Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wale wauzaji hawakukosa kweli kukuuzia nguo nzuri [emoji23] [emoji16]Aiseee mitumba ya sabasaba ilinifanya kuwa ssta duuuuh
hahahah[emoji28][emoji28][emoji28]kwahiyo we unamwaga mchele tuuu...dah majanga hayoMwenzio sna huo moyoooo
siku hizi sio kama kipindi kile,, siku hizi pale kikundi mambo ni motooo karibia na ile sheli ya BP hadi pembeni mwa lile kanisa, [emoji23] [emoji16]Umenikumbusha mitumba ya sabasaba jamani. Nimepamiss moro
[emoji105] [emoji105] [emoji105]Nataka tukutane ili nikuchekeshe zaid my [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]ssta
[emoji8] [emoji7] [emoji8] [emoji7] [emoji8] [emoji7] [emoji7] nipo kwa ajili yakoHusband miss u eeeeh[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Wewe tena mweeh huna break funguka tuenjoy maishaa kwan kuna nn?why
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naenda kukogaaa baeee nitarud nakupenda jana leo kesho na milele
ulisomea wapi wewe? sabasaba primary?Nilikuwa nikipit paleee na kikaptula changu kifup na flana ya Simbaaa walikuwa wanaacha kuuza mitumba wananitolea machoooo
na miluzi fyuuuuuu fyuuuuuu hata hugeuki [emoji23] [emoji23]Nilikuwa nikipit paleee na kikaptula changu kifup na flana ya Simbaaa walikuwa wanaacha kuuza mitumba wananitolea machoooo
ha ha ha ha ha! uzuri hela aliyotuma ilinwezesha kurud mkoani pamoja na kununua nanasi za kutosha chalinzeAiseee ulipata hasara ya nauli ya kurudia mkoani haya mambo yasikie tu kwa jirani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
mkuu ongea ukweli uwe na ugwadu umuache,? mi naamini mwanaume ule mguu wa tatu ukisimama hata chizi akae mbele lazima [emoji123]Aisee nilishachezaga sna hio michezo , kuna sku moja nilikutana na manzi flani fb
Yaani mtoto ana jina zuri balaa na picha anazopost fb utasema huyu girl anaweza kupata u miss world
Aisee mtoto nikapanga kuonana nae sku nimebanwa
Mara paap mtoto kaelewa yy anakaaa ilala boma mm natokea kkoo
Bas nikamuelekeza lodge moja ipo maeneo ya ilala afike hapo si mda nitawasili
Aisee nilipofika ugwadu wote uliyeyuka mtoto ana sura ngumu yaan daah hata kufatana nae nilijiskia aibuu
Nikiangalia mwonekano wangu na alivy ni zaid ya kujidhalilisha
Nilimpa nauli ya bajaji fasta sjui hata nilimdanganya vip nilisepa nilienda kuvuta pumzi juu kwa juu
Daah ile siku sisahau anisamehe bure bure kama yumo humu jf
Mi hata usiponikera najinunisha tuMm siwez yan kununa labda mtu anikere snaaa
Hongera. Uko vizuriMoja baada ya kula mchana...
Nenda kachukue dada zake AHa ha kumbe uliinyaka?
Nimegoma kwenda.