Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kubali upo cheap
Hata kama ni jukwaa Gani
Lakini ki uhalisia upo hivyo
Mwanamke aliyefundwa kwao akafundika
Hawez kuwa cheap hivyo.yaani mtu humjuh hata kuonana naye ujawahi anakutongoza Na unamkubalia
Duh inamaana angekuwa kakizi mngedate
Mkuu this life is too short humu mitandaoni ni sehemu watu wanakutana na kifahamiana na mara baada ya kufahamiana hilo la kutongozana linaweza kutokea.

Mtu kukubali haimaanishi kuwa Yuko such cheap.

Usi condemn kiasi hicho.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji102]

Mkuu una dhambi wewe ukaamua kumfungukia kabisaa loooh
 
Mkuu this life is too short humu mitandaoni ni sehemu watu wanakutana na kifahamiana na mara baada ya kufahamiana hilo la kutongozana linaweza kutokea.

Mtu kukubali haimaanishi kuwa Yuko such cheap.

Usi condemn kiasi hicho.
Duh
 
Mtani tukutane trh 29 mwezi huu....

Ila ukioniona usije nikimbia na ukibahatika kuniona chonde chonde naomba usije kunifungulia uzi humu ndani......

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahahaaaa. Ntakutafuta mtani.

Mie sina hizo mambo Mtani. [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Aiseee ulipata hasara ya nauli ya kurudia mkoani haya mambo yasikie tu kwa jirani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…