Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ni mtihani usiokuwa na msahishaji, mie kuna dada alinambia kuna kaka yake anatafuta mchumba, nikamjibu kwahiyo umeiona mimi nafaa kuwa na kaka yako? Kaitika ndiyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kapanga siku ya kuja naye na muda mwenyewe nipo kazini kwa machale nipo ofisi ya pili ile nawaona kwa mbali mie kona [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nawasikia si tumemuona hapa au katukimbia awiii mchumba yupo na suit ya maziwa na miwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawakurudi tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakwambia ndiyo maisha, hata mchikichini ndiyo zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utasikia haaa wakubwa wanafaidi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseee leo nimekumbuka mpenzi wangi x alinitongoza na line mpya siku naenda kukutana nayee nikachezeaa kipondooo sitasahaunkwa kweli haya maisha nimepitia vitukoooo vingi sana
 
Ulweso akakimbia akaacha vumbi sipat picha huo mwendooo aliotoka naoooo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
Kukimbia muhimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa nikiwaza sahizi nacheka balaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hahahahaaa. Nitake radhi NN. Sijaruka darasa mimi mpaka namaliza degree yangu. Tena form six ya kiume nimesoma (PCM).

Basi walau utakuwa ushawahi kupasi mtihani wa taifa.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ninachokiona haraka kutoka kwako yaelekea u mvivu sana ndo maana hupendi wanaume wembamba halafu warefu coz huwa watata kwenye ulingo mpaka wanasimamia km bike hivyo unajipendea zako mabwanyenye kimoja tu jasho linamtoka km katokwa kukimbizwa na Israel.
Wanaume warefu wana mikuyenge inachoma mpaka kizazi mm sitaki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani usipime mwenzangu ile nawaondoka mie kufunga ofisi mbio, sister wangu alicheka balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzangu haaaa
 
Back
Top Bottom