Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ha ha kumbe uliinyaka?Saint Ivuga katajwa kwa Makonda na wanawake 6 tofauti, sijui kamaliza kesi zake maana namwona tu humu.
Halafu anasema eti they are just friends.
Nimegoma kwenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha kumbe uliinyaka?Saint Ivuga katajwa kwa Makonda na wanawake 6 tofauti, sijui kamaliza kesi zake maana namwona tu humu.
Halafu anasema eti they are just friends.
[emoji2] [emoji2] sema tutakimbiana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]nitakukimbia break yangu itakuwa Nane nane
Anaongea kama anaongelea puani hivi kama ni kaermbo basi kajaliwa vyote..labda akose churaa[emoji23] [emoji23]Kuna kale katangazaji kametokea Zanzibar ungefatilia kipindi amekuja Aliyah ungekaonaa ni kadada karembooo hiv
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ngoja nitafute track suit kabisaa na rabaaa maaana na hii mvua sitak kuteleza wakat nakukimbiaNaomba basi tuonane leo mida ya baadae kuanzia Saa tisa najiandaa kuachiwa hapa..
Mmmhh, kumbe unazidi kupindisha mipango yetu eeehh.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ngoja nitafute track suit kabisaa na rabaaa maaana na hii mvua sitak kuteleza wakat nakukimbia