Swali: Jamani Danga ni Nani?!

Kama ni mtihani ushapata division 0
Hauko tofauti na Aslay alieenda London hakupata faida akadondosha mamilioni ya hasara. .. sikunyingine Tumia akili kabla hujacomment
Comments zako zinaonesha wewe ni mdangaji na ni hulka ya Malaya kutumia nguvu kubwa kujisafisha! Matusi hayasaidii ila sie ni vioo ili ujione uso wako ulivyo.
 
Comments zako zinaonesha wewe ni mdangaji na ni hulka ya Malaya kutumia nguvu kubwa kujisafisha! Matusi hayasaidii ila sie ni vioo ili ujione uso wako ulivyo.
AISEE!
MWENYEWE UNAJIONA MWAAAMBA
KAMA WEWE MWAMBA NILETEE RISITI YA MAHALI NA KITUO NILICHOFANYA UDANGA
LA SIVYO TUNAKUONA "LEPUT AU MAHER"... Unajifurahisha nafsi yako kumbe hamna kitu

LETE RISITI MJOMBA kama huna Funga domo lako
 
AISEE!
MWENYEWE UNAJIONA MWAAAMBA
KAMA WEWE MWAMBA NILETEE RISITI YA MAHALI NA KITUO NILICHOFANYA UDANGA
LA SIVYO TUNAKUONA "LEPUT AU MAHER"... Unajifurahisha nafsi yako kumbe hamna kitu

LETE RISITI MJOMBA kama huna Funga domo lako
Hii ni moja kati ya characteristics za wadangaji! Rudia kusoma sredi zako utaona unavyosaka wanaume kwa nguvu (uchangu). Tumekuvumilia ila uvumilivu una mwisho wake. Jitafakari
 
Hii ni moja kati ya characteristics za wadangaji! Rudia kusoma sredi zako utaona unavyosaka wanaume kwa nguvu (uchangu). Tumekuvumilia ila uvumilivu una mwisho wake. Jitafakari
kanigawe kwa Mheshimiwa Mama?
kwani JF naonekana pekeyangu?
hahahaha u sound funny maam! pole kwa kuwa star kwako!
 
Unajua kuna mvurugano mtaani unaosema Danga

Kila kona Habari ya Mujini ni Kudanga

Wanamziki wakaimba kuhusu Danga

Naomba Tusaidiane mpaka mtu anaitwa Danga anakuwa mtu wa namna gani? !

Danga ni Nani? ! Nataka kuelewa zaidi



Danga nimjuaye mimi ni Shamsa Danga tu.
 
Hii ni moja kati ya characteristics za wadangaji! Rudia kusoma sredi zako utaona unavyosaka wanaume kwa nguvu (uchangu). Tumekuvumilia ila uvumilivu una mwisho wake. Jitafakari
kama umechoka kakojoe ukalale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…