Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Weee upo cheap bhnaaa
Tena siyo wewe tu wanawake wengi mmpo cheap
Wanaume tunawadanganya kwa vitu vidogo na mnaingia line!

Halafu kuwa mwanamke mwenye busara unaweza bishana Na me kwa kawaida siyo mpaka tudharirishane kwa kuitana majina ya ajabu na matusi kama hiyo mxeew
SIJAPENDA
Sawa mm nipo cheap nasubir ushaur wako mkuu karibu tiririka usisahau kunitag maana nina notification nyinginsitaona ushaur wako
 
Hayo mambo hayawezi kututokea sie tunaotokea laivu laivu.sasa namba kanipa mwenyewe in person tunaanzaje kukimbiana?,kazi kwenyu madomo zege na wavulia gizani,imagine mtu mzima unafungia safari papuchi mkoa to mkoa na demu
mwenyewe hujawahi hata kumwona,niggas be too desperate.
Hahahahahaa
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji102]

Mkuu una dhambi wewe ukaamua kumfungukia kabisaa loooh

Huwa simcheleweshi Mtu Mkuu pale akinikwaza na hivyo ndivyo nilivyo Kihaiba na sitobadilika ng'o. Nilimpa ' makavu ' yake!
 
Anaongea kama anaongelea puani hivi kama ni kaermbo basi kajaliwa vyote..labda akose churaa[emoji23] [emoji23]
Kajaliwa vyoteee alafu anavaaa kistarabu ngoja nikaseme kwa Jjj
 
Binafsi nilimkimbia mdada mmoja nikiwa chuo Dodoma. Nilimpata kipindi ambacho Airtel walitoa huduma ya kuchart bure mwaka 2012 na yeye alikuwa mtumishi huku mi nipo chuo mwaka wa 1. Hivyo alikuja Dodoma siku ya ijumaa ili tule bata hadi jumapili na aweze kurudi singida alikokuwa anafanya kazi, sasa nilimuuliza kavaaje akaniambia na nikamwambia nimevaaje japo kwa uongo.

Sasa nilifika jamatini stend nikampigia simu kiukweli nilishangaa maana yule Dada alikuwa mfupi na anakishingo kifupi na shape less ikabidi nimkimbie na nilibadili lain maana sio kwa matusi Yale.

Japo kosa ni lake alienidanganya alivyo kumbe sio. Mi ugonjwa wangu wadada wembembe wa kati nawakubali sana na awe mrefu kwa futi kama 5+ hivi hata awe mbaya lazima ahudumiwe ndo ndo nimweleze kuwa hana sifa
 
Mmmhh, kumbe unazidi kupindisha mipango yetu eeehh.

Ngoja nikitoka ninyoshe zangu nikalale tu[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]
 
Mkuu this life is too short humu mitandaoni ni sehemu watu wanakutana na kifahamiana na mara baada ya kufahamiana hilo la kutongozana linaweza kutokea.

Mtu kukubali haimaanishi kuwa Yuko such cheap.

Usi condemn kiasi hicho.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Back
Top Bottom