Swali: Je hiyo 40% ya kikokotoo ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji?

Swali: Je hiyo 40% ya kikokotoo ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji?

Itoshe kusema MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII.NI MAJAMBAZI.yasiyotumia silaha.
Pesa yangu, nimefanya kazi kwa muda wote huo.iweje unipangie jinsi ya kunipa?
Hela Yako yote ulichongia wewe na jasho lako Kila mwezi ni asilimia Tano hiyo ndio Yako mwajiri alikuwa anakuchangia asilimia 15 Ukipiga hesabu ya hiyo asilimia Tano uliyokuwa unachangia kwenye pesa ya mkupuo utakuta umelipwa yote na kuzidi yaani wanekulipa asilimia 100 ila Ile asilimia 15 aliyekuchangia mwajiri ndio ambayo kiasi mwajiri asilimia kuwa anabakiza aendelee kukulipa Kila mwezi hiyo asilimia 15 sio jasho lako ni la mwajiri laa Kwako asilimia 5 ya michango

Chukua statement mifuko ya pension na angalia utaona mafao Yako ya asilimia Tano wamekulipa yote asilimia mia na.ziada juu

Haya mambo yataka kutuliza kichwa sio mihemuko
 
Wabunge wanalipwa 100%
Ile sio pension Wala ajira ni kazi ya mkataba na mifuko ya pension haihusiki nayo

Mifuko ya pension inashusika na waajiriwa tu wa Sekta binafsi na serikali sio wabunge au watupu waliojiajiri wenyewe
Tatizo hiyo formula binafsi Kwa faida ya mstaafu akichukua asilimia 100 nakuhakikishia baada ya miaka miwili utamkuta kachakaa kama mbwa wa porini

Watu waliochukua mkupuo miaka ya nyuma wako na maisha magumu wengi hatari Tatizo wengi hawaombi huko mitaani Kwa wastaafu wawape maoni Yao

Lakini Mimi ushauri wangu pension ya mwezi iwe kubwa mtu hata kama nyumba Hana aweza panga nyumba Mzuri bila kujenga na akaishi vizuri

Kosa kubwa la kwanza linafanywa na wastaafu wengi kuchukua pension na kwenda kujenga nyumba na Kununua gari .Hela ya mkupuo inakatikia hapo.Ikikata ya mwezi ndio unatakiwa imbebe kuendesha gharama za gari na nyumba umeme,maji na yeye kula nk hapo sasa ndipo Unakuta kibibi au kibabu kinaanza kelele ohh pension ya mwezi mdogo watu timetumikia nchi Kwa uaminifu ona kipension Cha mwezi ninacholipwa na kuanza kusumbua watoto na ndugu na jamaa kulia Lia njaa

Hayo mambo ni very serious mtu mbishi atakiona Cha mtema Kuni akistaafu pesa ya mkupuo ikikata ya mwezi ikiwa ndogo lazima atungue kilio

Tunaongea humu ku saidia wazee

Mzee mstaafu sio mtu mzima ni Mzee mzima kwenye utu uzima alishapita ndio maana anastasfishwa kuwa wewe utu uzima ulishapita wewe ni Mzee mzima kikongwe ondoka nenda hivyo kakipato ka Kila mwezi kanatakiwa kawe kakubwa akichukua asilimia 100 pension hailipi Tena pension ya mwezi ni mauaji ya kimbari Kwa wazee .Kazee kaweza anzisha tuniashara twake Koko Kwa umri wa uzee maradhi mengi na tubiashara tunahitaji usimamizi makini kakiumwa tu na kulazwa kakitoka biashara imeenda na maji Vijana wamefanya Yao kanakufa na pressure mapema lakini kama kale ka mwezi ka pension kako kakubwa kanaendelea kusukuma siku zake
Binafsi hiyo asilimia 40 sijaridhika wameweka asilimia 10 au 20 ili pension ya Kila mwezi iwe kubwa
 
Leo waziri mwenye madhamana na fedha za Watanzania kasema bungeni kuwa KIKOKOTOO kimepanda 7% meaning that now is 40%. Swali ni je hiyo % ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji au walihitaji kurudishwa kwa KIKOKOTOO cha zamani (50%/50%). Na je vipi kuhusu kupunguza miaka na masharti mapya mengi waliyoingiza kwenye KIKOKOTOO kipya?

Wafanyakazi kazi kwenu, mmelia mmesikilizwa.

PIA SOMA
- Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Wao watupe chetu chote tukafie kwenye mbususu za watu basi
 
Leo waziri mwenye madhamana na fedha za Watanzania kasema bungeni kuwa KIKOKOTOO kimepanda 7% meaning that now is 40%. Swali ni je hiyo % ndiyo wafanyakazi walikuwa wanahitaji au walihitaji kurudishwa kwa KIKOKOTOO cha zamani (50%/50%). Na je vipi kuhusu kupunguza miaka na masharti mapya mengi waliyoingiza kwenye KIKOKOTOO kipya?

Wafanyakazi kazi kwenu, mmelia mmesikilizwa.

PIA SOMA
- Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Wafanyakazi walitaka hii: 1/580 irudi kuwa 1/540; 12.5 irudi kuwa 15.5 na kisha asilia iwe 50%....Hizo 'factors' za kikokotoo zipo kwenye kanuni.
 
Hela Yako yote ulichongia wewe na jasho lako Kila mwezi ni asilimia Tano hiyo ndio Yako mwajiri alikuwa anakuchangia asilimia 15 Ukipiga hesabu ya hiyo asilimia Tano uliyokuwa unachangia kwenye pesa ya mkupuo utakuta umelipwa yote na kuzidi yaani wanekulipa asilimia 100 ila Ile asilimia 15 aliyekuchangia mwajiri ndio ambayo kiasi mwajiri asilimia kuwa anabakiza aendelee kukulipa Kila mwezi hiyo asilimia 15 sio jasho lako ni la mwajiri laa Kwako asilimia 5 ya michango

Chukua statement mifuko ya pension na angalia utaona mafao Yako ya asilimia Tano wamekulipa yote asilimia mia na.ziada juu

Haya mambo yataka kutuliza kichwa sio mihemuko
Hivi siku nisipoenda kazini mwajiri alikuwa ananiwekea michango pia?au mpaka niende kazini?
 
Hela Yako yote ulichongia wewe na jasho lako Kila mwezi ni asilimia Tano hiyo ndio Yako mwajiri alikuwa anakuchangia asilimia 15 Ukipiga hesabu ya hiyo asilimia Tano uliyokuwa unachangia kwenye pesa ya mkupuo utakuta umelipwa yote na kuzidi yaani wanekulipa asilimia 100 ila Ile asilimia 15 aliyekuchangia mwajiri ndio ambayo kiasi mwajiri asilimia kuwa anabakiza aendelee kukulipa Kila mwezi hiyo asilimia 15 sio jasho lako ni la mwajiri laa Kwako asilimia 5 ya michango

Chukua statement mifuko ya pension na angalia utaona mafao Yako ya asilimia Tano wamekulipa yote asilimia mia na.ziada juu

Haya mambo yataka kutuliza kichwa sio mihemuko
Lingine.kwanini kufuatilia mafao ya kukosa kazi unafatilia zaidi ya miezi miwili na zaidi ndo ulipwe?
 
Hivi siku nisipoenda kazini mwajiri alikuwa ananiwekea michango pia?au mpaka niende kazini?
Serikalini unawekewa bila shida sababu inalipwa pamoja na mshahara.Waweza lazwa miezi hata minne wanakuwekea au Kwa wale watoto kazini mradi hujaachishwa kazi na mshahara unaingia na mchango unaingia,Uwe likizo mwezi mzima huendi kazini mchango unaingia
 
Binafsi hata wangepewa 10% nisawa tu, ilimradi kusiwe na usumbufu kwenye kupata pesa yake anapoihitaji.
 
Ile sio pension Wala ajira ni kazi ya mkataba na mifuko ya pension haihusiki nayo

Mifuko ya pension inashusika na waajiriwa tu wa Sekta binafsi na serikali sio wabunge au watupu waliojiajiri wenyewe
Tatizo hiyo formula binafsi Kwa faida ya mstaafu akichukua asilimia 100 nakuhakikishia baada ya miaka miwili utamkuta kachakaa kama mbwa wa porini

Watu waliochukua mkupuo miaka ya nyuma wako na maisha magumu wengi hatari Tatizo wengi hawaombi huko mitaani Kwa wastaafu wawape maoni Yao

Lakini Mimi ushauri wangu pension ya mwezi iwe kubwa mtu hata kama nyumba Hana aweza panga nyumba Mzuri bila kujenga na akaishi vizuri

Kosa kubwa la kwanza linafanywa na wastaafu wengi kuchukua pension na kwenda kujenga nyumba na Kununua gari .Hela ya mkupuo inakatikia hapo.Ikikata ya mwezi ndio unatakiwa imbebe kuendesha gharama za gari na nyumba umeme,maji na yeye kula nk hapo sasa ndipo Unakuta kibibi au kibabu kinaanza kelele ohh pension ya mwezi mdogo watu timetumikia nchi Kwa uaminifu ona kipension Cha mwezi ninacholipwa na kuanza kusumbua watoto na ndugu na jamaa kulia Lia njaa

Hayo mambo ni very serious mtu mbishi atakiona Cha mtema Kuni akistaafu pesa ya mkupuo ikikata ya mwezi ikiwa ndogo lazima atungue kilio

Tunaongea humu ku saidia wazee

Mzee mstaafu sio mtu mzima ni Mzee mzima kwenye utu uzima alishapita ndio maana anastasfishwa kuwa wewe utu uzima ulishapita wewe ni Mzee mzima kikongwe ondoka nenda hivyo kakipato ka Kila mwezi kanatakiwa kawe kakubwa akichukua asilimia 100 pension hailipi Tena pension ya mwezi ni mauaji ya kimbari Kwa wazee .Kazee kaweza anzisha tuniashara twake Koko Kwa umri wa uzee maradhi mengi na tubiashara tunahitaji usimamizi makini kakiumwa tu na kulazwa kakitoka biashara imeenda na maji Vijana wamefanya Yao kanakufa na pressure mapema lakini kama kale ka mwezi ka pension kako kakubwa kanaendelea kusukuma siku zake
Binafsi hiyo asilimia 40 sijaridhika wameweka asilimia 10 au 20 ili pension ya Kila mwezi iwe kubwa
Shotocan una hisa nini ktk mifuko ya pensheni, mbona umekomaa sana?
 
Shotocan una hisa nini ktk mifuko ya pensheni, mbona umekomaa sana?
Binadamu mwenzio ukimshauri kitu inabidi umshauri vizuri ili mbele ya safari yakimkuta asije anza kumlaumu Mwenyezi Mungu na kumkufuru kuwa Kwa Nini hakutumia hata binadamu wenzie kumshauri

Pesa ya Pension ni Hela ya mwisho kwenye maisha ya ajira ya mtu hivyo anatakiwa ashauriwe vizuri ili safari yake aendako mbele ya safari iwe njema ndio maana watu huwatakia Wenzao safari njema wanapisafiri hata kama wao hawasafiri

Jambo la pension ni jambo zito sana mstaafu yeyote hatakiwi kulichukulia ki wepesi wepesi

Na ndicho nakifanya humu kushauri Kadiri niwezavyo njia iliyo Bora zaidi
Serikalli ilichofanya ni kile Cha methali mtoto akililia wembe mpe Lakini Sio kizuri Kwa mstaafu hicho kikotoo Cha asilimia 40 lingekuwa 10 au 20 Kwa maoni yangu
 
Kuna muda unachokitaka ukikikosa inabidi upende unachokipata. 40/60 sio mbaya in such, peovided kwamba tulikuwa kwenye 33/67.

Vyama vya wafanyakazi inabidi vipongeze kwanza kwa hata effort kidogo zimewekwa na serikali. Ila waendelee kupaza sauti kuhakikisha wanafikia wanachokitaka.

Kwenye big tables, incentives yeyote unayopewa na mtu ambaye yupo fixed solid inabidi uichukulie positive kama kweli lengo lako ni kujenga na sio kubomoka
Wapongeze Kwa lip? Yani serikali iwaibie watumishi pesa zao halafu vyama vya wafanyakazi vipongeze hiyo 40% serikali iwape watumishi hela zao iache janja janja
 
Na ubachoongea kama utani lakini vizee vingi pesa.za mikupuo huishia huko Halafu vinaanza kusumbua watoto na ndugu kudai matunzo
Sasa wee unadhani matumizi ya hela ni nini kama sio kula mbususu kwa sie wanaume
 
Tatizo pesa za watumishi zinazokatwa ktk mishahara na kukusanywa na serikali zimekuwa km hisani kwa mtumishi na siyo haki yake kupewa pindi anapozihitaji baada ya kustaafu. Inakuwaj serikali inampangia matumizi mtu mzima (60 yrs old).
Serekali ya kipumbavu sana hii. Hela yangu unanipangia matumizi? Shwaini!
 
Serikalini unawekewa bila shida sababu inalipwa pamoja na mshahara.Waweza lazwa miezi hata minne wanakuwekea au Kwa wale watoto kazini mradi hujaachishwa kazi na mshahara unaingia na mchango unaingia,Uwe likizo mwezi mzima huendi kazini mchango unaingia
Kama michango yangu imefika milioni 100.kwanini nisipewe yote.alafu hyo pensheni yao ndo wanilipe kidogo kidogo
 
Kama michango yangu imefika milioni 100.kwanini nisipewe yote.alafu hyo pensheni yao ndo wanilipe kidogo kidogo
Michango yako Ile asilimia 5 uliyochangia wewe Miaka yote unalipwa yote asilimia 100 tena na ziada juu hawabaki na hiyo asilimia tano yako hata shilingi moja

Kachukue statement yako ya michango huwa inaonyesha michango yako shilingi ngapi na ya mwajiri shilingi ngapi kila mwezi Miaka yote na jumla halafu Anglia FAO lako la mwisho la mkupuo wanalokulipsla wanakulipa zote asilimia Mia na ziada juu

Hawabaki nayo hata senti tano ya michango yako
 
Back
Top Bottom