Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu

Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?

Maana me nimetongozwaga zamani,

Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea

Na dating NI mchana sehemu ya public

Hamna Ku kiss wala ku du

Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje

Naombeni kujua jamaa
Niliyo ya shuhudia mapenzi ni kitu Cha AJABU sana na mpaka Sasa nayastaajabia....

Niliwai kupendwa na mdada wakilokole mshika dini haswa kilicho tuunganisha ni kazi tuka click hatukua tunafahamiana vyema ila tulikua kama watu tuliofahamiana miaka Mingi sana....

Mapenzi hayana ulokole hayana dini,rangi,kabila Wala lugha still nayashangaa mapenzi kupitia mlokole yule alipenda kusema am 4 real napenda izo Midomo (lips) zako napenda hayo macho yako......
 
Niliyo ya shuhudia mapenzi ni kitu Cha AJABU sana na mpaka Sasa nayastaajabia....

Niliwai kupendwa na mdada wakilokole mshika dini haswa kilicho tuunganisha ni kazi tuka click hatukua tunafahamiana vyema ila tulikua kama watu tuliofahamiana miaka Mingi sana....

Mapenzi hayana ulokole hayana dini,rangi,kabila Wala lugha still nayashangaa mapenzi kupitia mlokole yule alipenda kusema am 4 real napenda izo Midomo (lips) zako napenda hayo macho yako......
Wewe ni Me au Ke
Kumsifia mpenzi wako NI kitu cha kawaida Sana Kwa waliookoka inamaana ana appreciate KAZI ya Mungu
Hamna jipya wala cha kushangaza hapo
 
Wewe ni Me au Ke
Kumsifia mpenzi wako NI kitu cha kawaida Sana Kwa waliookoka inamaana ana appreciate KAZI ya Mungu
Hamna jipya wala cha kushangaza hapo
Ukiokoka nimwendo wa Kifo Cha mende...mambo ya bjb sijui mbuzi kagoma,sijui doggy style sijui popo kanyea mbingu hayana tija Wala hayampendezi maulana....

Mm ni mwanaume tena mwanaume wa shoka kutoka mkoa wa mara tarime
 
Wewe ni Me au Ke
Kumsifia mpenzi wako NI kitu cha kawaida Sana Kwa waliookoka inamaana ana appreciate KAZI ya Mungu
Hamna jipya wala cha kushangaza hapo
Kuna siku nilikua nikimkosea mlokole yule kiasi Cha kutotaka kusamehe Wala kurudiana na maajabu ni kua alikua akiona macho yangu na Midomo (lips) bila kuongea kitu tunarudiana several times naambiwaga na watu kua na macho mazuri na Midomo mizuri 😊😊😊😊
Sijipi promo ni uhalisia
 
Kuna siku nilikua nikimkosea mlokole yule kiasi Cha kutotaka kusamehe Wala kurudiana na maajabu ni kua alikua akiona macho yangu na Midomo (lips) bila kuongea kitu tunarudiana several times naambiwaga na watu kua na macho mazuri na Midomo mizuri 😊😊😊😊
Sijipi promo ni uhalisia
Embu weka picha nikutathmini Kwanza, huenda ulikuwa unajazwa bure
 
Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu

Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?

Maana me nimetongozwaga zamani,

Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea

Na dating NI mchana sehemu ya public

Hamna Ku kiss wala ku du

Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje

Naombeni kujua jamaa
Nguvu ya nature ni ngumu kuicontrol
 
Kwa mtu mwenye hofu ya Mungu ya kweli hufuata utaratibu ambao huweza kutofautiana kidogo.Lakini baada ya kijana kumpenda binti na kujiridhisha atamwomba binti appointment na mara nyingi ni Kanisani sehemu ya wazi ili kumwambia ombi lake la kutaka awe mwenzi wake,wengine hukutana kwa mzee wa Kanisa.Baada ya kukubaliwa ombi lake huenda kwa Mchungaji,wanaitwa taratibu za kujitambulisha na mahari hufanyika pamoja na kupima afya.
Japo siku za leo wenye kula kimasihara na kuonjana kabla ya ndoa ndio wako kila kona.
Uko sahihi kabisa ila mabinti na wakiume wako less hatari yaani ukizidisha ulokole mwingi hakutaki anaona mtasumbuana ndani ya ndoa
Yaani wanataka mchangamko na ukichangia utandawazi na uwepo Wa Simu hizi aisee charting ni nyingi
Baby,honey nyingi msipokuwa makini na kuvuana Nguo ndio kunaanzia huko (videocall,sexcharting)

Na mkiendelea tu tunda linaliwa kimasikhara kabla ya ndoa

Na unaweza ukajitunza kusubiri ndoa kumbe kale ka muda kauchumba kuna mwingine anaendelea kuzagamua au kuzagamuliwa huko

Ila mkikutana ulokole mwingi kama mtakatifu Fulani hivi

Sasa siku unakuja kuoa unashanga kimetumika kimetepeta wee sasa unajiuliza mwaka watano huu na mjua ni mlokole safi kabisa
Maana yake hata kama kilitumika kabla ya kuokoka Kwa miaka hii miwili au mitatu ilibidi kinywee kidogo
Sasa Kwa hili shimo hata lidhika na Mimi sita ridhika

Na ndio mwanzo Wa majanga ya ndoa
 
Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu

Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?

Maana me nimetongozwaga zamani,

Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea

Na dating NI mchana sehemu ya public

Hamna Ku kiss wala ku du

Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje

Naombeni kujua jamaa
Niko na maombi leu kuanzia saa moja usiku na kuendelea.

Nakuomba mpendwa ujumuike nami kwani bwana ametuchagua siku ya leo kwenye maombi haya.
 
Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu

Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?

Maana me nimetongozwaga zamani,

Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea

Na dating NI mchana sehemu ya public

Hamna Ku kiss wala ku du

Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje

Naombeni kujua jamaa
Tuanze na wanakwaya.
Kuna mpendwa humu alianzisha uzi usiku akiomba ushauri baada ya kumnywesha mwanakwaya mpendwa mwenzake wakajikuta on bed wanakoroma

Wanakwaya wengi ndo wanaongoza kwa masikhara katika kulitungua tunda.

Vijana wa kanisani wanaiga kwa wanakwaya na ukumbuke shetani ndo kiumbe wa kwanza kuimba
 
Mimi sio mlokole ila nishawala wadada wakilokole wengi tu wengine mpaka vyombo wanapiga nilichoka sana ila ukimkuta kwenye maombi na pambio utajiona kama shetani mdogo ila pretenders ni wengi sana na 90% ya wanawake nilodate nao ni walokole mpaka nilie nae sasa ila uyu naweza oa ila nampa muda bado nae.
 
Back
Top Bottom