Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

Sawa, watasikia
Ila bado hujajibu swali la nyuzi hii
Nimejibu kwenye comment namba 110 .

Majibu ya open ended yanakua na explanation ya positive au negative

Kwa kifupi

Mabinti wa kilokole siku hizi hawatongozwi


SASA HIVI HAKUNA MLOKOLE WA KWELI HASA HASA MABINTI WA KIZAZI HIKI HAKUNA HAKIKA NA WAAMBIENI , MABINTI WENGI WANAENDA CHACHI KUTAFUTA WANAUME NA OLE WA MWANAUME ATAKAYE OA MLOKOLE AKIDHANIA MOYONI WAKE AMEPATA MKE MWEMA.

kama unabisha tumia hiyo njia niliyo weka kwenye comment no 110.

MABINTI WA KILOKOLE NI WACHAFU SANA ISIPO KUA NI WA KIMNYA NA WA SIRI SANA UTAKULA HEKALU ZIMA NA HAKUNA ATAKAE VUJISHA SIRI HIYO
 
Nimejibu kwenye comment namba 110 .

Majibu ya open ended yanakua na explanation ya positive au negative

Kwa kifupi


SASA HIVI HAKUNA MLOKOLE WA KWELI HASA HASA MABINTI WA KIZAZI HIKI HAKUNA HAKIKA NA WAAMBIENI , MABINTI WENGI WANAENDA CHACHI KUTAFUTA WANAUME NA OLE WA MWANAUME ATAKAYE OA MLOKOLE AKIDHANIA MOYONI WAKE AMEPATA MKE MWEMA.

kama unabisha tumia hiyo njia niliyo weka kwenye comment no 110.

MABINTI WA KILOKOLE NI WACHAFU SANA ISIPO KUA NI WA KIMNYA NA WA SIRI SANA UTAKULA HEKALU ZIMA NA HAKUNA ATAKAE VUJISHA SIRI HIYO
Sidhani kama na wewe umeokoka
Wana WA Nuru wamejaa kibao bro, NI wewe ulishakata tamaa na kumkatia tamaa Mung
Kumbuka hizi NI SIKU za mwisho ee
Mashetani pia yako kanisani yamevaa ngozi ya kondoo

Kwasababu wewe sio mwana WA nuru njoo huku msaidie mwenzio
 
Sidhani kama na wewe umeokoka
Wana WA Nuru wamejaa kibao bro, NI wewe ulishakata tamaa na kumkatia tamaa Mung
Kumbuka hizi NI SIKU za mwisho ee
Mashetani pia yako kanisani yamevaa ngozi ya kondoo

Kwasababu wewe sio mwana WA nuru njoo huku msaidie mwenzio
Tatizo lako wewe ni mbishi mkuu.

Na sijui kwanini hao unao ona wame okoka na walokole wana wa nuru kwa zama hizi za mwisho hakuna kitu mkuu ni usanii sanii tuu.

Omba Mungu akupe ufahamu wa kweli
 
Tatizo lako wewe ni mbishi mkuu.

Na sijui kwanini hao unao ona wame okoka na walokole wana wa nuru kwa zama hizi za mwisho hakuna kitu mkuu ni usanii sanii tuu.

Omba Mungu akupe ufahamu wa kweli
Mungu akupe ufahamu wewe Kwanza
Pili soma neno la Mungu maana Mbinguni huendi na watu unaenda mwenyewe
Tengeneza mwenyewe na Mungu ifike sehemu useme Wana WA Nuru wasiopiga goti Kwa baali wapo
 
Enyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu

Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?

Maana me nimetongozwaga zamani,

Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea

Na dating NI mchana sehemu ya public

Hamna Ku kiss wala ku du

Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje

Naombeni kujua jamaa
ndo ivo ivo, kama unaoa binti wa kanisan hapo hapo huo ndo utaratibu EAGT hao
 
Back
Top Bottom