Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mm nipo cheap nasubir ushaur wako mkuu karibu tiririka usisahau kunitag maana nina notification nyinginsitaona ushaur wakoWeee upo cheap bhnaaa
Tena siyo wewe tu wanawake wengi mmpo cheap
Wanaume tunawadanganya kwa vitu vidogo na mnaingia line!
Halafu kuwa mwanamke mwenye busara unaweza bishana Na me kwa kawaida siyo mpaka tudharirishane kwa kuitana majina ya ajabu na matusi kama hiyo mxeew
SIJAPENDA
Hahahahah duh! Ilikuw mida ya jion jion siooWewe acha kabisaaa yani nilitoka na geti nikajichanganya pale kwenye mnada wa jioni
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwann ulinikimbia why?
HahahahahaaHayo mambo hayawezi kututokea sie tunaotokea laivu laivu.sasa namba kanipa mwenyewe in person tunaanzaje kukimbiana?,kazi kwenyu madomo zege na wavulia gizani,imagine mtu mzima unafungia safari papuchi mkoa to mkoa na demu
mwenyewe hujawahi hata kumwona,niggas be too desperate.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji102]
Mkuu una dhambi wewe ukaamua kumfungukia kabisaa loooh
Nimelifuta babe. Haya njoo nikuchum ulimi kwa ulimiKafute kwanza tusi lako hapo juu
Utajua utakapokuwa centralKwann ? Utanikamata maana mbio zangu siyo za kitoto
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Mkuu this life is too short humu mitandaoni ni sehemu watu wanakutana na kifahamiana na mara baada ya kufahamiana hilo la kutongozana linaweza kutokea.
Mtu kukubali haimaanishi kuwa Yuko such cheap.
Usi condemn kiasi hicho.