Swali gumu kwa Atheist

Swali gumu kwa Atheist

ha ha hahapa utapigwa mawe sio tu na ma ethiest but hata wenye dini bro,ipo hiv maigizo ni mengi mno watu wanajifanya mazombi wana mapepo kisha wanajifanya kuombewa na kuanguka et ndo mapepo yametoka,pia kama ni kweli watu wanaombewa wanapona mbona hao manabii hawaendi mahospitalini wawakute wagonjwa walio siriaz?? video unaziona kabisa watu wanakiri kupangwa ili kujifanya wannaugua na kupona..mmoja alijisahau na kumwambia muombewaji eti "piga kelele"akimkumbusha yule mwombewaji apige kelele kuashiria kuanguka mapepo maana ni kama alijisahau kupiga kelele...😁😁😁...sikatai watu wanaumwa sana tena saanaa ilakanuni za kuyatenda hayo mnayodhani mnayaweza ni ngumu mno na yana taratibu zake...mchungaji au shehe anayeombea yatakiwa awe msafi katika ukimwengu wa roho lakin walio wengi ni washenzi na hawana huo uwezo hata wa kukemea nzi.imani za watu hatupaswi kuzibeza ila shetan anayekemewa huko kwenye nyumba za ibada nae wala haangaiki na nyie anawaona kama viazi fulani..ana nguvu nyingi mno kumshinda au kumkemea sio masihara.
 
Bila chuki hakuna upendo, bila njaa hakuna shibe, bila tatizo hakuna suluhisho, bila mkali hakuna mpole, jiongeze kiupeo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
kama hilo jina lingekuwa linaponya kusingekuwa na wagonjwa,hakuna mtu angekubali kwenda hospital akatumie muda na gharama wakati kuna jina akitajiwa tu anatibika!..

acheni makeke na uzwazwa hakuna pepo,nawachukulia wanaoanguka hivyo ni watu wenye matatizo ya afya ya akili na wengine ni maigizo tu!.
 
Bwana yesu asifiwe wanajf ,

Bila kupepesa macho nikiwa katika hatua za mwisho kabisa za kumaliza kikundi hichi kiovu.

Swali langu nawaachia
Mbona sisi wakristo tulioshika neno (Watakatifu) tukikemea Mapepo kwa Jina la Yesu yanatoka ,hii halitoshi kwa nyie kuamini?
Ulishawahi kuona Mapepo?
 
Bwana yesu asifiwe wanajf ,

Bila kupepesa macho nikiwa katika hatua za mwisho kabisa za kumaliza kikundi hichi kiovu.

Swali langu nawaachia
Mbona sisi wakristo tulioshika neno (Watakatifu) tukikemea Mapepo kwa Jina la Yesu yanatoka ,hii halitoshi kwa nyie kuamini?
Siku moja mwambie mchungaji asemenjina lolote tofauti na yesu au aseme hata kwa jina la pimbi pepo toka uone kma hawaanguki
 
ha ha hahapa utapigwa mawe sio tu na ma ethiest but hata wenye dini bro,ipo hiv maigizo ni mengi mno watu wanajifanya mazombi wana mapepo kisha wanajifanya kuombewa na kuanguka...
Mkuu bandiko refu kama mwaka huu ila kikubwa umesema umenielewa
 
Mimi nilienda kuomba kanisa langu la romani catholic kuomba nifaulu mitihan wa kidato Cha nne na nikasikia nikiambiwa utafaulu mpaka kwenye kazi Yako na kweli nilifauulu Mimi mwenyewe na nikaenda kidato Cha tano na nikamaliza na nikaenda chuo na kupata kazi kazi nzuri mpaka saizi yesu no mzuri mno
 
Mkemea mapepo na mwangukaji hao wote ni wasanii wa bongo movie.. watu Wana script teyari kabla ya kufika madhabahuni ..

Kama huyo pastor ana mungu kweli aende hospital akaponyeshe wagonjwa wapone..
 
Mimi nilienda kuomba kanisa langu la romani catholic kuomba nifaulu mitihan wa kidato Cha nne na nikasikia nikiambiwa utafaulu mpaka kwenye kazi Yako na kweli nilifauulu Mimi mwenyewe na nikaenda kidato Cha tano na nikamaliza na nikaenda chuo na kupata kazi kazi nzuri mpaka saizi yesu no mzuri mno
Mkuu utashangaa kuna pimbi hatakuamini
 
Hizi dini ni utaperi tu , ambao uliletwa na wazungu na waarabu Ili wachukue walivyo vitaka kutoka Kwa wazee wetu..

Hizo ni stori tu za hekaya za Simba na fisi.. we are scared for nothing
 
Ngoja nimuite mwenyekiti mkurugenzi wao mkuu Kiranga aje ajibu hapa.

Najua wapo atheists wengine watakuja kukwambia kwanza uthibitishe uwepo wa hayo mapepo maana hayapo.

Wengine watakuja kusema kuwa hata ukipiga kelele sana ukilitaja jina lolote mfano jina langu Funny boe hayo yanayosadikika kuwa mapepo lazima yatatoka tu.
 
Mimi nilienda kuomba kanisa langu la romani catholic kuomba nifaulu mitihan wa kidato Cha nne na nikasikia nikiambiwa utafaulu mpaka kwenye kazi Yako na kweli nilifauulu Mimi mwenyewe na nikaenda kidato Cha tano na nikamaliza na nikaenda chuo na kupata kazi kazi nzuri mpaka saizi yesu no mzuri mno
ngoja kwanza,

Kabla haujapeleka hayo maombi yako, matokeo yako ya nyuma yalikuwaje? Mfano mtihani wa kidato cha pili?
 
Back
Top Bottom