Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hiyo ya kucheka sasa unikute na rafiki yangu Apple mweeeeeh tukishakimbia tutacheka mwezi mzimaaaa
Hahahaaaa. Mkiwa wawili hakiwezi kuisha kwa haraka aiseee kwani kila mkikumbushia mnaanza upya. Lol.
 
Mkuu ukaach vumbi tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]na manyoyaaa why?
 
Mtani nawe si ulinikimbia au?
Q
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…