Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa haaa sinajua raha jipe mwenyewe yakupewa ina masimango [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jana mwenzio nimechekaaa sasa nimecheka zaid baada ya marafiki zangu kwendaa sehem tukanywaaa tukalewa nikawahadithia hiv vituko wakaniambia ndo maaana ulikuwa busy na sim unajua pombee ikiwa kichwan ndo huwa inachochea kuchekaaa zaid
Basi tukaanza kukumbushia tulikuwa tunaongea kwa saut kubwa tunachekaaa mtu akisema vichaaa wala tusingelaumu
Kwahiyo mkaendeleza mahusiano au ukaoa kabisa!?[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Mm bwana nishakutana na demu kituko lakin ckuweza kumkimbia maana nilijikaza ckutaka ajiskie vibaya wala hajione tofauti maana hakupenda kuwa hivo bali ni hali ya umbaji wa mungu au maisha yalivyo mtreat
Salama kabisa Shem vp za kwako?Za jion shem wanguuu
Kwakweli ile si ya kuungua, ya kuungua inajulikana. Sijui kama ndio alikuwa kakonda au kanenepa, ilimradi mashaka tu, bora hata ingekuwa tumboni ningejua ya uzazi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Aiwewe sasa kwanini usingevumilia labda aliungua ungemuuliza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nilikwenda maskani, baada ya kula jani nikamwambia mshkaji wangu mmoja "ghetto kwangu kuna jini kamtoe" [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] halafu ukaenda wapi? hapa nipo nje watu watanishangaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inawezekana. It can be done!Mkuu yawezekana wewe umewakimbia wengiii sana kuliko mm?
Hakuna jinsi zaidi ya mbio mtu asiye riziki yako ni ngumu kuvumilia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nyumaaa geukaaa mwendooo vuuuup