Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Nitaomba niwe wa kwanza Mshenga ila tusikimbiane tu. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]sijapata bahati ya kukutana na MTU ambae najuana nae kwa bahati mbaya au kutoka social media
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaomba niwe wa kwanza Mshenga ila tusikimbiane tu. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]sijapata bahati ya kukutana na MTU ambae najuana nae kwa bahati mbaya au kutoka social media
Hahahaaa. Sawa hakuna neno kabisaaaa.Ebu fanya tukutane, sinto kukimbia haki....[emoji39] [emoji39]
Nini Mama!
Napita tu [emoji124] [emoji124]Nini Mama!
Hapo sawa, ndiomaana nimekimbulia kuja PM yako..... tehteehhhHahahaaa. Sawa hakuna neno kabisaaaa.
Ila Mie wala sikimbiliki jamaani. [emoji85] [emoji85]
Nitaomba niwe wa kwanza Mshenga ila tusikimbiane tu. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hahahaaaa. Itabidi tumpe somo kwa kweli.Sabab bado mdogo wacha tuendelee kumpa somo
Ww kaa tu ongea nae japo waweza kuwa unataman muda ukimbie uende zako
Bila shaka ni wewe uliekimbiwaHafu mwenyewe utakuta unasura ka tako la dreva wa semi trela za kwenda kongo + Vigimbi kama banio la sufuria (Mpanti)
Hapo sawa, ndiomaana nimekimbulia kuja PM yako..... tehteehhh
Hahahaaa. Sawa sawa Ushimen.Hapo sawa, ndiomaana nimekimbulia kuja PM yako..... tehteehhh
Jamani jamaniHafu mwenyewe utakuta unasura ka tako la dreva wa semi trela za kwenda kongo + Vigimbi kama banio la sufuria (Mpanti)
Mi sikukimbii ila baada ya kuonana ntakupotezea. Kila ukipiga simu niko busy. Na nakujibu dry dry tu mpaka utakaa sawa. Kuna watu unakutana nao unagundua hawafai hata kuwa marafiki. Sasa watu wa hivyo wanajua kuganda hao.
Huo ndo ukubwaHahahaaaa. Itabidi tumpe somo kwa kweli.
Umeonaeee. Mie Pacha nikishakuaga nikaondoka huku nyuma ndio nitacheka mpaka basi na wala sitaweza kumwambia ila itabaki siri yangu na moyo wangu. Teh.
Ndugu angu mm nionane na nani wakat naogopa wanawake, no money hafu sio hensamu!Bila shaka ni wewe uliekimbiwa
Ulijua ntawapotezea? [emoji23][emoji23][emoji23]. Mi nakupotezea sijali wala nini.hahahaja.
mkuu Kama nilikua najua kilicho akilini mwako