Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Teh teh ulijuaje kua ni ya baba yake?

Bahat mbaya mm nasura mbaya sana hadi shetani anaogopa kuniingiza majaribuni πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kukimbiana day[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Teh teh umenikumbusha mwaka jana mkoa flani. Ngoja niishie hapa!
 
Teh teh umenikumbusha mwaka jana mkoa flani. Ngoja niishie hapa!
 
Nami nilipita hii shule ya mpwapwa A -Level kipindi cha naali ilikuwa bonge la shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…