Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Huwa simcheleweshi Mtu Mkuu pale akinikwaza na hivyo ndivyo nilivyo Kihaiba na sitobadilika ng'o. Nilimpa ' makavu ' yake!
Bora wewe mkuu hebu nisaidie eti kuna kosa mm kuwakimbia watu ?
 
Binafsi nilimkimbia mdada mmoja nikiwa chuo Dodoma. Nilimpata kipindi ambacho Airtel walitoa huduma ya kuchart bure mwaka 2012 na yeye alikuwa mtumishi huku mi nipo chuo mwaka wa 1. Hivyo alikuja Dodoma siku ya ijumaa ili tule bata hadi jumapili na aweze kurudi singida alikokuwa anafanya kazi, sasa nilimuuliza kavaaje akaniambia na nikamwambia nimevaaje japo kwa uongo.

Sasa nilifika jamatini stend nikampigia simu kiukweli nilishangaa maana yule Dada alikuwa mfupi na anakishingo kifupi na shape less ikabidi nimkimbie na nilibadili lain maana sio kwa matusi Yale.

Japo kosa ni lake alienidanganya alivyo kumbe sio. Mi ugonjwa wangu wadada wembembe wa kati nawakubali sana na awe mrefu kwa futi kama 5+ hivi hata awe mbaya lazima ahudumiwe ndo ndo nimweleze kuwa hana sifa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mkuu una dhambi kuliko hata mm
 
Ukinitunuku nafasi kama hiyo nishukuru sana mkuu, Sababu tutaelezana tu tukikutana naamin hutanikimbia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hii kitu sijawahi kukimbiwa ni soo, mademu wapo kibao mtaani ujinga kwenda kuanza kukimbizana na watu ambao hujawah kuonana nae
Bora wewe hao wenzio hawajiongezi hata kidogooo
 
Kwa mfano huku. Kuna watu wanapenda wengine kwa kusoma wanachoandika tu. Sasa ukija kumuona unakuta vitu viwili tofauti.
Tuseme kutamani tu
Yeah kama mimi ninavyokupenda wewe na style yako ya uwasilishaji mawazo humu na ninavyokufanyia imagination hasa kipindi kile ulivyowekaga picha inaonyesha kiwowo kimebinuka kiaina
 
Dah!kuna jamaa yangu alipewa tu stori na jamaa yake kwamba kuna bonge la demu,jamaa kusikia hivyo akaomba namba za huyo demu,akamtongoza demu akaingia line,vuta nikuvute jamaa akapanga root ya kwenda kukutana naye maana manzi mwenyewe alikuwa na rafudhi ya kichaga hatari sana,ilikuwa ni jumapili ya pasaka tarehe April 1 mwaka huu huu,akaniambia anaenda kuonana naye alichokikuta huko anakijua mwenyewe,kwanza demu bonge,tumbo kubwa,matiti hayoooo bahati mbaya tena mweusi harafu kama mjuavyo wenzetu kaskazini walipigwa pasi huko nyuma,jamaa yangu alitoka ndukiiiii,saa nne usiku ananiambia yupo around,ila yeye walikutana kabisa wakaongea ongea then akamwambia ngoja nichukue vocha akachoraaaaa.
Teh teh bwahahahahhahhhahahhaha jaman mambo gani tena haya jaman why?
 
kuviziana sitaakaa nisahau kuna siku nili mkimbia demu sio demu m mama kabisa, aiisee kuna watu hutakiwi kuwaamini ukiongea nao kwenye simu. tulichati sana kipindi hicho sijui cha whatsapp wala fb. sasa tukaawa tunapanga tuonane na alivyo niambia yuko chuo nikajua huyu atakuwa kisuuu mamaaaaaa🙁🙁🙁🙁 tukapanga tukutane then tujuane na mambo mengine yatafuata kumbe manzi amekuja eneo la tukio ameka amesha ni chora nilikuwa na washakaji nikipiga hapokei ila anasema yuko karibu. manzi mjinga sana yule akajisogeza karibu na sisi ili asikie maongezi yetu, sasa jamaa yangu akasema mbona huyo manzi yako hatokei usije kuta anasura kama mfuniko wa choo tukacheka tuka ponda tukaona isiwe kesi ngoja tuagize bia kunywa bia tukaagiza na nyamaa kula nyama sana sasa machale yakanicheza baada kuona manzi ananiangalia sana na nilivyo mtext kimya kimya kama mara mbili nikaona ameshika simu siku mfata kwa umbo lile na sura hapana kwakwel ingekuwa ni aibu sana ikabidi nimwambie jamaa maana alikuwa kauzu kidogo akaenda akaongea nae demu akasepa,

jamaa akamwambia yule ni kama mwanao mama huoni unabaka, manzi akasema hakujua hadi leo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseeeeee
 
Back
Top Bottom