Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #121
Sawa, watasikiaWote wenye mwili wametenda dhambi hivyo wote sio wana wa pendo lake kwahiyo tunaokolewa kwa rehema tuu.
Ila bado hujajibu swali la nyuzi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, watasikiaWote wenye mwili wametenda dhambi hivyo wote sio wana wa pendo lake kwahiyo tunaokolewa kwa rehema tuu.
Nimejibu kwenye comment namba 110 .Sawa, watasikia
Ila bado hujajibu swali la nyuzi hii
Sidhani kama na wewe umeokokaNimejibu kwenye comment namba 110 .
Majibu ya open ended yanakua na explanation ya positive au negative
Kwa kifupi
SASA HIVI HAKUNA MLOKOLE WA KWELI HASA HASA MABINTI WA KIZAZI HIKI HAKUNA HAKIKA NA WAAMBIENI , MABINTI WENGI WANAENDA CHACHI KUTAFUTA WANAUME NA OLE WA MWANAUME ATAKAYE OA MLOKOLE AKIDHANIA MOYONI WAKE AMEPATA MKE MWEMA.
kama unabisha tumia hiyo njia niliyo weka kwenye comment no 110.
MABINTI WA KILOKOLE NI WACHAFU SANA ISIPO KUA NI WA KIMNYA NA WA SIRI SANA UTAKULA HEKALU ZIMA NA HAKUNA ATAKAE VUJISHA SIRI HIYO
Tatizo lako wewe ni mbishi mkuu.Sidhani kama na wewe umeokoka
Wana WA Nuru wamejaa kibao bro, NI wewe ulishakata tamaa na kumkatia tamaa Mung
Kumbuka hizi NI SIKU za mwisho ee
Mashetani pia yako kanisani yamevaa ngozi ya kondoo
Kwasababu wewe sio mwana WA nuru njoo huku msaidie mwenzio
Mume wangu hasimamishi, nifanyaje?!
Haya mje sasa Naona kumekucha Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole Kisa kinaenda hivi Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume Money penny: Nini mbaya mami?? Mlokole: Mume...www.jamiiforums.com
Mungu akupe ufahamu wewe KwanzaTatizo lako wewe ni mbishi mkuu.
Na sijui kwanini hao unao ona wame okoka na walokole wana wa nuru kwa zama hizi za mwisho hakuna kitu mkuu ni usanii sanii tuu.
Omba Mungu akupe ufahamu wa kweli
ndo ivo ivo, kama unaoa binti wa kanisan hapo hapo huo ndo utaratibu EAGT haoEnyi Wana WA Nuruni
Naomba mje mnisaidie hii kitu
Kwani skuhizi walokole mnatongozaje dada zenu waliookoka?
Maana me nimetongozwaga zamani,
Zamani ilikuwa ukimpenda mpendwa, unamwambia Mzee WA kanisa, anaenda Kuongea na dada, akikubali, anarudishwa jibu ndio mnakutana Kwa Mzee WA kanisa Kuongea
Na dating NI mchana sehemu ya public
Hamna Ku kiss wala ku du
Sasa sijui skuhizi mnatongozanaje
Naombeni kujua jamaa
Sio EAGT, makanisa yote ya kiroho bongo NI hivyondo ivo ivo, kama unaoa binti wa kanisan hapo hapo huo ndo utaratibu EAGT hao
Kkkt hawana biashara ya ivo, moloviani pia aglican hawana hao ni EAGT tu, hao wa mwamposa sijuiSio EAGT, makanisa yote ya kiroho bongo NI hivyo
Sijajua Kwa mwamposa wanafanyaje
Itakuwa umesali EAGTKkkt hawana biashara ya ivo, moloviani pia aglican hawana hao ni EAGT tu, hao wa mwamposa sijui
nilisali sana nikiwa shule ya msingi nikaachaga tu nikaamia kkktItakuwa umesali EAGT
EAGT NI moja ya makanisa ya Pentecoste
Kaa huku huku KKKT ndio kuzurinilisali sana nikiwa shule ya msingi nikaachaga tu nikaamia kkkt
AmenMathayo 7:7 AMEN
Umeisoma lakini 😀😀Amen
Lete mstari wa Biblia uliosema kifo cha mende pekee !?Shida yako NI ubishi na Biblia haujasoma mwaka WA 20 sasa
Nenda kasome wimbo ulioboraLete mstari wa Biblia uliosema kifo cha mende pekee !?
Ombeni nayo mtapewa, mathayo 7:7Umeisoma lakini 😀😀
😅😅😅Eeh hii hatar kumbe Biblia imeruhus maufundi bhas kila style inaruhusiwaNenda kasome wimbo uliobora
Suleman akimsifia MKE WA 10 analala kama mende
Naomba niwe Mkwe wakoOmbeni nayo mtapewa, mathayo 7:7
Sijasema imeruhusu nimekwambia kasome wimbo uliobora kitabu chore😅😅😅Eeh hii hatar kumbe Biblia imeruhus maufundi bhas kila style inaruhusiwa