Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Hivi Alicia Keys kumbe nimweusi?!! Ndy kwanza naskia. Anyway una bahati za watu "kukosea" simu na kuendelea nao story. Sijawah kukimbia wala kukimbiwa, mtu hatujuani nikikuta hajanivutia tutatia story kdogo kumrdhsha then mawasliano yatapngua taratib paka yanakata (skumbuki hcho kutokea though).

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
Hafu mwenyewe utakuta unasura ka tako la dreva wa semi trela za kwenda kongo + Vigimbi kama banio la sufuria (Mpanti)
hahaa...hatari sana"" keyboard hizi kwanni zilinyimwa sauti"""?
 
Sasa hivi tutakuwa hatutoi namaba zetu si kwakukimbiwa huku[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hiyo ilikuwa mchana/jioni, nilikuja kuona msg yake usiku baada ya kuwasha simu, nikamdanganya kuwa nilikwapuliwa simu na nikamwambia ndio nimejitahidi kurenew siku ile. Nikazuga kumuuliza kwani hukuona nakimbiza mwizi. [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mi sikukimbii ila baada ya kuonana ntakupotezea. Kila ukipiga simu niko busy. Na nakujibu dry dry tu mpaka utakaa sawa. Kuna watu unakutana nao unagundua hawafai hata kuwa marafiki. Sasa watu wa hivyo wanajua kuganda hao.

Hahaha Jirani ndio tabia yako hiyo jirani
 
Asanteeeee kwa kunipaishaa kuwa nina jicho la kimahbaaa mweeeh asante sana ila kwenye nyonyo umekosea mm nina nyonyo konzi mpaka huwa naweka mapera kuongeza liwe kubwa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mambo ya mapera hayo
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nyumaaa geukaaa mwendooo vuuuup
 
Mimi sijawahi kumkimbia mtu. Ila huwa nabadili direction kama nikiona matarajio yangu si sahihi. Tutaishia kuwa marafiki tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Una dhambiii mkuuu mweeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…