Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu

Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?

Maana me nimetongozwaga zamani,

Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea

Na dating NI mchana sehemu ya public

Hamna Ku kiss wala ku du

Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje

Naombeni kujua jamaa

Njoo niombe nyumbni naumwaa [emoji15]

Unaanza kujiuliza wewe ni mchungaji

Njoo tuzungumze kwangu sisi ni wapendwa hakiwezi kutokea kitu au wewe unahisi utashindwa kujicontrol humwamini Mungu et[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

F*u MT[emoji1787]
 
Taratibu ni zile zile hazijabadilika sema siku hizi zimedadavuliwa kidogo

Badala ya kwenda moja kwa moja kwa mchungaji unaanza kuyajenga na mwenzio mkikubaliana ndio inakuja hatua ya kwenda kwa Mchungaji yanafuata hayo uliyoyasema hapo

Na hiyo ni kutokana na kuepusha aibu kwa Kijana endapo atakataliwa na binti so wameona ni bora ufikishe mwenyewe ujumbe kwa binti then akikubali unafuata process

Hii pia sio kwa makanisa yote ya kilokole inategemeana na mchungaji wa kanisa husika alivyoweka sheria zake yeye kama yeye

NB: Hii kanuni ya mwanzo ni nzuri zaidii kwasababu inapunguza wadada kuumizwa katika mahusiano kutokana na kwamba mahusiano yenu yatakuwa wazi kuliko yale ya kufichwa fichwa [emoji2]
 
Mabinti wa kilokole hawatongozwi wewe ni kushika tuu mkono kama unavyo vinasio vya kuwanasa

Njia rahisi ukitaka uwale sana jicheck wewe unaweza nini kati ya haya;-

1: kinanda, kucheki cheki mitambo , uchawa , kwaya, maombi, uongozi mchwara , ushauri ,

2: kubeba beba wale wanaojiangusha mapepo naikitokea umebeba demu mshike kijanja maeneo kadhaa kwa dharura alafu acha hii itakufanya ajirahisishe upesi

3: ukisikia mmoja atusomee mstari unaofata uwe unajinyanyua kila saa wakuone but siku nyingine wakikuzoea unakaza kinoma hadi mchungaji akupoint hapobunaua unaanza kutengeneza credit .

4: Ibada ikiisha toka wa mwisho usiwe na haraka huwezi kosa kisusio wewe jifanye unasalimia salimia tuu

5: kama huna kinasio uwe unaingia hekaluni wa mwisho na kutoa sadaka wa kwanza kabisa , ukishindwa kutoa wa kwanza toa wa mwisho kabisa , alafu usivae kitakatifu kama wao vaa kisharo kidogo kwa ni dhamu hapo utakua umejitofautisha na utawala hakika

Kumbuka:!

Majina ya kuwaita wanaitana "Mtumishi" salimia kwa salamu yako ya kitaa alafu watakua wanataka kukugeuza usalimie kwa kufanaa nao kitakatifu ,jifanye unaona ukakasi basi hapo watajiona wamepata mbarikiwa nawatakuweka karibu kiusaidizi ila wewe usisahau lengo lako ni kuwala.

Ukipata mserereko kuwa mshapu sana ongozana nae hata kama aelekei usawa wa njia ya gheto kwako pita kimakusudi njia za kuelekea gheto kwako akifika kati kwa kati mwambie tumekaribia twende ukaweke hata Baraka kidogo. Hakika hautojutia.


Nb. Mabinti wa kilokole ukiwa mwehu mwehu unakula hekalu zima na wageni wanao kuja wote, ukiona binti mgeni kaja hakikisha unaenda kusalimiana nae na kumkaribisha chachi huyo anakua pisi mpya kijanja


HAO HAWATONGOZWI UKIMTONGOZA BINTI WA KILOKOLE KATIKA KIZAZI HIKI CHA NYOKA, JUA UMEMPOTEZA KABISA WAO NI WEWE KUJIONGEZA TUU BASI INATOSHA
 
Mabinti wa kilokole hawatongozwi wewe ni kushika tuu mkono kama unavyo vinasio vya kuwanasa

Njia rahisi ukitaka uwale sana jicheck wewe unaweza nini kati ya haya;-

1: kinanda, kucheki cheki mitambo , uchawa , kwaya, maombi, uongozi mchwara , ushauri ,

2: kubeba beba wale wanaojiangusha mapepo naikitokea umebeba demu mshike kijanja maeneo kadhaa kwa dharura alafu acha hii itakufanya ajirahisishe upesi

3: ukisikia mmoja atusomee mstari unaofata uwe unajinyanyua kila saa wakuone but siku nyingine wakikuzoea unakaza kinoma hadi mchungaji akupoint hapobunaua unaanza kutengeneza credit .

4: Ibada ikiisha toka wa mwisho usiwe na haraka huwezi kosa kisusio wewe jifanye unasalimia salimia tuu

5: kama huna kinasio uwe unaingia hekaluni wa mwisho na kutoa sadaka wa kwanza kabisa , ukishindwa kutoa wa kwanza toa wa mwisho kabisa , alafu usivae kitakatifu kama wao vaa kisharo kidogo kwa ni dhamu hapo utakua umejitofautisha na utawala hakika

Kumbuka:!

Majina ya kuwaita wanaitana "Mtumishi" salimia kwa salamu yako ya kitaa alafu watakua wanataka kukugeuza usalimie kwa kufanaa nao kitakatifu ,jifanye unaona ukakasi basi hapo watajiona wamepata mbarikiwa nawatakuweka karibu kiusaidizi ila wewe usisahau lengo lako ni kuwala.

Ukipata mserereko kuwa mshapu sana ongozana nae hata kama aelekei usawa wa njia ya gheto kwako pita kimakusudi njia za kuelekea gheto kwako akifika kati kwa kati mwambie tumekaribia twende ukaweke hata Baraka kidogo. Hakika hautojutia.


Nb. Mabinti wa kilokole ukiwa mwehu mwehu unakula hekalu zima na wageni wanao kuja wote, ukiona binti mgeni kaja hakikisha unaenda kusalimiana nae na kumkaribisha chachi huyo anakua pisi mpya kijanja


HAO HAWATONGOZWI UKIMTONGOZA BINTI WA KILOKOLE KATIKA KIZAZI HIKI CHA NYOKA, JUA UMEMPOTEZA KABISA WAO NI WEWE KUJIONGEZA TUU BASI INATOSHA
Huu utumbo atakae fall for this sio mwana WA nuru
NI nyoka alievaa ngozi ya kondoo alieingia kanisani kudanga watu waende kuzimu
 
Hiyo kitu haina cha ulokole wewe.
Nimeshafanya majaribio kadhaa nikakuta hakuna cha ulokole wala nini.
Mdada wa kushinda kanisani, akiwa na shughuli zake kama dukani au biashara zingine basi pembeni kuna bible muda wote anasoma bible. na redio ya kanisani kwao anasikiliza mahubiri na nyimbo. Ila mkichat whatssap ni maharagwe ya mbeya maji mara moja unabeba. Nimefanya hivyo kwa binti hata idadi sijui ila baadaye naamuaga tu kuacha kama nikimwona hana vigezo vya kunishawishi.
Narudia
Unatakiwa uka comment kwenye nyuzi za waenda kuzimu sio hapa
Hapa umepotea njia
 
Taratibu ni zile zile hazijabadilika sema siku hizi zimedadavuliwa kidogo

Badala ya kwenda moja kwa moja kwa mchungaji unaanza kuyajenga na mwenzio mkikubaliana ndio inakuja hatua ya kwenda kwa Mchungaji yanafuata hayo uliyoyasema hapo

Na hiyo ni kutokana na kuepusha aibu kwa Kijana endapo atakataliwa na binti so wameona ni bora ufikishe mwenyewe ujumbe kwa binti then akikubali unafuata process

Hii pia sio kwa makanisa yote ya kilokole inategemeana na mchungaji wa kanisa husika alivyoweka sheria zake yeye kama yeye

NB: Hii kanuni ya mwanzo ni nzuri zaidii kwasababu inapunguza wadada kuumizwa katika mahusiano kutokana na kwamba mahusiano yenu yatakuwa wazi kuliko yale ya kufichwa fichwa [emoji2]
Amina mtumishi
Kwahiyo mambo hayajabadilika Sana kumbe
 
Njoo niombe nyumbni naumwaa [emoji15]

Unaanza kujiuliza wewe ni mchungaji

Njoo tuzungumze kwangu sisi ni wapendwa hakiwezi kutokea kitu au wewe unahisi utashindwa kujicontrol humwamini Mungu et[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

F*u MT[emoji1787]
Huyo mjinga anaekuja kukuombea atakuwa NI nyoka alievaa ngozi ya kondoo Yuko kanisani Kwa ajili ya kuwapeleka watu kuzimu
Hilo nalo uliangalie
 
Back
Top Bottom