Mabinti wa kilokole hawatongozwi wewe ni kushika tuu mkono kama unavyo vinasio vya kuwanasa
Njia rahisi ukitaka uwale sana jicheck wewe unaweza nini kati ya haya;-
1: kinanda, kucheki cheki mitambo , uchawa , kwaya, maombi, uongozi mchwara , ushauri ,
2: kubeba beba wale wanaojiangusha mapepo naikitokea umebeba demu mshike kijanja maeneo kadhaa kwa dharura alafu acha hii itakufanya ajirahisishe upesi
3: ukisikia mmoja atusomee mstari unaofata uwe unajinyanyua kila saa wakuone but siku nyingine wakikuzoea unakaza kinoma hadi mchungaji akupoint hapobunaua unaanza kutengeneza credit .
4: Ibada ikiisha toka wa mwisho usiwe na haraka huwezi kosa kisusio wewe jifanye unasalimia salimia tuu
5: kama huna kinasio uwe unaingia hekaluni wa mwisho na kutoa sadaka wa kwanza kabisa , ukishindwa kutoa wa kwanza toa wa mwisho kabisa , alafu usivae kitakatifu kama wao vaa kisharo kidogo kwa ni dhamu hapo utakua umejitofautisha na utawala hakika
Kumbuka:!
Majina ya kuwaita wanaitana "Mtumishi" salimia kwa salamu yako ya kitaa alafu watakua wanataka kukugeuza usalimie kwa kufanaa nao kitakatifu ,jifanye unaona ukakasi basi hapo watajiona wamepata mbarikiwa nawatakuweka karibu kiusaidizi ila wewe usisahau lengo lako ni kuwala.
Ukipata mserereko kuwa mshapu sana ongozana nae hata kama aelekei usawa wa njia ya gheto kwako pita kimakusudi njia za kuelekea gheto kwako akifika kati kwa kati mwambie tumekaribia twende ukaweke hata Baraka kidogo. Hakika hautojutia.
Nb. Mabinti wa kilokole ukiwa mwehu mwehu unakula hekalu zima na wageni wanao kuja wote, ukiona binti mgeni kaja hakikisha unaenda kusalimiana nae na kumkaribisha chachi huyo anakua pisi mpya kijanja
HAO HAWATONGOZWI UKIMTONGOZA BINTI WA KILOKOLE KATIKA KIZAZI HIKI CHA NYOKA, JUA UMEMPOTEZA KABISA WAO NI WEWE KUJIONGEZA TUU BASI INATOSHA