuwa yuko sahihi? Au Urusi ilivyo ni matokeo ya sera za Putin na kwa sasa hajaonekana wa kumrithi ndani ya Urusi ni sawa? Au Putin =Urusi?
Russia was a global power even before Putin was born, before the soviet union placed the first man in space. And yes even before America was a country.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…