Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Jana mwenzio nimechekaaa sasa nimecheka zaid baada ya marafiki zangu kwendaa sehem tukanywaaa tukalewa nikawahadithia hiv vituko wakaniambia ndo maaana ulikuwa busy na sim unajua pombee ikiwa kichwan ndo huwa inachochea kuchekaaa zaid

Basi tukaanza kukumbushia tulikuwa tunaongea kwa saut kubwa tunachekaaa mtu akisema vichaaa wala tusingelaumu
Hahaaaa haaa sinajua raha jipe mwenyewe yakupewa ina masimango [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Aiwewe sasa kwanini usingevumilia labda aliungua ungemuuliza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwakweli ile si ya kuungua, ya kuungua inajulikana. Sijui kama ndio alikuwa kakonda au kanenepa, ilimradi mashaka tu, bora hata ingekuwa tumboni ningejua ya uzazi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] halafu ukaenda wapi? hapa nipo nje watu watanishangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikwenda maskani, baada ya kula jani nikamwambia mshkaji wangu mmoja "ghetto kwangu kuna jini kamtoe" [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nyumaaa geukaaa mwendooo vuuuup
Hakuna jinsi zaidi ya mbio mtu asiye riziki yako ni ngumu kuvumilia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom