Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Acha kucomplicate maisha, tafsiri yako inaweza isiwe tafsiri ya dunia. Feelings hazina macho.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] mm Kama mkuu wa wilaya nina mamaka ya kukuweka ndani 48 hours......
Kwann ? Utanikamata maana mbio zangu siyo za kitoto
 
Nataka nimjue aliengiza sauti ya roshini kwenye tamthilia ya jamai raj....yule dada anasauti balaaaa
Kuna kale katangazaji kametokea Zanzibar ungefatilia kipindi amekuja Aliyah ungekaonaa ni kadada karembooo hiv
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakika kwa maneno haya umeshawah kumsimamisha mtu.
Wewe acha kabisaaa yani nilitoka na geti nikajichanganya pale kwenye mnada wa jioni
 
Kuna kale katangazaji kametokea Zanzibar ungefatilia kipindi amekuja Aliyah ungekaonaa ni kadada karembooo hiv
Anaongea kama anaongelea puani hivi kama ni kaermbo basi kajaliwa vyote..labda akose churaa[emoji23] [emoji23]
 
Mtaa wa pili wananuuna
Hakuna namna walambeee ndimuuu[emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]
 
Naomba basi tuonane leo mida ya baadae kuanzia Saa tisa najiandaa kuachiwa hapa..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ngoja nitafute track suit kabisaa na rabaaa maaana na hii mvua sitak kuteleza wakat nakukimbia
 
Subiri niseti rada hapa utasikilizia vishindo vya manyoya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
aaahh weee.....yn nlivoona ile sura ubongo wangu ukaninong'oneza tu like "" oya kijana hapa ni kuchanganya miguu tu"
Aiseeeeeg navuta picha ulivyotoka mwendoooo ukajishangaaa upo sebulen unahemaaa tu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ngoja nitafute track suit kabisaa na rabaaa maaana na hii mvua sitak kuteleza wakat nakukimbia
Mmmhh, kumbe unazidi kupindisha mipango yetu eeehh.

Ngoja nikitoka ninyoshe zangu nikalale tu[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom