Swali: Je hiyo 40% ya kikokotoo ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji?

Swali: Je hiyo 40% ya kikokotoo ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji?

serikali imesikiliza watumishi na kuzingatia maoni yao, na itaendelea kuwaskiza na kujadiliana nao kupitia vyama vyao vya wafanyakazi ili hatimae kama kuna jambo jengine la maana, basi mashauriano yafanyike wakati wanaendelea kuwajibika katika kuwatumikia wanainchi 🐒
Tatizo pesa za watumishi zinazokatwa ktk mishahara na kukusanywa na serikali zimekuwa km hisani kwa mtumishi na siyo haki yake kupewa pindi anapozihitaji baada ya kustaafu. Inakuwaj serikali inampangia matumizi mtu mzima (60 yrs old).
 
Wanasiasa huwa wanatuona kama mazuzu flani tusio na akili!! Wanakera Sana!!

Mfuko umefirisika,hawana hela za kuwalipa wastaafu,wakaleta hicho kikokotoo ili wasiwape wastaafu hela zao!! Halafu mchumia tumbo mmoja anasema eti serikali imesikia kilio!! Kilio my foot ☹️☹️☹️☹️☹️
Kuna Yule mama mpuuzi akasema bungeni ati serikali inawapenda wastaafu ndo maana imeleta kikokotoo shetani kabisa Yule!!!

Siku ya gawio,mama kasema mwenyewe kama mfuko umefirisika ndo sababu ya kikokotoo,kawasema hao waliokula hela za mfuko maumivu wakayamishia Kwa wazee,halafu washenzi mnataka tupongeze Kwa kuongeza hiyo 7% kenge nyie!!!

MTU ana miaka 60 unataka umpe kidogo kidogo iweje!!

Walaaniwe waliotumia vibaya hela za mfuko!!!
Serikali itafute namna ya kuondoa kikokotoo!!
 
Leo waziri mwenye madhamana na fedha za Watanzania kasema bungeni kuwa KIKOKOTOO kimepanda 7% meaning that now is 40%. Swali ni je hiyo % ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji au walihitaji kurudishwa kwa KIKOKOTOO cha zamani (50%/50%). Na je vipi kuhusu kupunguza miaka na masharti mapya mengi waliyoingiza kwenye KIKOKOTOO kipya?

Wafanyakazi kazi kwenu, mmelia mmesikilizwa.

PIA SOMA
- Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
spana za Lisu. Asante lisu
 
Leo waziri mwenye madhamana na fedha za Watanzania kasema bungeni kuwa KIKOKOTOO kimepanda 7% meaning that now is 40%. Swali ni je hiyo % ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji au walihitaji kurudishwa kwa KIKOKOTOO cha zamani (50%/50%). Na je vipi kuhusu kupunguza miaka na masharti mapya mengi waliyoingiza kwenye KIKOKOTOO kipya?

Wafanyakazi kazi kwenu, mmelia mmesikilizwa.

PIA SOMA
- Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Safari ni hatua ,safari Moja huanzisha nyingine Kwa mujibu wa TBL
 
Tatizo pesa za watumishi zinazokatwa ktk mishahara na kukusanywa na serikali zimekuwa km hisani kwa mtumishi na siyo haki yake kupewa pindi anapozihitaji baada ya kustaafu. Inakuwaj serikali inampangia matumizi mtu mzima (60 yrs old).
mambo yote ya fedha yanakwenda kwa utaratibu, na yanafanyika kwa uwazi bila kificho ndio maana hata kabla ya kuajiriwa mtumishi anafahamu wazi atalipwa mafao yake kwa mtindo gani....

hata hivyo,
hapajawahi kua na tatizo lolote baina ya Serikali na watumishi wa umma ispokua kutokuridhika kwa baadhi ya watumishi wachache na wanasiasa waliokosa hoja, sera na uelekeo kuhusu kiawango cha asilimia ya mafao ya watumishi wanaostaafu....

hapakua na dosari wala changamoto ispokua hilo la asilimia tu, kwasababu tangu kuanzishwa kwa mfuko huo malipo ya mkupuo huwa ni 50% mbona hapajawahi kua na malalamiko ya 100%?🐒
 
mambo yote ya fedha yanakwenda kwa utaratibu, na yanafanyika kwa uwazi bila kificho ndio maana hata kabla ya kuajiriwa mtumishi anafahamu wazi atalipwa mafao yake kwa mtindo gani....

hata hivyo,
hapajawahi kua na tatizo lolote baina ya Serikali na watumishi wa umma ispokua kutokuridhika kwa baadhi ya watumishi wachache na wanasiasa waliokosa hoja, sera na uelekeo kuhusu kiawango cha asilimia ya mafao ya watumishi wanaostaafu....

hapakua na dosari wala changamoto ispokua hilo la asilimia tu, kwasababu tangu kuanzishwa kwa mfuko huo malipo ya mkupuo huwa ni 50% mbona hapajawahi kua na malalamiko ya 100%?🐒
Mmmmm basi wewe ni kiboko, ulistahili upewe nafasi kubwa sn ktk chama pendwa
 
Tusitoane macho tupitie hapa halafu tujadili,nimeikuta hii sehemu...
1718377350901.png
 
Swali la ufahamu je waliolipwa kwa asilimia 33% watarudishiwa iyo 7% yao?

Ila utumishi wa umma unakua kama mateso tu.

Huku wao wabunge wanachukua fedha zao zote leo ma sisiem wamesikia kimepanda 40% yamepuga makofi.
Unafiki unafiki.
Wabunge wa ccm ni wapumbavu sana. Tena Hawa waliwekwa na magu mpuuzi yule!
 
mambo yote ya fedha yanakwenda kwa utaratibu, na yanafanyika kwa uwazi bila kificho ndio maana hata kabla ya kuajiriwa mtumishi anafahamu wazi atalipwa mafao yake kwa mtindo gani....

hata hivyo,
hapajawahi kua na tatizo lolote baina ya Serikali na watumishi wa umma ispokua kutokuridhika kwa baadhi ya watumishi wachache na wanasiasa waliokosa hoja, sera na uelekeo kuhusu kiawango cha asilimia ya mafao ya watumishi wanaostaafu....

hapakua na dosari wala changamoto ispokua hilo la asilimia tu, kwasababu tangu kuanzishwa kwa mfuko huo malipo ya mkupuo huwa ni 50% mbona hapajawahi kua na malalamiko ya 100%?🐒
Mkuu tambua maisha yamebadilika sana iyo 50% linganisha na sasa, acheni ubinafsi basi ata wabunge nao walambe iyo 40% si wana maposho mengi uone watakavyo kua wanatoa milio
 
Wafanyakazi wanataka 100% kama ifanyikavyo kwa wabunge.

Bado 40% ni uhuni.
Hakuna nchi duniani inalipa pension Kwa mfanyakazi kibarua mwajiriwa serikalini au sekta binafsi asilimia 100

Haipo na nyie wafanyakazi vibarua wa ajira muwe pia mnaangalia nchi nyingine.duniani wanalipaje

Wabunge hawalipwi.pension na mifuko ya pension na wewe nenda kagombee hujazuiwa ili uache kuwa kibarua wa ajira huko serikalini
 
Mimi nilisikia tu wale wa 25% watafika 33% na wale 33% watafika 40%
Sasa sijui kwa nini wengine wanalipwa kidogo na wengine zaidi wakati wote wanachangia. Nijuavyo wafanyakazi wanaochangia kidogo ni wa Serikali (5% ya mshahara) wakati wa Private huchangia 10% ya mshahara kila mwezi (mara mbili); Ila utashangaa wanaochangia kidogo ndio wananufaika zaidi na mafao
 
Mkuu tambua maisha yamebadilika sana iyo 50% linganisha na sasa, acheni ubinafsi basi ata wabunge nao walambe iyo 40% si wana maposho mengi uone watakavyo kua wanatoa milio
Tatizo hamlioni Sasa hivi kikokotoo mngekuwa na akili mngedai mlipwe asilimia 20 tu mkupuo ili kipato Cha Kila mwezi Cha pension mpate asilimia 80 ya mshahara mliokuwa mkipata Kazini .Kwa kuwa maisha yamebadilika unachohitaji ni kipato kikubwa Cha Kila mwezi

Sasa mumetaka asilimia 50 maana yake ukipewa asilimia 50 ina.maana kipato chako Cha mwezi kutakuwa asilimia 50 ya uliokuwa mshahara wako Sasa kama hata mshahara ulikuwa nao Kazini ukiona hautoshi ukienda mitaani ulipwe nusu Kwa mwezi si unatafuta pressure za kufa haraka wewe
Mitaani inatakiwa kipato Cha mwezi kiwe kikubwa Vinginevyo utalia kilio Cha mbwa Koko baada ya kustaafu.Ndani ya miezi sita maisha yatakupiga Hadi ukome

Ndipo utagundua umuhimu wa kuwa na kipato kikubwa Cha Kila mwezi na hutakuwa na pa kudai Tena ndio imetoka hiyo

Halafu mstaafu sio mtu mzima ni Mzee mzima akili yake ilishafika ukingoni ndio maana anadtaafishwa
 
Mkuu tambua maisha yamebadilika sana iyo 50% linganisha na sasa, acheni ubinafsi basi ata wabunge nao walambe iyo 40% si wana maposho mengi uone watakavyo kua wanatoa milio
wabunge huhudumu kwa miaka mitano pekee, na hakuna uhakika wa kurejea mjengoni tena, tofauti na watumishi wa umma wenye mikataba ya kudumu,

na kwahivyo kikokotoo cha ajira ya kudumu na ajira ya muda tena ni mkataba wa muda kwa ushindani wa kura wenye kuhusisha gharama kubwa mno kuitumikia ajira yenyewe lakini pia kuipata ajira yenyewe kwa mujibu wa sheria,

so, gentleman,
ni vizuri kuelewa implications utofauti wa ajira zenyewe kati ya ajira ya kudumu kwa mtumishi wa umma na ajira ya muda maalumu ya mbunge 🐒
 
Back
Top Bottom