Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka tuweke picha ya 'mtindizii'?Asanteeeee kwa kunipaishaa kuwa nina jicho la kimahbaaa mweeeh asante sana ila kwenye nyonyo umekosea mm nina nyonyo konzi mpaka huwa naweka mapera kuongeza liwe kubwa
hahaa...hatari sana"" keyboard hizi kwanni zilinyimwa sauti"""?Hafu mwenyewe utakuta unasura ka tako la dreva wa semi trela za kwenda kongo + Vigimbi kama banio la sufuria (Mpanti)
Sana ,inakutia hadi unyonge
Sasa hivi tutakuwa hatutoi namaba zetu si kwakukimbiwa huku[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Imenitokea juzi tu nilikutana na Dada moja usiku ni kamwona kama yuko poa kiaina nikachukua namba yake nikiamini itanifaa siku nikiwa na ukame
Juzi nikamwita bana kesho tuonane hotel ...... Eeeeee bana ee si akaja ile kumwangalia vizuri uwiiiiiiii
Ikabidi nizuge tu kama hamna neno nikanywa na juice tukagonga na msosi nikazuga nina kipolo ofisini sijakimaliza ikabidi tutawanyike
Heeeeee tokea hapo nina wiki ya pili sijamtafuta
Juzi kanitumia kameseji "nini kimeharibika best" nikamjibu aise nipo safarini nikirudi ntakujulisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sitakagi ujinga [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hiyo ilikuwa mchana/jioni, nilikuja kuona msg yake usiku baada ya kuwasha simu, nikamdanganya kuwa nilikwapuliwa simu na nikamwambia ndio nimejitahidi kurenew siku ile. Nikazuga kumuuliza kwani hukuona nakimbiza mwizi. [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hamna kuchagua ni bora kuliko kuchaguliwa je humo kama limeoza [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Hiyo ya kuchagua mwenyewe unaweza chagua koromaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mi sikukimbii ila baada ya kuonana ntakupotezea. Kila ukipiga simu niko busy. Na nakujibu dry dry tu mpaka utakaa sawa. Kuna watu unakutana nao unagundua hawafai hata kuwa marafiki. Sasa watu wa hivyo wanajua kuganda hao.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mambo ya mapera hayoAsanteeeee kwa kunipaishaa kuwa nina jicho la kimahbaaa mweeeh asante sana ila kwenye nyonyo umekosea mm nina nyonyo konzi mpaka huwa naweka mapera kuongeza liwe kubwa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nyumaaa geukaaa mwendooo vuuuupHahaaha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mjini shule si kushangaa maghorofa unaweza jikuta unakutana na mbabu na mkongojo ukashindwa hata kuzimia ukabaki umesimama wima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo yakukutana na mtu usiye mjua duu mie naigopa sana sipati picha ulivyokata kona nyuma geuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tuTutengeneze collabo
Una dhambiii mkuuu mweeehImenitokea juzi tu nilikutana na Dada moja usiku ni kamwona kama yuko poa kiaina nikachukua namba yake nikiamini itanifaa siku nikiwa na ukame
Juzi nikamwita bana kesho tuonane hotel ...... Eeeeee bana ee si akaja ile kumwangalia vizuri uwiiiiiiii
Ikabidi nizuge tu kama hamna neno nikanywa na juice tukagonga na msosi nikazuga nina kipolo ofisini sijakimaliza ikabidi tutawanyike
Heeeeee tokea hapo nina wiki ya pili sijamtafuta
Juzi kanitumia kameseji "nini kimeharibika best" nikamjibu aise nipo safarini nikirudi ntakujulisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sitakagi ujinga [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mwenzangu acha mahandsome wazamaniWamama hawakuwa nyuma kuchagua mahandsome kama mitumba ya sabasaba