Swali: Je hiyo 40% ya kikokotoo ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji?

Swali: Je hiyo 40% ya kikokotoo ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji?

Michango yako Ile asilimia 5 uliyochangia wewe Miaka yote unalipwa yote asilimia 100 tena na ziada juu hawabaki na hiyo asilimia tano yako hata shilingi moja

Kachukue statement yako ya michango huwa inaonyesha michango yako shilingi ngapi na ya mwajiri shilingi ngapi kila mwezi Miaka yote na jumla halafu Anglia FAO lako la mwisho la mkupuo wanalokulipsla wanakulipa zote asilimia Mia na ziada juu

Hawabaki nayo hata senti tano ya michango yako
Na suala la kufuatilia mafao ya kukosa kazi.kukaa miezi miwili haujajibu
 
Ndo tabu. Dawa ni kuendelea kuvulunda tu.
 
wabunge huhudumu kwa miaka mitano pekee, na hakuna uhakika wa kurejea mjengoni tena, tofauti na watumishi wa umma wenye mikataba ya kudumu,

na kwahivyo kikokotoo cha ajira ya kudumu na ajira ya muda tena ni mkataba wa muda kwa ushindani wa kura wenye kuhusisha gharama kubwa mno kuitumikia ajira yenyewe lakini pia kuipata ajira yenyewe kwa mujibu wa sheria,

so, gentleman,
ni vizuri kuelewa implications utofauti wa ajira zenyewe kati ya ajira ya kudumu kwa mtumishi wa umma na ajira ya muda maalumu ya mbunge 🐒
Umenena vyema.
 
Back
Top Bottom