Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Uko sahihi kabisa ila mabinti na wakiume wako less hatari yaani ukizidisha ulokole mwingi hakutaki anaona mtasumbuana ndani ya ndoa
Yaani wanataka mchangamko na ukichangia utandawazi na uwepo Wa Simu hizi aisee charting ni nyingi
Baby,honey nyingi msipokuwa makini na kuvuana Nguo ndio kunaanzia huko (videocall,sexcharting)

Na mkiendelea tu tunda linaliwa kimasikhara kabla ya ndoa

Na unaweza ukajitunza kusubiri ndoa kumbe kale ka muda kauchumba kuna mwingine anaendelea kuzagamua au kuzagamuliwa huko

Ila mkikutana ulokole mwingi kama mtakatifu Fulani hivi

Sasa siku unakuja kuoa unashanga kimetumika kimetepeta wee sasa unajiuliza mwaka watano huu na mjua ni mlokole safi kabisa
Maana yake hata kama kilitumika kabla ya kuokoka Kwa miaka hii miwili au mitatu ilibidi kinywee kidogo
Sasa Kwa hili shimo hata lidhika na Mimi sita ridhika

Na ndio mwanzo Wa majanga ya ndoa
Me nadhani Una woga mwingi na mashaka
Yani bado hujasema
Na bado humjui Mungu wako kabisa
Na Imani hauna hata chembe
Ukiamua kutulia na Mungu hautakuwa na maadithi ya kipepo kama haya ulioandika
 
Niko na maombi leu kuanzia saa moja usiku na kuendelea.

Nakuomba mpendwa ujumuike nami kwani bwana ametuchagua siku ya leo kwenye maombi haya.
Leo nipo kwenye mtoko WA vijana kigamboni tupo na Mchungaji Kimaro
Natoka SAA 12 jioni nikifika home NI kulala na kuamka kujiandaa na ibada kesho j2
 
Tuanze na wanakwaya.
Kuna mpendwa humu alianzisha uzi usiku akiomba ushauri baada ya kumnywesha mwanakwaya mpendwa mwenzake wakajikuta on bed wanakoroma

Wanakwaya wengi ndo wanaongoza kwa masikhara katika kulitungua tunda.

Vijana wa kanisani wanaiga kwa wanakwaya na ukumbuke shetani ndo kiumbe wa kwanza kuimba
Kwahiyo unafanya KAZI Kwa shetani au Kwa Mungu aliekuumba?
Kwani uliokokea kwenye mwaya au Mungu WA Mbinguni alikuita Kwa neema yake

Usitafute sababu za kipuuzi, jibu swali uliloulizwa
 
Mimi sio mlokole ila nishawala wadada wakilokole wengi tu wengine mpaka vyombo wanapiga nilichoka sana ila ukimkuta kwenye maombi na pambio utajiona kama shetani mdogo ila pretenders ni wengi sana na 90% ya wanawake nilodate nao ni walokole mpaka nilie nae sasa ila uyu naweza oa ila nampa muda bado nae.
Kwahiyo hapo umejibu swali lipi??
Me nadhani kwakuwa wewe NI pretender kanisani Mungu anakukutAnisha na pretender wenzio ndio maana unadhani Kila MTU kanisani hajaokoka kama. Wewe
 
Ukiokoka nimwendo wa Kifo Cha mende...mambo ya bjb sijui mbuzi kagoma,sijui doggy style sijui popo kanyea mbingu hayana tija Wala hayampendezi maulana....

Mm ni mwanaume tena mwanaume wa shoka kutoka mkoa wa mara tarime
Sasa hapo umejibu swali lipi??
Maana naona unatuletea sarakasi za kuzimu kanisani
 
Back
Top Bottom