Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Naomba wapishe Wana WA Nuru WA commentSasa utaki? Au unamajibu yako?
We mwenda kuzimu nisubirie kwenye Uzi WA kukojozana na G spot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba wapishe Wana WA Nuru WA commentSasa utaki? Au unamajibu yako?
Leo naona haujaja na ule mtindo wako wa mazungumzoEnyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu
Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?
Maana me nimetongozwaga zamani,
Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea
Na dating NI mchana sehemu ya public
Hamna Ku kiss wala ku du
Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje
Naombeni kujua jamaa
Nimewaita Wana WA Nuru wenzanguLeo naona haujaja na ule mtindo wako wa mazungumzo
Kwenye mbususu Mungu yupo na anakuoooonakwenye mbususu hakuna cha mlokole
Ebu niombe radhi mimi sio wakwenda kuzimu heshima ni muhimuNimewaita Wana WA Nuru wenzangu
Nyie WAenda kuzimu tukutane kwenye nyuzi za hovyo
Hauna mchango wala uweza kama Wana WA Nuru ulitaka nikuiteje sasaEbu niombe radhi mimi sio wakwenda kuzimu heshima ni muhimu
hje hizo unazoita ni Uzi za ovyo umewahi kuniona hukoHauna mchango wala uweza kama Wana WA Nuru ulitaka nikuiteje sasa
Jibu basi kama MTU unaenda Mbinguni
Mara nyingi sanahje hizo unazoita ni Uzi za ovyo umewahi kuniona huko
Uweee, wewe uyo sasa ndio unatumia Huyo technique?!Sisi wana wa nuru sasa hivi tunatumia mafunzo ya urafiki, uchumba hadi ndoa.. hapo kwenye urafiki ni full kusifiana tu huku dj wimbo ulio bora akitupa sapoti
Sasa si ndo maana nimekuandikia? Au basi ni wewe ndo unatumia hiyoUweee, wewe uyo sasa ndio unatumia Huyo technique?!
zitajeMara nyingi sana
sawaSasa si ndo maana nimekuandikia? Au basi ni wewe ndo unatumia hiyo
tafuta nyuzi zangu ukaangalie wapi ulipoandika wazimuzitaje
Siku nitakayokuwa nimeketi na Bwana nikiwa miguuni pake nikikuona nitakukumbusha hii coment yako mremboAmin nakwambia
Ukifa utachomwa na gesi
unikumbushe tu mpendwa, maana mlango wa Mbingu kwa sasa kuingia ni kwa neemaSiku nitakayokuwa nimeketi na Bwana nikiwa miguuni pake nikikuona nitakukumbusha hii coment yako mrembo
Kwahiyo. Utaratibu WA zamani basi haujabadilika ss
SureKwahiyo. Utaratibu WA zamani basi haujabadilika sio?
Nikikuambia uje nyumbani nikuoneshe sufuria langu la plastic ujue tayari hiyo.Mmmh uo NI urongooo