Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi apa mdogo wangu nimeuliza tu mmIgweeeeeee Mweeeeeh dada [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Poa mama p za wewe jamani hivi huyo mumeo alikuja kweli
nilijua utazungumzia toto za ihala sec... nilikuwa nazikubali kinoma zile totoz kila ijumaa nilikuwa naenda joshi kutega.Mim nilikuaga Form 4 kipind hcho nasoma shule moja hvi iko Mpwapwa huko mkoani Dodoma, nilikuw ndo kwaanza naanza kujiunga na FB basi nikawa na urafiki na mdada mmoja hvi chatting zakufa mtu akala saund kakubali. Siku moja ikawa likizo fupi ikabidi niende dodoma mjin kutoka mpwapwa sec kulkuw na ndugu yangu pale dodoma. Sas nilipofika nilimwambia nmefka tukaahidiana kuonana Nyerere Square bas mapemaaa nikafika nkakaa chimbo zurii sas alipokuja nae nkamuekeza aingie kupitia mlango gani, alivyoingia tu duh ni Bonge la Mdada af nikijiangalia nlvokuw kadogo duuh ilibid nizime simu nirudi nyumbani.
Sio kama alikuwa ni jini kweli but alikuwa breki pu...bu. Yaani nimeingiza mpaka naisikilizia ndani inavyotokomea[emoji13] [emoji13] [emoji13]Aisee wewe jasiri sana bado ukaenda kulala humohumo, sasa alikuwa ila maumbile yake au jini kweli [emoji16][emoji16][emoji16]
nilijua utazungumzia toto za ihala sec... nilikuwa nazikubali kinoma zile totoz kila ijumaa nilikuwa naenda joshi kutega.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Tupoooo
Badala ya kuniletea mwavuli umeamua ukaushe kabisa.Unaenda wapi na mvua hii[emoji167] [emoji167] [emoji167] [emoji167] [emoji167] chukua mwamvuli