nzoka boy
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 1,165
- 1,038
Mkuu pesa mbona ipo tu inatafutka kiroho safi, uko pande gn nkupe ideaNdugu angu mm nionane na nani wakat naogopa wanawake, no money hafu sio hensamu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pesa mbona ipo tu inatafutka kiroho safi, uko pande gn nkupe ideaNdugu angu mm nionane na nani wakat naogopa wanawake, no money hafu sio hensamu!
Namuhurumia sana huyu member wa Jf mwenye anakumiliki wallah, maana sio kwa michambo hii.... tehteehhh
😀Na wewe nataman sku tuonane nikukimbieeee maana siyo kwa mapengo hayooo[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahaa. Umeonaeee.Huo ndo ukubwa
Yaani ukikumbuka unacheka hadi machozi
Ila yapo hayo Mshenga ujue.hahahaha.
huyo nae chai n nyingi kuliko kitafunio
Mkuu ndio Nini vile kunikimbia?Kivip mkuu
Utaziona siku ikifikaSifaaaa gani hapoo jaman [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Teh teh umenikumbusha mwaka jana mkoa flani. Ngoja niishie hapa!Mim nilikuaga Form 4 kipind hcho nasoma shule moja hvi iko Mpwapwa huko mkoani Dodoma, nilikuw ndo kwaanza naanza kujiunga na FB basi nikawa na urafiki na mdada mmoja hvi chatting zakufa mtu akala saund kakubali. Siku moja ikawa likizo fupi ikabidi niende dodoma mjin kutoka mpwapwa sec kulkuw na ndugu yangu pale dodoma. Sas nilipofika nilimwambia nmefka tukaahidiana kuonana Nyerere Square bas mapemaaa nikafika nkakaa chimbo zurii sas alipokuja nae nkamuekeza aingie kupitia mlango gani, alivyoingia tu duh ni Bonge la Mdada af nikijiangalia nlvokuw kadogo duuh ilibid nizime simu nirudi nyumbani.
Teh teh umenikumbusha mwaka jana mkoa flani. Ngoja niishie hapa!Mim nilikuaga Form 4 kipind hcho nasoma shule moja hvi iko Mpwapwa huko mkoani Dodoma, nilikuw ndo kwaanza naanza kujiunga na FB basi nikawa na urafiki na mdada mmoja hvi chatting zakufa mtu akala saund kakubali. Siku moja ikawa likizo fupi ikabidi niende dodoma mjin kutoka mpwapwa sec kulkuw na ndugu yangu pale dodoma. Sas nilipofika nilimwambia nmefka tukaahidiana kuonana Nyerere Square bas mapemaaa nikafika nkakaa chimbo zurii sas alipokuja nae nkamuekeza aingie kupitia mlango gani, alivyoingia tu duh ni Bonge la Mdada af nikijiangalia nlvokuw kadogo duuh ilibid nizime simu nirudi nyumbani.
Nami nilipita hii shule ya mpwapwa A -Level kipindi cha naali ilikuwa bonge la shuleMim nilikuaga Form 4 kipind hcho nasoma shule moja hvi iko Mpwapwa huko mkoani Dodoma, nilikuw ndo kwaanza naanza kujiunga na FB basi nikawa na urafiki na mdada mmoja hvi chatting zakufa mtu akala saund kakubali. Siku moja ikawa likizo fupi ikabidi niende dodoma mjin kutoka mpwapwa sec kulkuw na ndugu yangu pale dodoma. Sas nilipofika nilimwambia nmefka tukaahidiana kuonana Nyerere Square bas mapemaaa nikafika nkakaa chimbo zurii sas alipokuja nae nkamuekeza aingie kupitia mlango gani, alivyoingia tu duh ni Bonge la Mdada af nikijiangalia nlvokuw kadogo duuh ilibid nizime simu nirudi nyumbani.
Lemmi piemu yuMkuu pesa mbona ipo tu inatafutka kiroho safi, uko pande gn nkupe idea
Ulijua ntawapotezea? [emoji23][emoji23][emoji23]. Mi nakupotezea sijali wala nini.