Ukute sasa ndo siku walikubaliana wakionana wakalane[emoji23][emoji23][emoji23]Ungeenda tu uone..ungetafunwa kwa fujo sana,tunakuaga na dawa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unaenda umenuna nuna tuYan nimienda kumsalimia badala ya kuitikiaa naangua kicheko ili kujitahadhari bora nikimbieeee
Wanaume wa siku hizi mna shombo balaaa sio kwa chambo hiloKama vile umeota, kabaya hako kakavu kama ukoko wa ugali wa udaga.
Maneno yangekuwa yanaendana na mtu kangekuwa karembo sana, but overused kwa kingereza tunasema ni regular/secon'hand...!
Pole zake mr. Matunguri.
Mambo ya jf bwana anakutukana huku kumbe pm anakutongozaBigmind anatakaga awe mchepuko wangu ndo maana siku hizi kaacha kunitukana katulia kimyaaa
unacheka au unanicheka? kukimbiwa noma,na utu uzima huuHahahahahahahahahaaaa.
Umeeuka kitu muhimu sana hapa...Nakumbuka nilipokuwa nasoma mlimani kipindi hicho mtandao maarufu ulikuwa hi5 basi kule nikakutana na kijana mmooja matata yaan pichaa alizokuwa ananitumiaa zilikuwa balaaa mtoto wa kike nikadataa though mi zangu zilikuwa za ukweli,basi bwana siku zikaenda tukawa tushazoena yeye alikuwa anakaa mbezi mi nakaa hall 3 basi siku ya siku akaniambiaa anataka tuonane basi bwana nikamwambiaa anifate chuo na tulipanga tuende kwanza best bites coz ilikuwa mchana for lunch.tukakubaliana mi nikawa nipo sana xcited kuonana na mkaka handsome hatareee yaan inshort alikuwa kakamilika kila idara,basi bwana sikutaka anifate kule hall three nikamwambiaa atanikuta container.Basi mtoto wa kike nikauparaaa balaaa akaniambiaa amekaribia pale udasa basi na mm nikajisogeza kituo cha container ....nikawa nimesimama nikshangaa gari limepaki upande wa pili kama unaelekeaa kule utawala......ili kuwa discover nyeusi full tinted ,akanipigiaa simu nimeshakuonaa njoo upande wa pili uingiee ndani ya gari ,nikavuka ile nafunguaa mlango jaman nikishtukaa balaaaaaa manake nilikutana na mbaba mtu mzima zaidi ya baba angu yaan kwa uogaa nikajijutaa namsalimiaa shikamoo baba akaniambiaaa achaa zako,akagunga milango tuakenda jaman alijuaa kanisa sipo comfortable manake mpka tunafika kule nilkuwa kama msukule na yy alilitambuaa hilo basi tulivyomaliza kulaa akanirudisha akajiongeleshaa weee nikashuka akanipa ela nikarudi zngu room jaman baaada ya hapo nolimblock kilaa sehemu....na sijuwasiliana naye tena
Though baadae nilikuja kumuona kwenye tv flan nikajuaa kazi yake na mpkaa sasa najuaa anapofanya kazi na kitengo alipo ila sijawah mtafutaa!!!
ThanksUna moyo wa kipekee kama upo hivi una hofu ya Mungu sana
Sasa umekoma na nini?hahahahaha,kwa kweli nimekoma
miadi na kukimbiwaSasa umekoma na nini?
Sio rahisi mkuuHeheeeee angekuganda si ungemkimbia tyuuuuuuu
Nacheka. Kwanini nikucheke Sasa?unacheka au unanicheka? kukimbiwa noma,na utu uzima huu
Ndo maishamiadi na kukimbiwa
Kuna bonge alinitoaaa nyumban mpaka kigamboni eti pametuliaa alikuwaa na maneno mengi na kujisifiaa balaaa basi bwana tukafika kigmboni jamaa kajikoki mbayaa kufika chumbani nikaonaa aibu mm nikasema poaa tu ajali kazini.......bwana weee sisemi uongo mtoto wa kike nikaanza kazi zangu nilizofundwa ile najaribu kuweka hako kafilimbi kake mdomoni haooo wazungu kuanziaa hapo mpaka naondokaa dudu lilikuwa limelala na nilimfanyiaa yote lakin wap.....kuanzia siku hiyo mabonge na mm ni paka na panya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa si kitambi kinazid mbele kidogo na dushe linafichwa na nyama
si unanicheka tu,kwa kukimbiwaNacheka. Kwanini nikucheke Sasa?
Haya mkuu..baada ya 26042018 itabidi tukutane mkuu.. Najua vyuma vitakuwa vimelegea....hahaaaaaaSio rahisi mkuu
Nakupenda na kukuheshim sana bibie, kubwa zaidi ni ndugu angu ktk imani.Wewe tena si ulisema umeona mwanya wangu. Halafu big shemeji yako huyo