Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Mim nilikuaga Form 4 kipind hcho nasoma shule moja hvi iko Mpwapwa huko mkoani Dodoma, nilikuw ndo kwaanza naanza kujiunga na FB basi nikawa na urafiki na mdada mmoja hvi chatting zakufa mtu akala saund kakubali. Siku moja ikawa likizo fupi ikabidi niende dodoma mjin kutoka mpwapwa sec kulkuw na ndugu yangu pale dodoma. Sas nilipofika nilimwambia nmefka tukaahidiana kuonana Nyerere Square bas mapemaaa nikafika nkakaa chimbo zurii sas alipokuja nae nkamuekeza aingie kupitia mlango gani, alivyoingia tu duh ni Bonge la Mdada af nikijiangalia nlvokuw kadogo duuh ilibid nizime simu nirudi nyumbani.
nilijua utazungumzia toto za ihala sec... nilikuwa nazikubali kinoma zile totoz kila ijumaa nilikuwa naenda joshi kutega.
 
Yaani sijui mafuta nazani ni vyakula tu maana wababa walikuwa hawapaki hata mafuta yenyewe ( labda ya karanga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]haya mambo ni balaaa
 
nilijua utazungumzia toto za ihala sec... nilikuwa nazikubali kinoma zile totoz kila ijumaa nilikuwa naenda joshi kutega.

Hahahaha Mkuu wewe ni fundi kumbe. Mim nahis nilikuwa kauzu sana Boys ilinifanya nikawa hvyo. Kuna siku bwana ilikuwa ijumaa baada ya Weekly Test tukakaa joshon pale sas kidgo Difenda hii apa tukapakiwa wote et tunavuta bangi.
 
Unaenda wapi na mvua hii[emoji167] [emoji167] [emoji167] [emoji167] [emoji167] chukua mwamvuli
Badala ya kuniletea mwavuli umeamua ukaushe kabisa.

Haya bana mimi nacancel tulichokipanga tu[emoji5] [emoji5]
 
Back
Top Bottom