Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] pole sana basi utulie ulipo, mwenzenu alikuta na jini kabeni na nguvu za kiume kabakishiwa kamba tu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kwakweli ile si ya kuungua, ya kuungua inajulikana. Sijui kama ndio alikuwa kakonda au kanenepa, ilimradi mashaka tu, bora hata ingekuwa tumboni ningejua ya uzazi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]